Simba na Yanga ni uchawi unaotumiwa kupumbaza akili za vijana Watanzania

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,495
2,043
Ndugu wanabodi naweza nisiekewke kirahisi kuhususiana na hii hoja yangu, lakini nimekaa na kutafakari mambo kadhaa:

Mijadala inayohusu mpira wa miguu hapa nchini imekuwa mingi na inachukua muda mwingi sana, ina wafuatiliaji wengi na wachangiaji wengi.

Na kwa kulifahamu hilo ndio maana zimeibuka media nyingi sana zinazojihusisha na mambo ya kuchambua na kuuzungumza mpira wa miguu.

Hata hivyo uchambuzi wote unakuwa na maana au kukolezwa na uwapo wa simba na yanga. Kwa maneno mengine ukifanya uchambuzi ama utangazaji wako kama hautazungumia simba ama yanga basi jua dhahiri mjadala wako utakudodea.

Wapenzi na mashabiki wa vilabu hivi huvizungumzia kwa hisia kali sana ni kana kwamba vinawasaidia kupata kipato chochote kumbe ni mapenzi tu.

Na ukitaka kushuhudia uchizi na nguvu ya hawa wapenzi wa hivi vilabu, basi patokee jambo wasilolitaka pale clabuni, yaani utawashuhudia wanafura kana kwamba mtu kaibiwa hela yake.

Yaani wana nguvu ya kumtoa yeyote na kumuweka yeyote wamtakaye ilimradi tu wafurahie wawe na cha kumnanga mtani.

Jambo hili lina athari hasi sana kwa vijana wetu kwani kwa kadri wanavyotumia muda mwingi kujadili mpira wanatengeneza ombwe kwenye mijadala inayohusu mustakabali wa taifa letu na changamoto zake.

Amini usiamini kusipokuwa na presha ya kutosha ya mijadala inayotoka kwa umma, watawala na viongozi wanabweteka hawaumizi vichwa juu ya namna bora ya kutatua changamoto za watu wao!

Maana kiongozi akfungua redio anasikia simba wanalia "mrudisheni chama" ikiisha hiyo atasikia tena "huyu mayele ni zaidi ya mesi"

Alafu watu wanabishania hayo tangu asubuhi jioni . Wengine wanaishia kupigana. Unadhani huyo kiongozi atapata tabu ya kuumiza kichwa juu ya vitu kupanda bei?

Kama hiyo haitoshi niliwahi kuwa na rafiki yangu Kutoka nchi ya Uganda alishangaa sana kuona muda wa kuongelea yanga na simba unavyotuchukulia akili nyingi na muda mrefu badala ya kujadili matatizo yetu.

Napendekeza kama ikiwezekana hivi vilabu vifutwe ili watu wajadili maendeleo na sio kutwa kucha kujadili mpira. Mahali popote kulipowahi Kutokea mageuzi yoyote, ni kwamba yale mageuzi yaliletwa na mijadala mingi ya umma.
 
Aisee!
Umeona wazungu wanavyojaa kwenye viwanja vya solo huko ulaya?

Kwa muktadha huo hata vijana huko UK kujadili Man U na Liverpool ni uchawi?

Huko Spain vijana kujadili Barca na Real Madrid ni uchawi?

Au huko german vijana kujadili Buyer liverkusen na Buyer Munich ni mafala?

Au huko SA vijana kujadili kaiser chiefs na mamelod sundown ni machizi.?

Babu sola ni mchezo wenye mashabiki wengi acha unoko.
 
Mkuu , Mimi ni Kijana, Mwanachama ,Shabiki na Mpenzi wa Simba kindakindaki.

Yaan ukisikia Wale ambao Tumbo linauma , lakuhara kabisa, yaan SAA ingine Hauli msosi, Hata kumshughulia Baby unakuta Mashine imesinyaaa ...NDO MIMI SASA.


Yaaan Kama Petro alivyojibana weee lkn mwisho akamsaliti Yesu,

Ndo tulivyo wapenzi wa Mpira, ukisikia tu Simba...Yanga... Moyo unakukereka.

Mkuuu labda nikuambie jambo moja na nikuhakikishie, KUSHABIKIA TIMU, HAKUPUNGUZI WALA HAKUBADILI UTENDAJI WETU KAZI , VIPATO VYETU

Mpira ni burudan, kama ambavyo wewe unapiga punyeto, unalewa, Unapenda sasa, haupendi Mpira, unakaa ndani muda wote, huchangaman na watu...n.k n.k

Kuachana na Simba Yanga, nisawa na kuachana na Siasa na nisawa na kuachana na Maisha.

Kuna vitu vinatupa Nguvu sana kwenye maisha, ni Chakula cha Ubongo.

WAACHE, TUACHE VIJANA TUENDELEE KUA LUBA WA SIMBA NA YANGA.

WEWE USIWE, ALAFU KOMAA KUTAFUTA NOTI.

TAREHE 31/12/2022, tujuzane sasa, kwamba Kaka, Mimi sikushabikia Simba na Yanga, nmefanya moja ,mbili, tatu, wewe je ????.

WEWE BADALA YA KUWAASA VIJANA , WASIENDELEEE KUILEGEZEA CCM, WAISEMEE , WAIKOSOE, WAPAZE SAUTI ZAO JUU YA GHARAMA KUBWA ZA MAISHA ,KATIBA MPYA, TUME HURU, ,... Unakuja kuhangaika na SIMBA NA YANGA???

AYAAAAAA KAMA KUNA MTU KAFANYA MATUMIZI MABAYA YA UBONGO WAKE MWANZONI KABISA MWA 2022 NI WEWE... WENGINE, WANAACHA MWAKA UNACHANGANYA ,NDIO WANAUTUMIA UBONGO VIBAYA.

KUA MAKINI, MPAKA KUFIKIA MWEZI WA TATU, UNAWEZA ANZA OKOTA MAKOPO.

UNA STRESS SANA SANA.
 
wanatengeneza ombwe kwenye mijadala inayohusu mustakabali wa taifa letu na changamoto zake.
Mijadala ya mpira ni huru na hakuna hofu ya mtu kukamatwa kwa kumtukana ama kumsema vibaya kiongozi wa Yanga/Simba, mchezazaji wa Yanga/Simba ama kiongozi wa TFF.

Wakati huku kwenye siasa, kiongozi wa awamu ya tano alianzisha kampeni ya kuwaweka ndani wale wote wanaomsema vibaya.


Kampeni hii chafu ya kuwakamata watu wanaomkosoa jiwe ndiyo iliyosababisha watu kujiepusha na mijadala ya siasa.

Awamu ya nne mambo yalikuwa moto kweli kweli. Jiwe akaja akaharibu nchi
 
Mkuu , Mimi ni Kijana, Mwanachama ,Shabiki na Mpenzi wa Simba kindakindaki.

Yaan ukisikia Wale ambao Tumbo linauma , lakuhara kabisa, yaan SAA ingine Hauli msosi, Hata kumshughulia Baby unakuta Mashine imesinyaaa ...NDO MIMI SASA...
Akikujibu nitag mkuu. Mi mwananchi damu kikiki
 
Mkuu , Mimi ni Kijana, Mwanachama ,Shabiki na Mpenzi wa Simba kindakindaki.

Yaan ukisikia Wale ambao Tumbo linauma , lakuhara kabisa, yaan SAA ingine Hauli msosi, Hata kumshughulia Baby unakuta Mashine imesinyaaa ...NDO MIMI SASA.


Yaaan Kama Petro alivyojibana weee lkn mwisho akamsaliti Yesu,

Ndo tulivyo wapenzi wa Mpira, ukisikia tu Simba...Yanga... Moyo unakukereka.



Mkuuu labda nikuambie jambo moja na nikuhakikishie, KUSHABIKIA TIMU, HAKUPUNGUZI WALA HAKUBADILI UTENDAJI WETU KAZI , VIPATO VYETU

Mpira ni burudan, kama ambavyo wewe unapiga punyeto, unalewa, Unapenda sasa, haupendi Mpira, unakaa ndani muda wote, huchangaman na watu...n.k n.k




Kuachana na Simba Yanga, nisawa na kuachana na Siasa na nisawa na kuachana na Maisha.

Kuna vitu vinatupa Nguvu sana kwenye maisha, ni Chakula cha Ubongo.



WAACHE, TUACHE VIJANA TUENDELEE KUA LUBA WA SIMBA NA YANGA.



WEWE USIWE, ALAFU KOMAA KUTAFUTA NOTI.


TAREHE 31/12/2022, tujuzane sasa, kwamba Kaka, Mimi sikushabikia Simba na Yanga, nmefanya moja ,mbili, tatu, wewe je ????.





WEWE BADALA YA KUWAASA VIJANA , WASIENDELEEE KUILEGEZEA CCM, WAISEMEE , WAIKOSOE, WAPAZE SAUTI ZAO JUU YA GHARAMA KUBWA ZA MAISHA ,KATIBA MPYA, TUME HURU, ,... Unakuja kuhangaika na SIMBA NA YANGA???



AYAAAAAA KAMA KUNA MTU KAFANYA MATUMIZI MABAYA YA UBONGO WAKE MWANZONI KABISA MWA 2022 NI WEWE... WENGINE, WANAACHA MWAKA UNACHANGANYA ,NDIO WANAUTUMIA UBONGO VIBAYA.

KUA MAKINI, MPAKA KUFIKIA MWEZI WA TATU, UNAWEZA ANZA OKOTA MAKOPO.

UNA STRESS SANA SANA.
We kijana una mihemko Sana na hasira shida nini?
 
Mpira umekuwa aina ya ulevi nchi hii, na sio kwa vijana tu bali makundi yote.
 
Kabisa mleta, Magufuli ndio aliondoa mijadala ya wananchi kujadili maisha yao bali wajadili mpira tu wa simba na yanga. Alihakikisha mijadala pekee ni ile ya kumsifia, na mingine iwe ni ile isiyoenda kinyume na utashi wake. Aliwageuza wananchi kumuamini yeye bila kuhoji, na ukihoji au kukosoa sio mzalendo. Na vyombo vya habari vilikuwa salama kumsifia, ama kujadili mpira.

kwa hili Magufuli alifanikiwa. Kwa sasa watu wanajadili zaid mpira kuliko hata kukosekana kwa maji au umeme! Na viongozi wanafurahi maana hawapati pressure.
 
Kama ilivyo, kwenye jamii tuna daktari, Mwalimu, nesi, msusi, mfanyabiashara, rubani, askari, dereva n.k basi kuna watu wanapenda mpira, siasa, uchumi, ngumi, riadha n.k.
Ww wapend siasa, tuache siai tupende mpira. Waase wenzako wapenda siasa mpigane vikumbo huko na sisia huku kwa yanga na simba tupigane vikumbo maana tunaoata raha.

Ni bahati iliyoje nchi yetu kua na hivi vilabu viwili vikubwa. Kenya wanatamani wangekua na yanga na simba lkn ndo hawawezi.
 
Kama ilivyo, kwenye jamii tuna daktari, Mwalimu, nesi, msusi, mfanyabiashara, rubani, askari, dereva n.k basi kuna watu wanapenda mpira, siasa, uchumi, ngumi, riadha n.k.
Ww wapend siasa, tuache siai tupende mpira. Waase wenzako wapenda siasa mpigane vikumbo huko na sisia huku kwa yanga na simba tupigane vikumbo maana tunaoata raha.

Ni bahati iliyoje nchi yetu kua na hivi vilabu viwili vikubwa. Kenya wanatamani wangekua na yanga na simba lkn ndo hawawezi.h

Mkuu , Mimi ni Kijana, Mwanachama ,Shabiki na Mpenzi wa Simba kindakindaki.

Yaan ukisikia Wale ambao Tumbo linauma , lakuhara kabisa, yaan SAA ingine Hauli msosi, Hata kumshughulia Baby unakuta Mashine imesinyaaa ...NDO MIMI SASA.


Yaaan Kama Petro alivyojibana weee lkn mwisho akamsaliti Yesu,

Ndo tulivyo wapenzi wa Mpira, ukisikia tu Simba...Yanga... Moyo unakukereka.



Mkuuu labda nikuambie jambo moja na nikuhakikishie, KUSHABIKIA TIMU, HAKUPUNGUZI WALA HAKUBADILI UTENDAJI WETU KAZI , VIPATO VYETU

Mpira ni burudan, kama ambavyo wewe unapiga punyeto, unalewa, Unapenda sasa, haupendi Mpira, unakaa ndani muda wote, huchangaman na watu...n.k n.k




Kuachana na Simba Yanga, nisawa na kuachana na Siasa na nisawa na kuachana na Maisha.

Kuna vitu vinatupa Nguvu sana kwenye maisha, ni Chakula cha Ubongo.



WAACHE, TUACHE VIJANA TUENDELEE KUA LUBA WA SIMBA NA YANGA.



WEWE USIWE, ALAFU KOMAA KUTAFUTA NOTI.


TAREHE 31/12/2022, tujuzane sasa, kwamba Kaka, Mimi sikushabikia Simba na Yanga, nmefanya moja ,mbili, tatu, wewe je ????.





WEWE BADALA YA KUWAASA VIJANA , WASIENDELEEE KUILEGEZEA CCM, WAISEMEE , WAIKOSOE, WAPAZE SAUTI ZAO JUU YA GHARAMA KUBWA ZA MAISHA ,KATIBA MPYA, TUME HURU, ,... Unakuja kuhangaika na SIMBA NA YANGA???



AYAAAAAA KAMA KUNA MTU KAFANYA MATUMIZI MABAYA YA UBONGO WAKE MWANZONI KABISA MWA 2022 NI WEWE... WENGINE, WANAACHA MWAKA UNACHANGANYA ,NDIO WANAUTUMIA UBONGO VIBAYA.

KUA MAKINI, MPAKA KUFIKIA MWEZI WA TATU, UNAWEZA ANZA OKOTA MAKOPO.

UNA STRESS SANA SANA.
Naona umefura sana ndugu ila nataka uelewe kwamba kwenye stratejia ya siasa moja ya kete muhimu ni kuona unaowaongoza wanatumia muda mkubwa kujadili mambo yasiyogusa majukumu yako hii inakupa wewe nafasi ya kulialia kiti kwa amani sana. Kuwa shabiki sio dhambi lakini kutumia robo tatu ya muda wako wote kuwaza na kujadili mpira ambao haukuingizii hata mia lazima kuna tatizo!
 
Umesema vema kwamba mpira ni starehe hivi ni kwa nini hii starehe imekuwa na nguvu kiasi kwamba imeteka mijadala mingine yoote!? Vijana siku hizi wanaamka wanawaza mpira wanalala wanawaza mpira na kila wanapokutana wanazungumza mpira wakati kama nchi tuna changamoto lukuki ila hazipewi muda kujadiliwa!
Kwa hyo kuacha kushabikia mpira ndo hizo changamoto zitaisha?ebu tumia approach nzur ya kufikisha ujumbe wako..mm nlidhan ungekuja na strategies za ni namna gani vjana tufanye ili kuweza kuipa challenge serikali iliyoko madarakan na c kuwakataza kitu wanachokipenda ili uwaforce unachokipenda ww....vile vile ingetakiwa ujue kila mtu ana hobbies zake kama ilivyo ww kupenda siasa wengine wanapendelea ushabik wa mpira...tusipangiane namna ya kuish
 
Bongo bahti mbaya
Ndugu wanabodi naweza nisiekewke kirahisi kuhususiana na hii hoja yangu, lakini nimekaa na kutafakari mambo kadhaa:

Mijadala inayohusu mpira wa miguu hapa nchini imekuwa mingi na inachukua muda mwingi sana, ina wafuatiliaji wengi na wachangiaji wengi.
Na kwa kulifahamu hilo ndio maana zimeibuka media nyingi sana zinazojihusisha na mambo ya kuchambua na kuuzungumza mpira wa miguu.

Hata hivyo uchambuzi wote unakuwa na maana au kukolezwa na uwapo wa simba na yanga. Kwa maneno mengine ukifanya uchambuzi ama utangazaji wako kama hautazungumia simba ama yanga basi jua dhahiri mjadala wako utakudodea.

Wapenzi na mashabiki wa vilabu hivi huvizungumzia kwa hisia kali sana ni kana kwamba vinawasaidia kupata kipato chochote kumbe ni mapenzi tu.

Na ukitaka kushuhudia uchizi na nguvu ya hawa wapenzi wa hivi vilabu, basi patokee jambo wasilolitaka pale clabuni, yaani utawashuhudia wanafura kana kwamba mtu kaibiwa hela yake.

Yaani wana nguvu ya kumtoa yeyote na kumuweka yeyote wamtakaye ilimradi tu wafurahie wawe na cha kumnanga mtani.

Jambo hili lina athari hasi sana kwa vijana wetu kwani kwa kadri wanavyotumia muda mwingi kujadili mpira wanatengeneza ombwe kwenye mijadala inayohusu mustakabali wa taifa letu na changamoto zake.

Amini usiamini kusipokuwa na presha ya kutosha ya mijadala inayotoka kwa umma, watawala na viongozi wanabweteka hawaumizi vichwa juu ya namna bora ya kutatua changamoto za watu wao!
Maana kiongozi akfungua redio anasikia simba wanalia "mrudisheni chama" ikiisha hiyo atasikia tena "huyu mayele ni zaidi ya mesi"
Alafu watu wanabishania hayo tangu asubuhi jioni . Wengine wanaishia kupigana. Unadhani huyo kiongozi atapata tabu ya kuumiza kichwa juu ya vitu kupanda bei?

Kama hiyo haitoshi niliwahi kuwa na rafiki yangu Kutoka nchi ya Uganda alishangaa sana kuona muda wa kuongelea yanga na simba unavyotuchukulia akili nyingi na muda mrefu badala ya kujadili matatizo yetu.

Napendekeza kama ikiwezekana hivi vilabu vifutwe ili watu wajadili maendeleo na sio kutwa kucha kujadili mpira.
Mahali popote kulipowahi Kutokea mageuzi yoyote, ni kwamba yale mageuzi yaliletwa na mijadala mingi ya umma.
 
Unakaa Nyagwa wewe,yaani balala mpiganie klabu zingine zije kuwa na fanbase kubwa kama hii klabu kubwa na zicheze mpira wa kuvutia kama Simba, eti unataka ifutwe,tutwa wewe kwanza

Shubaaat
 
Nadhan inawapatia kipato kupitia betting
Umesema vema kwamba mpira ni starehe hivi ni kwa nini hii starehe imekuwa na nguvu kiasi kwamba imeteka mijadala mingine yoote!? Vijana siku hizi wanaamka wanawaza mpira wanalala wanawaza mpira na kila wanapokutana wanazungumza mpira wakati kama nchi tuna changamoto lukuki ila hazipewi muda kujadiliwa!
 
Back
Top Bottom