Hahaa..kupakuliwa n maamuzi binafsi ila tunawapenda sababu wanatuwahisha fasta kwenye mizunguko yetu .Wanajua kuwapakia na kuwapakua.kazi kwelikweli Sasha.
Dereva wa boda boda aliwahi kunipa siri za 'mama mkwe' wacha nibaki mdomo wazi... Anadai alikuwaga dereva wake huko nyuma na alikuwa anampeleka kwenye matukio yake ya kusambaza upendo sema alikuwa anamkopa usafiri wa bodaboda na hamlipi ndio maana cku hizi ametosa kumbeba. Nikasema sasa kama 'mama mkwe' ndio yuko hivi, je binti yake atakuwaje sasa...
Bodaboda bhana, siwapendi hata kidogo.
hawa jamaa vurugu sana mjini, hasa dar, hawafuati sheria zozoteKwanini huwapendi???
Kutunza siri ni muhimu tena sana, hata kwa wanaume wachepukaji si kwa wanawake tu.sawa mkuu.endelea kutunza siri za wateja.
Wanazipiga sanaaamkuu sio Dar tu! hawa bodaboda wanaficha maovu sana! naamini hata wao wanapiga hizi nyapu kimyakimya.
Wanajifanya ni watu wema na wanajua biashara kumbe wamevaa mavazi ya kondoo kwa nje ila ndani ni Mbwamwitu.Kwanini huwapendi???
Kwenye simu zao wamejaza namba za wanawake kuliko hata wanaume, na ukiwaangalia wengi wa mabodaboda hawajaoa kazi kuvizia wateja wao tu.wanatuchapia sana hawa! ukiwaona utafikiri mafala.hawaongei!
hehehehe mbona balaa sasaHawa bodaboda wana siri kubwa sana za familia za watu
Hata wao huwa wanapoozwa wasizitoe,
Wanawake wa Dar kwakweli wamenishinda tabia kabisa...!
Yaani bodaboda ana siri za mama na binti yake baba ukipita wanakuchora tu!
Kwamfano huyu azizi kwakweli kifua chake ni kina mengi sana...!
Mkuu jiweke jirani na boda boda ujue machimbo ya mkeo au ingia kwenye hiyo kazi ujionee wanawake wasivo na maana hapa mjini..!hehehehe mbona balaa sasa
Ndio usafiri rahisi,kona kona dakika mbili nimefika ninapotaka kufika...
Ajabu wanaoongoza kupata ajali za bodaboda ni abiria wa kiume,hapa huwa sijui ni kwanini...