BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 5,010
- 10,940
Hivi huko Tanganyika huwa mnasoma somo la nidhamu mashuleni?
Umekutana na mtu, wala hamfahamiani kihivyo, hujui anapenda nini, hujui anavutiwa na nini, unakurupuka tu?
Nani aliwaambia kila mtu ni shabiki au mfuasi wa mpira?
Umekutana na mtu, wala havutiwi hata na mipira, unaanza kuleta mastori ya simba na yanga? Unaugua?
Ati oooh, hivi lile goli la jana la Mayele ulilionaje? Alipiga hat trick....blah blah....
Kwanza huyo Mayele mwenyewe ndio nani? Mimi hata simjui.
Nikikuhurumia sana ili usifadhaike nitajifanya tu kuitikia kwa kuguna mhhhh, mhhhh, yess, oooh yess... ndiwooooooooo.......
Nikikasirishwa na mastori yako ya mayele nakutimua au nakucharaza bakora.
Kabla ya kumrukia mtu hakikisha unajiridhisha kama hicho unachomwambia anakifurahia au kukipenda. Mjifunze kuelewa mipaka ya mazungumzo.
MY TAKE: Tupunguze ushamba na kurukia watu.
Umekutana na mtu, wala hamfahamiani kihivyo, hujui anapenda nini, hujui anavutiwa na nini, unakurupuka tu?
Nani aliwaambia kila mtu ni shabiki au mfuasi wa mpira?
Umekutana na mtu, wala havutiwi hata na mipira, unaanza kuleta mastori ya simba na yanga? Unaugua?
Ati oooh, hivi lile goli la jana la Mayele ulilionaje? Alipiga hat trick....blah blah....
Kwanza huyo Mayele mwenyewe ndio nani? Mimi hata simjui.
Nikikuhurumia sana ili usifadhaike nitajifanya tu kuitikia kwa kuguna mhhhh, mhhhh, yess, oooh yess... ndiwooooooooo.......
Nikikasirishwa na mastori yako ya mayele nakutimua au nakucharaza bakora.
Kabla ya kumrukia mtu hakikisha unajiridhisha kama hicho unachomwambia anakifurahia au kukipenda. Mjifunze kuelewa mipaka ya mazungumzo.
MY TAKE: Tupunguze ushamba na kurukia watu.