Sitaki kabisa mume mlevi

Sitaki kabisa mume mlevi

Maisha sio ya kukariri, unaweza ukapata mume mlevi na akawa mwema kwako, na unaweza ukapata mume si mlevi ila akakusugua roho kisawasawa.

Rule 1 Ya Wanaume: Lazima mwanaume awe na starehe fulani kupunguza stress kichwani za maisha,

1) Either anywe pombe, kama hanywi basi namba mbili inahusika.

2) Awe kicheche wa wanawake kupita kiasi. Asipo kua kicheche, namba tatu inahusika.

3) Awe anakula Ganja au starehe nyingine ya kukipa kichwa ganzi. Asipokua mvutaji wa ganja, namba nne inahusika.

4) Awe mnafiki au mbea kama demu. Hua ni vieherehere, wajuaji, kazi kufatilia mambo ya watu na kusema watu, kuhamisha hamisha maneno toka huku kwenda kule.

Halafu namba 4 ni wanawivu balaa, mke akijipindua tu kashika simu anapekua sms na call dials. Hua wanajua mpaka mashoga zake mke wake wote, kuanzia wa saloon mpaka ofisini.

NB: Chagua unaehisi anakufaa kati ya hao juu.
Hapa umeongea point mkuu... mi ni mwendo wa ganja plus mtungi tu kulegeza stress za maisha.... nishamwambia mama watoto kuwa akitaka niache hivi vitu awe tayari kukaribisha michepuko maana ni lazma stress ziondolewe kwa namna yoyote ile
 
Karibu Upate kijana safi kwenye chama letu tusiokunywa pombe!! tuna ustaarabu wetu..kama sahizi tupo geto tunacheki muvi tu
 
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa. Wanawake waliiolewa na walevi wanapata tabu sana bora niendelee kupiga miayo.

Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya mimi mke mwema, namtoa out namnunulia pombe wee from there najua nimsave au nimdelete.

Ila wanaume wa Dar mnapenda pombe jamani. Mtakuja kufumuliwa marinda nyie.

Mlevi hapana sitaki kabisaaa?!!
Bonge bwana!! Wacha kupiga miayo njoo uolewe kabisa.
 
Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa. Wanawake waliiolewa na walevi wanapata tabu sana bora niendelee kupiga miayo.

Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya mimi mke mwema, namtoa out namnunulia pombe wee from there najua nimsave au nimdelete.

Ila wanaume wa Dar mnapenda pombe jamani. Mtakuja kufumuliwa marinda nyie.

Mlevi hapana sitaki kabisaaa?!!
Natamani nami uje unitoe out
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom