Siri ya wanawake na bodaboda

Siri ya wanawake na bodaboda

asilimia 80 ya wanawake wana namba za watu wa bodaboda kwa matumizi tofauti.
Mimi honestly bodaboda ananisaidia safari zangu za fasta fasta. Afu naweza nikamuagiza mizigo na ikafika salama, na naweza nikamtuma aninunulie vitu kwa gharama zake na atavileta hadi home, namkabidhi cash yake basi. Kwa hiyo wanasaidia sana
 
Mimi honestly bodaboda ananisaidia safari zangu za fasta fasta. Afu naweza nikamuagiza mizigo na ikafika salama, na naweza nikamtuma aninunulie vitu kwa gharama zake na atavileta hadi home, namkabidhi cash yake basi. Kwa hiyo wanasaidia sana
Ongelea wadada wenzio wanavyowatumia kwa kazi zao chafu za kupaa samaki
 
Mnaharibu biashara za vijana wanawake hasa wale ambao sio tabia yao wataogopa kupanda bodaboda na kwa wale wanaume wenye wivu watalimit wake zao kukwea tukutuku
 
Mnaharibu biashara za vijana wanawake hasa wale ambao sio tabia yao wataogopa kupanda bodaboda na kwa wale wanaume wenye wivu watalimit wake zao kukwea tukutuku
hili ni jipu mkuu.lazima tulitumbue
 
Ndio usafiri rahisi,kona kona dakika mbili nimefika ninapotaka kufika...
Ajabu wanaoongoza kupata ajali za bodaboda ni abiria wa kiume,hapa huwa sijui ni kwanini...
Ni kweli ajali nyingi za boda boda zinawaua wanaume, ila nadhani ni kwakuwa wanawake tu waoga, hivyo hupanda boda boda za tunaowafahamu na kuwapa maelekezo ya kuwa makini wawapo barabarani mapemaaaa!
 
Mie ni bodaboda niko kahama kiukweli wapandaji wa hii biashara ni wanawake yani hata kama ni safari fupi wao hawataki shida,tofauti na sie wanaume.
Pia bodaboda wanazipenda kwakuwa inakufikisha hadi nyumbani,pia ni bei rahisi kuliko tax.
Kama ni ni michepuko hiyo ni tabia ya mtu
 
Hata mbuzi anapanda bodabora (waulizeni waendesha boda). Ni usafiri tu wakuu.
 
Mmh ila bodaboda wanapenda wanawake hatari kutongoza ndo usiseme..
 
Mie ni bodaboda niko kahama kiukweli wapandaji wa hii biashara ni wanawake yani hata kama ni safari fupi wao hawataki shida,tofauti na sie wanaume.
Pia bodaboda wanazipenda kwakuwa inakufikisha hadi nyumbani,pia ni bei rahisi kuliko tax.
Kama ni ni michepuko hiyo ni tabia ya mtu
sawa mkuu.endelea kutunza siri za wateja.
 
Back
Top Bottom