Sitaki kabisa mume mlevi

Sitaki kabisa mume mlevi

Ndiyo hapo, hata mimi mtu mlevi simuwezi!! mtu anywe hata kwa mwezi mara 1 na kwa staha.... sio kila weekend pombe utafikiri ana hisa TBL.
simara wewe😳!mara 1 kwa mwezi!hahhha kuna wale wanaokunywa daily..asbh anashtua anaenda kazin!jion ndo kabisaaa!arh
 
then get ready for the next level!! nitakuunga naye na utakua na uwezo wa ku decode the Words!!!

Usiache kunikot na kunikumbusha sasa !!
Sasa si wewe mwanafunzi wake mtiifu, ni vyema ukaanza kunifunza ni jinsi gani yale maneno yamekuwa correlated, layman mimi nimeona si sawa.

Unless otherwise you will be defeated with a TKO
 
Mi
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa.wanawake waliiolewa Na walevi wanapata tabu sana.bora niendelee kupiga miayo.
Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya me mke mwema ,namtoa out namnunulia pombe wee .from there najua nimsave au nimdelete .
Ila wanaume wa dar mnapenda pombe jamani.mtakuja kufumuliwa marinda nyie.
Mlevi hapana .sitaki kabisa.sijui umeamka?
Miyeyusho sana we binti wa mtu!
 
Sasa si wewe mwanafunzi wake mtiifu, ni vyema ukaanza kunifunza ni jinsi gani yale maneno yamekuwa correlated, layman mimi nimeona si sawa.

Unless otherwise you will be defeated with a TKO
Hahahah mwanafunzi ni Undefeated ,asokubali kufel sasa km unahisi utamtoa kwa TKO...Jipange sanaaaaaaaaaa.

Aya Sikichaa kapewa Rungu?? Ujifunge kanga kiunoni
 
Tangazo la biashara hili.
Msiokuwa walevi mfuateni.
Sisi wengine Ni walevi balaa
 
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa.wanawake waliiolewa Na walevi wanapata tabu sana.bora niendelee kupiga miayo.
Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya me mke mwema ,namtoa out namnunulia pombe wee .from there najua nimsave au nimdelete .
Ila wanaume wa dar mnapenda pombe jamani.mtakuja kufumuliwa marinda nyie.
Mlevi hapana .sitaki kabisa.sijui umeamka?
wanapenda vya mpoo
 
Vipi kuhusu mwanamke mlevi...!
huyo kiukweli mm namchuklia vby zaid!unaweza mweka kundi la wauaji akawa hafit bado...
mwanamke mlevi ht awe ananyonyesha bas jua malezi ya mtoto huwa ni kwa kudra za Mungu!jitu linapiga nyagi anaenda mnyonyesha mtoto tena hahofu kitu!dah Mungu awasaidie aisee!
 
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa.wanawake waliiolewa Na walevi wanapata tabu sana.bora niendelee kupiga miayo.
Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya me mke mwema ,namtoa out namnunulia pombe wee .from there najua nimsave au nimdelete .
Ila wanaume wa dar mnapenda pombe jamani.mtakuja kufumuliwa marinda nyie.
Mlevi hapana .sitaki kabisa.sijui umeamka?
Mi sio mlevi , sijawahi onja tangu nizaliwe
 
Mie yeye mwenyewe anajua nikipata Heineken zangu za haja nikiingia uvinza naweza kuzama 2 hours
Kwa kulijua hilo bibie huendaga grocery mwenyewe na kunisisitiza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom