Siri ya wanawake na bodaboda

Siri ya wanawake na bodaboda

napenda sana bodaboda aliyepakiza demu akikaa mbele yangu, haswa zile boxer maana wadada wakikaa kwenye boxer wanajibinua hatari, teh!
 
Mungu tusaidie, hili ni la kweli kabisa. Siyo kuwahi wanakokwenda tu, wengi wao hawalipi nauli na baadae wanagawa mzigo. Jamaa waweza kuwa kazini ile unarudi home kwa kuchelewa na usafiri huu wa Dar unakuta washalamba na kupiga deki. Juzi nimeshuhidia dada mhudumu wa car park hapa mjini amemganda bodaboda akamgegede. Wakati nafika na mi nahitaji usafiri huyo tukaondoka. Tukiwa njiani nikamuuliza vip inakuaje. Akanipa mkanda wote kuwa huwa anamgegeda sema ule muda ni wa kazi.
 
Niliwahi kumpakia mdada mmoja hivi mida ya asubuhi...nilimpeleka gesti ya kwanza nikaambiwa na jamaa nimsubiri nje na niagize ninachokitaka....nilisubiri hapo kama masaa manne...hadi alipotoka na safari ikaanza wakati tunaondoka akaniambia twende kimara...huko akanielekeza sehemu hiyo ambayo sijawahi kuiona...hapo napo akapokelewa na jibaba moja hivi na kama kawaida nikaambiwa nisubiri hapo nje na muhudumu akaambiwa anihudumie lolote lile.....hapo napo nilika kwa takribani masaa manne.....yule dada alipotoka tukaanza safari kuelekea nyumbani ,wakati tupo njiani mara ghafla ikapigwa simu...na baada ya simu akaniambia tupitie ubungo...ambapo tulikutana na jamaa mmoja hivi mwenye likitambi likubwa...hapo hatuja kaa sana kwani nahisi mteja wangu alikuwa ameshachoka na ilikuwa mida ya mumewe kurudi nyumbani....
Dah yaani wanawake hawa....
 
Nimemkumbuka mr ebo na wimbo wake wa bodaboda. Rip mr ebo
 
Niliwahi kumpakia mdada mmoja hivi mida ya asubuhi...nilimpeleka gesti ya kwanza nikaambiwa na jamaa nimsubiri nje na niagize ninachokitaka....nilisubiri hapo kama masaa manne...hadi alipotoka na safari ikaanza wakati tunaondoka akaniambia twende kimara...huko akanielekeza sehemu hiyo ambayo sijawahi kuiona...hapo napo akapokelewa na jibaba moja hivi na kama kawaida nikaambiwa nisubiri hapo nje na muhudumu akaambiwa anihudumie lolote lile.....hapo napo nilika kwa takribani masaa manne.....yule dada alipotoka tukaanza safari kuelekea nyumbani ,wakati tupo njiani mara ghafla ikapigwa simu...na baada ya simu akaniambia tupitie ubungo...ambapo tulikutana na jamaa mmoja hivi mwenye likitambi likubwa...hapo hatuja kaa sana kwani nahisi mteja wangu alikuwa ameshachoka na ilikuwa mida ya mumewe kurudi nyumbani....
Dah yaani wanawake hawa....
mmmmh
 
Niliwahi kumpakia mdada mmoja hivi mida ya asubuhi...nilimpeleka gesti ya kwanza nikaambiwa na jamaa nimsubiri nje na niagize ninachokitaka....nilisubiri hapo kama masaa manne...hadi alipotoka na safari ikaanza wakati tunaondoka akaniambia twende kimara...huko akanielekeza sehemu hiyo ambayo sijawahi kuiona...hapo napo akapokelewa na jibaba moja hivi na kama kawaida nikaambiwa nisubiri hapo nje na muhudumu akaambiwa anihudumie lolote lile.....hapo napo nilika kwa takribani masaa manne.....yule dada alipotoka tukaanza safari kuelekea nyumbani ,wakati tupo njiani mara ghafla ikapigwa simu...na baada ya simu akaniambia tupitie ubungo...ambapo tulikutana na jamaa mmoja hivi mwenye likitambi likubwa...hapo hatuja kaa sana kwani nahisi mteja wangu alikuwa ameshachoka na ilikuwa mida ya mumewe kurudi nyumbani....
Dah yaani wanawake hawa....

Acha tu...
Mi ndio maana kuna wakati namwangalia mwanamke wangu naguna tu. Mungu aendelee kumpa moyo huo huo wa uaminifu...maana mwanamke akiamua kukufanya ushenzi there is just nothing u can do. Trust me.
 
Niliwahi kumpakia mdada mmoja hivi mida ya asubuhi...nilimpeleka gesti ya kwanza nikaambiwa na jamaa nimsubiri nje na niagize ninachokitaka....nilisubiri hapo kama masaa manne...hadi alipotoka na safari ikaanza wakati tunaondoka akaniambia twende kimara...huko akanielekeza sehemu hiyo ambayo sijawahi kuiona...hapo napo akapokelewa na jibaba moja hivi na kama kawaida nikaambiwa nisubiri hapo nje na muhudumu akaambiwa anihudumie lolote lile.....hapo napo nilika kwa takribani masaa manne.....yule dada alipotoka tukaanza safari kuelekea nyumbani ,wakati tupo njiani mara ghafla ikapigwa simu...na baada ya simu akaniambia tupitie ubungo...ambapo tulikutana na jamaa mmoja hivi mwenye likitambi likubwa...hapo hatuja kaa sana kwani nahisi mteja wangu alikuwa ameshachoka na ilikuwa mida ya mumewe kurudi nyumbani....
Dah yaani wanawake hawa....
Si alipokelewa na mibaba jamani
 
Bodaboda zinasambaza sana ukimwi,bora zipigwe marafuku
 
Acha tu...
Mi ndio maana kuna wakati namwangalia mwanamke wangu naguna tu. Mungu aendelee kumpa moyo huo huo wa uaminifu...maana mwanamke akiamua kukufanya ushenzi there is just nothing u can do. Trust me.
Mkuu ulifanikiwa kumuona yule mrembo leo?
 
Mkuu ulifanikiwa kumuona yule mrembo leo?

Sikufanikiwa man,
Kuna seminar nyingine church usharika wetu hapa ya week nzima inaanza leo...jioni 4:30 pm to 7 pm....lazima nitamuona tu. Huwa na attend sana baada ya kutoka mzigoni.
 
Sikufanikiwa man,
Kuna seminar nyingine church usharika wetu hapa ya week nzima inaanza leo...jioni 4:30 pm to 7 pm....lazima nitamuona tu. Huwa na attend sana baada ya kutoka mzigoni.
church brothers and sisters.....kazi ipo
 
Binafsi wananisaidia mahitaji ya haraka haraka sokoni
Ila sisi(wanawake) ndo tunapokea wageni nyumbani so ni rahisi mgeni kufika nyumbani kwa mawasiliano ya ukaribu na bodaboda man anampokea mgeni na kumleta mpaka nyumbani
 
Hili mimi nishajiuliza, ila nikapata jibu wanawake hawadadandii bodaboda yoyote,huwa wana mtu wao ambao anawaendesha vile watakavyo. Ila wanaume huwa wanakurupuka na kujidai wana haraka ndio huishia kwenye ajali.
Exactly,ukiwaelekeza wanakua makini..mara chache ajali kwa abiria wanawake
 
Back
Top Bottom