Sitaki kabisa mume mlevi

Sitaki kabisa mume mlevi

Yaani mwanaume mlevi simtaki kabisa. Wanawake waliiolewa na walevi wanapata tabu sana bora niendelee kupiga miayo.

Mimi mtu akinitongoza kama nahisi kumpenda huwa najifanya mimi mke mwema, namtoa out namnunulia pombe wee from there najua nimsave au nimdelete.

Ila wanaume wa Dar mnapenda pombe jamani. Mtakuja kufumuliwa marinda nyie.

Mlevi hapana sitaki kabisaaa?!!
Mhh mi nikihakikisha unanipenda naacha pombe tatizo nakibamia
 
Kuna tofauti Kati ya mlevi na Mnywaji .....Mlevi ni yule anayelewa kupindukia anaweza akazima barabarani, akajikojolea, hata kujinyea. Lakini Mnywaji anajitambua muda wote na anakuwa makini
Na ukikuta mwanaume hatumii kinywaji lazima starehe yake kubwa Ni kujig jig , almost hawa Watu wanapenda kut....mbana ni wahuni Sana yaani wanatamani mademu wazuri wote Wawa duu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom