little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 2,257
- 4,359
Yah kabisa mfano hicho kisa nilichokupa yule agent kiukweli alikuwa mpole hadi wenzake wakawa wanamtania endelea kutukana wanamcheka yeye kimya kabisa.Siri ya kushinda ni kuwa detached tu
Wengi hudhani kujizana ni kumkomoa kumbe una haribu siku yako na unajishushia point kwa yule unaye Jibizana nae.
Noma sana aisee.