Siri ya wanawake na bodaboda

Siri ya wanawake na bodaboda

Ndio usafiri rahisi,kona kona dakika mbili nimefika ninapotaka kufika...
Ajabu wanaoongoza kupata ajali za bodaboda ni abiria wa kiume,hapa huwa sijui ni kwanini...
Kama bodaboda anachepuka na mkeo akikupakia lazima akudondoshe!
 
Sasa mnataka watumie usafiri gari? Wakiomba lift mnawasema, tax mnasema wanatembea na madreva tax, bajaji mnasema wanatembea nao boda boda ndo maneno kibaoo mara wanawahishwa kwenye michepuko yao sasa wafanyeje? Wakitembea kwa miguu bado mtasema wanajipitisha ili watongozwe wafanyeje sasa? Kila anachokifanya mwanamke mapovu yanawatoka tumechoka na stori za kuwasema wanawake mbona wenyew hawatusemi? Inamaana wanaume tuko perfect? Acheni hizo
 
Usafiri wa haraka japokuwa kwa wengine wanakuwa wanawahi kwenye shughuli zao
 
Wakati mwingine unaweza kumfuatilia boda boda kwa nyuma ili uone atakishusha kifaa ili ukipige mistari.Kwa kweli bodaboda na rahaaaaa!!!
 
Hili mimi nishajiuliza, ila nikapata jibu wanawake hawadadandii bodaboda yoyote,huwa wana mtu wao ambao anawaendesha vile watakavyo. Ila wanaume huwa wanakurupuka na kujidai wana haraka ndio huishia kwenye ajali.
bodaboda boda lazima aendeshe kwa makini maana na wao hupewa nyangumi mara moja moja.
 
Watoto wa kike bwana akili zao za kushikiwa unaweza pata danga linampa pesa nyingi tu ikiwemo za shopping na usafiri tatizo sasa akifika kwenye boda anataka abebwe bure buchani napo apewe nyama bure na pesa anayo na hiyo ndiyo inayowacost kila idara anataka awezeshwe kwann asidandiwe hovyohovyo
 
I hate boda boda man cz most of them they have bad odor hasa akikuongelesha wayiii....
 
Back
Top Bottom