Siri ya Utulivu na Mafanikio

Siri ya Utulivu na Mafanikio

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,054
Reaction score
21,867
Baada ya kukua na kutambua jinsi watu wanakuwa controlled na hisia.

Watu ambao hawajui kuwa less attached na kupannic. Huwa sio kwamba ni wakali au wagai gai by nature. Na pia sio watu wakali by nature, huwa ni so weak. Ila ile reaction ina wa manipulate kudhani wako sahihi.

Kadri unavyo kuwa unaanza kutambua jinsi non reactivity ni nguvu, tena kubwa sana inayowasaidia matajiri wa dunia ku execute na kufikia malengo.

Mimi huwa nawaelewa sana binadamu, na huwa nikiona mtu kaja juu, najua deeper layers ndani yake zilizo mleteleza kufikia pale.... Sio kama zamani now I'm more compassionate.

Asilimia chache za watu wenye kaliba hii ya upendo ndo wanafanya mambo yawe sawa duniani. Hata kwenye ngazi ya familia yule mtu ambae hajibizani sana, anamwacha mwongeaji apayuke then akikaa sawa tena ajifanye kama nothing happened! Aisee watu wa hivi wapewe mauwa yao. These are the most powerful people in this damn world.

Emotional intelligence is a superpower.
 
Huyu anaanziaga kule tik tok sasa kuja kupangilia hapa anakuwa anarukaruka tuu mpangilio zero.
Toa ushamba, kama umeshindwa kuelewa si ungeuliza? Soma mada zangu alafu kalinganishe na ushubwada wa tik tok
 
Hahaha, kero sana.
Maisha yanawanyoosha na wanashindwa kuzuia hisia.
Hahahaaa jana nimechiri sehemu, kuna jamaa ana baiskel akataka kuovertake gari katikati sasa jamaa wa gari akasimama akatoka akafoka kweli...
 
Hamna kitu unajua.

Mbona kucontrol iyo emotional hapa imekushinda🤫

Haya nenda tik tok kamsikilize Dr.Kweka anafundisha vizuri ukitoka uje uedit huu uchafu
Hahaha sasa wewe umekuja kuni jaribu alaf unategemea nini? 😂

Stop being a bitch, you shouldn't have replied in the way you did kama ungelitambua hiyo emotional intelligence yenyewe acha kujifanya mwanasaikolojia wakati wewe ndo mjinga
 
Usha panic tayari 😂
Reactivity yenyewe ndio hapa sasa.
Umekosa utulivu
Skia, sijapannic wala nini huyo amkeja na gia ya kujaribu mtu, ni ujinga wa hali ya juu. So alitegemea ni mwache wapite smoothly.

Kuna tofauti kati ya mtu anaye taka kujifunza na mpuuzi analeta drama
 
Kiukweli watu wanapanic mno na kuna like tusi pendwa ni dakika 2 tu. Nakumbuka nilikuwa stand ya mabasi nyegezi Mwanza kuna bwana mmoja alishuka pale akawa anatoka nje sijui kilitokea nini kuna wale ma agent akawa anamtukana yule bwana yule ye akawa kimya anamtazama tu wala hajibu jamaa kawakaa sana akaulizwa swali kwa ustarabu tu "hivi uko sawa" alafu akatembea mpaka nje jamaa alishtuka mno kuona gari iliyomfuata yule father.
Yani hata hakuangaika nae kabisa.

Sasa sisi wengine tungetaka ligi twende sawa wote kumbe sometimes haina haja fanya mtu ajione mpumbavu mwenyewe.
 
Kiukweli watu wanapanic mno na kuna like tusi pendwa ni dakika 2 tu. Nakumbuka nilikuwa stand ya mabasi nyegezi Mwanza kuna bwana mmoja alishuka pale akawa anatoka nje sijui kilitokea nini kuna wale ma agent akawa anamtukana yule bwana yule ye akawa kimya anamtazama tu wala hajibu jamaa kawakaa sana akaulizwa swali kwa ustarabu tu "hivi uko sawa" alafu akatembea mpaka nje jamaa alishtuka mno kuona gari iliyomfuata yule father.
Yani hata hakuangaika nae kabisa.

Sasa sisi wengine tungetaka ligi twende sawa wote kumbe sometimes haina haja fanya mtu ajione mpumbavu mwenyewe.
Siri ya kushinda ni kuwa detached tu

Wengi hudhani kujizana ni kumkomoa kumbe una haribu siku yako na unajishushia point kwa yule unaye Jibizana nae.
 
Hahaha sasa wewe umekuja kuni jaribu alaf unategemea nini? 😂

Stop being a bitch, you shouldn't have replied in the way you did kama ungelitambua hiyo emotional intelligence yenyewe acha kujifanya mwanasaikolojia wakati wewe ndo mjinga
"Stop being a bitch"☝️
Skia, sijapannic wala nini huyo amkeja na gia ya kujaribu mtu, ni ujinga wa hali ya juu. So alitegemea ni mwache wapite smoothly.
Emu tulia kwanza kuna kitu kinaitwa emotional disorder.
 
"Stop being a bitch"☝️

Emu tulia kwanza kuna kitu kinaitwa emotional disorder.
Wewe ishi kuliko toka, unajua umeleta negative vibes alaf unajifanya guru! Mpuuzi tu. Sasa kama unayajua haya kwanini ulijibu ushenzi mwanzo? Kwanini ukiweka kejeli?
 
Back
Top Bottom