mkuu kuna biashara ya ubuyu! ndo maana hata bodaboda wenyewe maendeleo yao ni duni.kila siku unashikwa kiunoni na mwanamke,umekuwa padri usiwagegede! namba wanapeana.Wanawake wanapenda sana bodaboda
wengi wana namba za bodaboda
sijui kuna nini exactly...
Niliwahi kumpakia mdada mmoja hivi mida ya asubuhi...nilimpeleka gesti ya kwanza nikaambiwa na jamaa nimsubiri nje na niagize ninachokitaka....nilisubiri hapo kama masaa manne...hadi alipotoka na safari ikaanza wakati tunaondoka akaniambia twende kimara...huko akanielekeza sehemu hiyo ambayo sijawahi kuiona...hapo napo akapokelewa na jibaba moja hivi na kama kawaida nikaambiwa nisubiri hapo nje na muhudumu akaambiwa anihudumie lolote lile.....hapo napo nilika kwa takribani masaa manne.....yule dada alipotoka tukaanza safari kuelekea nyumbani ,wakati tupo njiani mara ghafla ikapigwa simu...na baada ya simu akaniambia tupitie ubungo...ambapo tulikutana na jamaa mmoja hivi mwenye likitambi likubwa...hapo hatuja kaa sana kwani nahisi mteja wangu alikuwa ameshachoka na ilikuwa mida ya mumewe kurudi nyumbani....
Dah yaani wanawake hawa....
na wanavyopenda vya bwelele lazima wagongwe na bodabodaMungu tusaidie, hili ni la kweli kabisa. Siyo kuwahi wanakokwenda tu, wengi wao hawalipi nauli na baadae wanagawa mzigo. Jamaa waweza kuwa kazini ile unarudi home kwa kuchelewa na usafiri huu wa Dar unakuta washalamba na kupiga deki. Juzi nimeshuhidia dada mhudumu wa car park hapa mjini amemganda bodaboda akamgegede. Wakati nafika na mi nahitaji usafiri huyo tukaondoka. Tukiwa njiani nikamuuliza vip inakuaje. Akanipa mkanda wote kuwa huwa anamgegeda sema ule muda ni wa kazi.
hayo ndio maisha yao hawa wanawake! kuna foleni hatariNiliwahi kumpakia mdada mmoja hivi mida ya asubuhi...nilimpeleka gesti ya kwanza nikaambiwa na jamaa nimsubiri nje na niagize ninachokitaka....nilisubiri hapo kama masaa manne...hadi alipotoka na safari ikaanza wakati tunaondoka akaniambia twende kimara...huko akanielekeza sehemu hiyo ambayo sijawahi kuiona...hapo napo akapokelewa na jibaba moja hivi na kama kawaida nikaambiwa nisubiri hapo nje na muhudumu akaambiwa anihudumie lolote lile.....hapo napo nilika kwa takribani masaa manne.....yule dada alipotoka tukaanza safari kuelekea nyumbani ,wakati tupo njiani mara ghafla ikapigwa simu...na baada ya simu akaniambia tupitie ubungo...ambapo tulikutana na jamaa mmoja hivi mwenye likitambi likubwa...hapo hatuja kaa sana kwani nahisi mteja wangu alikuwa ameshachoka na ilikuwa mida ya mumewe kurudi nyumbani....
Dah yaani wanawake hawa....