TIGO kwa Kumtaja kwenu Rostam Aziz kuwa ndiyo Boss wenu kwa sasa kwa hizi Siasa zetu za Simba na Yanga hakuwezi kuwaathiri kibiashara?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,542
108,877
Sijui jinsi mtakavyojitetea kwa hili Kwangu au hata kwa wengine waliokuwa na mtazamo kama Wangu ila kwa jinsi nilivyoona jana katika Kurasa mbalimbali za Watu wa Yanga kwa mtazamo wangu kwa Jicho dogo la Kibiashara naona kama vile litawaathiri pakubwa sana.

Bado sijazithibitisha na sitaki Kuziamini pia kuwa kuna Taarifa fulani fulani zinaanza Kuratibiwa za Kuwahamasisha Wapenzi na Mashabiki wa Simba SC wasiwe Wateja wa Kampuni ya Simu ya Tigo kwakuwa tu Mmiliki wake mpya kwa sasa Tajiri Rostam Aziz ni mwana Yanga SC Kindakindaki na Mmoja wa Wafadhili wakubwa tu wa Klabu hiyo.

Binafsi nadhani hata Rostam Aziz Mwenyewe asingeruhusu kuwa hapo ( kwa Kujulikana na kutajwa kama Mmiliki ) hasa kwa Maslahi ya Kibiashara na Kuzikwepa hizi Siasa zetu za Simba na Yanga hivyo basi badala yake angemuweka Mtu mwingine hapo ambaye kama Msimamizi na Yeye abakie tu kuwa Mmiliki na ikiwezekana azuie pia Kutajwa hivyo kwani Watanzania ( hasa Mashabiki wa hizi Klabu Kubwa Mbili nchini Tanzania ) tunajijua Wenyewe jinsi tulivyo na Nongwa ( Visununu ) vya kuhamishia Masuala ya Kimpira na kuyaleta katika Mambo ya Msingi ( Serious Issues ) hapa Bongo.

Leo GENTAMYCINE nitafurahi zaidi nikiona Wabobezi wakubwa wa Masuala ya Biashara na Masoko hapa JamiiForums wakija na Uchambuzi na Ufafanuzi wao ili nami pia nielimike kwani kwa jinsi ninavyoona sasa wana Yanga SC katika Kurasa zao mbalimbali za Kijamii wanavyotamba kuwa Mfadhili Wao Rostam Aziz kawa Mmiliki wa Kampuni ya Simu ya Tigo huku wakiwazodoa Watu ( Mashabiki ) wa Simba SC kama ( endapo ) Watu wa Tigo hawatalifanyia Kazi na kuliangalia Kiumakini kwa Afya ya Kibiashara linaweza kuja kuwa na Madhara makubwa Kwao kwa Siku za baadae.
 
Nadhani wote mnaohusisha biashara na mambo ya Simba na Yanga ni Wapuuzi wakubwa
Ungekuwa siyo Mpumbavu usingeandika hivi na nimeshangaa hadi slip way kukupa Like hapo huenda nae ni Juha Mwenzako.

Nimeleta hapa hii Mada 'Makusudically' kabisa nikitaka Akili Kubwa za Wabobezi wa Masuala ya Uchumi, Biashara na Masoko watupe yao kwa Macho yao ya Kiuweledi.

Ni Mpumbavu tu pekee ndiyo hajui kuwa Siasa za Simba na Yanga kama Watu wa Makampuni ya Biashara nchini wasipojua Kucheza nazo kwa ama kuwa Neutral au hata Kutojihusisha nazo zinaweza Kuathiri pakubwa Biashara au hata Mradi wa Mtu.

Huu Uzi ni mkubwa kwa Upumbavu wako.
 
Ndani ya nchi hii ya Tanzania, 'wananchi' ni zaidi ya asilimia 60% ya population yote, binafsi baada ya kumjua 'mliki' fasta nikajimilikisha line ya tigo
 
kuna Taarifa fulani fulani zinaanza Kuratibiwa za Kuwahamasisha Wapenzi na Mashabiki wa Simba SC wasiwe Wateja wa Kampuni ya Simu ya Tigo kwakuwa tu Mmiliki wake mpya kwa sasa Tajiri Rostam Aziz ni mwana Yanga SC Kindakindaki na Mmoja wa Wafadhili wakubwa tu wa Klabu hiyo.
Hao wanaogomea hivyo sio wanamichezo aisee maana mbona kuna wana Yanga wanatumia bidhaa za MO
 
Nchi imeisha huyu awu ya nne ndio alisikika Sana kwenye kila uchafu kwa like tulichoambiwa mwekezaji karudi tena naimini kazi ipo kitoboa
 
Ungekuwa siyo Mpumbavu usingeandika hivi na nimeshangaa hadi slip way kukupa Like hapo huenda nae ni Juha Mwenzako.

Nimeleta hapa hii Mada 'Makusudically' kabisa nikitaka Akili Kubwa za Wabobezi wa Masuala ya Uchumi, Biashara na Masoko watupe yao kwa Macho yao ya Kiuweledi.

Ni Mpumbavu tu pekee ndiyo hajui kuwa Siasa za Simba na Yanga kama Watu wa Makampuni ya Biashara nchini wasipojua Kucheza nazo kwa ama kuwa Neutral au hata Kutojihusisha nazo zinaweza Kuathiri pakubwa Biashara au hata Mradi wa Mtu.

Huu Uzi ni mkubwa kwa Upumbavu wako.
Genta hajataka slip way a-like Uzi wake😅😅😅

Akili za genta anazijua mwenyewe wallah
 
Sijui jinsi mtakavyojitetea kwa hili Kwangu au hata kwa wengine waliokuwa na mtazamo kama Wangu ila kwa jinsi nilivyoona jana katika Kurasa mbalimbali za Watu wa Yanga kwa mtazamo wangu kwa Jicho dogo la Kibiashara naona kama vile litawaathiri pakubwa sana.

Bado sijazithibitisha na sitaki Kuziamini pia kuwa kuna Taarifa fulani fulani zinaanza Kuratibiwa za Kuwahamasisha Wapenzi na Mashabiki wa Simba SC wasiwe Wateja wa Kampuni ya Simu ya Tigo kwakuwa tu Mmiliki wake mpya kwa sasa Tajiri Rostam Aziz ni mwana Yanga SC Kindakindaki na Mmoja wa Wafadhili wakubwa tu wa Klabu hiyo.

Binafsi nadhani hata Rostam Aziz Mwenyewe asingeruhusu kuwa hapo ( kwa Kujulikana na kutajwa kama Mmiliki ) hasa kwa Maslahi ya Kibiashara na Kuzikwepa hizi Siasa zetu za Simba na Yanga hivyo basi badala yake angemuweka Mtu mwingine hapo ambaye kama Msimamizi na Yeye abakie tu kuwa Mmiliki na ikiwezekana azuie pia Kutajwa hivyo kwani Watanzania ( hasa Mashabiki wa hizi Klabu Kubwa Mbili nchini Tanzania ) tunajijua Wenyewe jinsi tulivyo na Nongwa ( Visununu ) vya kuhamishia Masuala ya Kimpira na kuyaleta katika Mambo ya Msingi ( Serious Issues ) hapa Bongo.

Leo GENTAMYCINE nitafurahi zaidi nikiona Wabobezi wakubwa wa Masuala ya Biashara na Masoko hapa JamiiForums wakija na Uchambuzi na Ufafanuzi wao ili nami pia nielimike kwani kwa jinsi ninavyoona sasa wana Yanga SC katika Kurasa zao mbalimbali za Kijamii wanavyotamba kuwa Mfadhili Wao Rostam Aziz kawa Mmiliki wa Kampuni ya Simu ya Tigo huku wakiwazodoa Watu ( Mashabiki ) wa Simba SC kama ( endapo ) Watu wa Tigo hawatalifanyia Kazi na kuliangalia Kiumakini kwa Afya ya Kibiashara linaweza kuja kuwa na Madhara makubwa Kwao kwa Siku za baadae.
Genta Mdogo wangu! Kama familia, tulikupeleka hospitali kule Dodoma, ili hili tatizo lako lako la muda mrefu, liishe kabisa! Lakini uliamua kutoroka na kuacha matibabu!

Ona sasa hiki unachokifanya humu jukwaani! Kama familia, niseme tu unatudhalilisha sana ndugu zako! 😞
 
Ni muda sasa ulazimishwe kuficha huu upumbavu wako, kama sio msongo wa mawazo basi una mtindio wa ubongo…. au tayari mdudu keshaingia kwenye embe?
Mbona haya matatizo yangu yote uliyonitajia hapa hata Aliyekuzaa nae anayo tena ya Kunizidi tu kabisa?
 
Ni ujinga wa hali ya juu... Kutonunua bidhaa flani sabbu mmiliki ni mpinzani wako kwenye soka...

Kama ndipo tunapoelekea huko.. Bas mbeleni tutshindwa kusaidiana kwa sbbu ya usimba na u yanga...
Sijui jinsi mtakavyojitetea kwa hili Kwangu au hata kwa wengine waliokuwa na mtazamo kama Wangu ila kwa jinsi nilivyoona jana katika Kurasa mbalimbali za Watu wa Yanga kwa mtazamo wangu kwa Jicho dogo la Kibiashara naona kama vile litawaathiri pakubwa sana.

Bado sijazithibitisha na sitaki Kuziamini pia kuwa kuna Taarifa fulani fulani zinaanza Kuratibiwa za Kuwahamasisha Wapenzi na Mashabiki wa Simba SC wasiwe Wateja wa Kampuni ya Simu ya Tigo kwakuwa tu Mmiliki wake mpya kwa sasa Tajiri Rostam Aziz ni mwana Yanga SC Kindakindaki na Mmoja wa Wafadhili wakubwa tu wa Klabu hiyo.

Binafsi nadhani hata Rostam Aziz Mwenyewe asingeruhusu kuwa hapo ( kwa Kujulikana na kutajwa kama Mmiliki ) hasa kwa Maslahi ya Kibiashara na Kuzikwepa hizi Siasa zetu za Simba na Yanga hivyo basi badala yake angemuweka Mtu mwingine hapo ambaye kama Msimamizi na Yeye abakie tu kuwa Mmiliki na ikiwezekana azuie pia Kutajwa hivyo kwani Watanzania ( hasa Mashabiki wa hizi Klabu Kubwa Mbili nchini Tanzania ) tunajijua Wenyewe jinsi tulivyo na Nongwa ( Visununu ) vya kuhamishia Masuala ya Kimpira na kuyaleta katika Mambo ya Msingi ( Serious Issues ) hapa Bongo.

Leo GENTAMYCINE nitafurahi zaidi nikiona Wabobezi wakubwa wa Masuala ya Biashara na Masoko hapa JamiiForums wakija na Uchambuzi na Ufafanuzi wao ili nami pia nielimike kwani kwa jinsi ninavyoona sasa wana Yanga SC katika Kurasa zao mbalimbali za Kijamii wanavyotamba kuwa Mfadhili Wao Rostam Aziz kawa Mmiliki wa Kampuni ya Simu ya Tigo huku wakiwazodoa Watu ( Mashabiki ) wa Simba SC kama ( endapo ) Watu wa Tigo hawatalifanyia Kazi na kuliangalia Kiumakini kwa Afya ya Kibiashara linaweza kuja kuwa na Madhara makubwa Kwao kwa Siku za baadae.
 
Back
Top Bottom