Siri ambayo waombaji wengi wa Kikristo hawajaijua. Chukua hii uone matokeo katika maombi yako

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,709
36,166
Hello
Shalom!
Naongea na wakomavu ambao wanahitaji chakula kigumu na si uji tena.

Uhai wa Mkristo uko katika maombi, mkristo ambaye haombi huyo ni mkavu, aidha amekufa kiroho au anakaribia kufa kiroho.

Hivyo ni wajibu wa kila mkristo kuhakikisha mito ya uzima ndani yake haikauki. Na kuifanya mito kuwa rejuvenating ni kuwa mwanamaombi.

Ila jambo kuu ni kuwa mwanamaombi katika roho.

Ni heri mtu anayeomba dakika 5 katika roho kuliko mtu anayekesha kwa ombi lakini anaomba kibinadamu.

Mtu ambaye anaomba kibinadamu ni kama bubu tu, anatumia nguvu nyingi na muda mwingine mpaka sauti inaanza kubadilika.

Kila Ijumaa Walokole wengi tunafanya mikesha kuliombea taifa lakini umaskini ndani ya taifa hauishi, ujinga hauishi, na matatizo sugu katika jamii bado yanaendelea.

Nini sababu?

Sababu kuu ni kwamba maombi yanafanyika katika mwili.

Kuomba katika roho kwa mujibu wa Mtume Paul ni kuomba katika lugha ya MBINGUNI (lugha za malaika, lugha za Kimungu) , lugha ambazo wakuu wa anga kama waliomzuia Gabriel kumpa majibu Nabii Daniel hawazijui

Screenshot_20240330-081152.jpg

What good is that MUNGU anatupa lugha ambazo pepo wachafu hawazijui au tuseme hawazisikii lakini bado tunang'ang'ania kuomba kwa Kiswahili na Kiingereza.

Mtu anayeweza kuomba katika roho lisaa limoja non stop huyo ana uwezo wa kushinda jaribu lolote lililo mbele yake.

Screenshot_20240330-081627.jpg


Na kama ataweza kuomba masaa 2 katika roho non stop mtu huyo ataweza kuuvuta muujiza wowote mbele yake.

NOTE: Yesu alikufa msalabani ili watu wote hasa wanaomwamini waokolewe na wataishi maisha mazuri MBINGUNI na si hapa duniani.

Kwahiyo mahitaji ya duniani Mungu anakupa kwa kipimo chake. Ingawa ni haki ya kila muamini kupata mahitaji yake muhimu lakini ni vyema akilini mwako ulitambue hili kuwa ujio wa Yesu na kifo chake ni kwaajili ya maisha yajayo (Eternal life).

USINENE wa kukariri au kwa kuiga, wapo wanaonena kwa kukariri na kuiga, ni wengi, wengine hunena kwa roho chafu.

Natamani nielezee hapa kunena kwa lugha kukoje, kuhutubu (kutabiri) kukoje.

Maana wengine huchanganya hivi vitu 2.

Kinachotakiwa kifasiriwe ni kuhutubu (kutabiri) sio kila mtu anaponena panahitajika mtafsiri.
 
Hujanijibu Mkuu Kunena kwa LUGHA mlitoa wapi?

Hata katika Filamu ya YESU sijaona Akisema Shakara "babababbaa la bosika la matembweleza salambaba"

Mmeitoa wapi hiyo staili?
Msingi wetu hauko katika filamu ya Yesu. Ile ni ya waigizaji tu waliigiza kama njia ya kutafuta pesa.
Soma Maandiko hayo ndipo tulikotoa kunena kwa lugha.
Ni maagizo ya Yesu mwenyewe.
 
LUGHA ni sauti zenye mpangilio na maana....

Sasa hizi mnazoongea nyie ni lugha gani? Zina maana gani?
Ndugu sitamgazi biashara, kama jambo hauko interest pita kimyakimya.
Unaweza kujiona una hekima kumbe uangamivu uko mlangoni kwako.
 
Hello
Shalom!
Naongea na wakomavu ambao wanahitaji chakula kigumu na si uji tena.

Uhai wa Mkristo uko katika maombi, mkristo ambaye haombi huyo ni mkavu, aidha amekufa kiroho au anakaribia kufa kiroho.

Hivyo ni wajibu wa kila mkristo kuhakikisha mito ya uzima ndani yake haikauki. Na kuifanya mito kuwa rejuvenating ni kuwa mwanamaombi.

Ila jambo kuu ni kuwa mwanamaombi katika roho.

Ni heri mtu anayeomba dakika 5 katika roho kuliko mtu anayekesha kwa ombi lakini anaomba kibinadamu.

Mtu ambaye anaomba kibinadamu ni kama bubu tu, anatumia nguvu nyingi na muda mwingine mpaka sauti inaanza kubadilika.

Kila Ijumaa Walokole wengi tunafanya mikesha kuliombea taifa lakini umaskini ndani ya taifa hauishi, ujinga hauishi, na matatizo sugu katika jamii bado yanaendelea.

Nini sababu?

Sababu kuu ni kwamba maombi yanafanyika katika mwili.

Kuomba katika roho kwa mujibu wa Mtume Paul ni kuomba katika lugha ya MBINGUNI (lugha za malaika, lugha za Kimungu) , lugha ambazo wakuu wa anga kama waliomzuia Gabriel kumpa majibu Nabii Daniel hawazijui

View attachment 2948811
What good is that MUNGU anatupa lugha ambazo pepo wachafu hawazijui au tuseme hawazisikii lakini bado tunang'ang'ania kuomba kwa Kiswahili na Kiingereza.

Mtu anayeweza kuomba katika roho lisaa limoja non stop huyo ana uwezo wa kushinda jaribu lolote lililo mbele yake.

View attachment 2948813

Na kama ataweza kuomba masaa 2 katika roho non stop mtu huyo ataweza kuuvuta muujiza wowote mbele yake.

NOTE: Yesu alikufa msalabani ili watu wote hasa wanaomwamini waokolewe na wataishi maisha mazuri MBINGUNI na si hapa duniani.

Kwahiyo mahitaji ya duniani Mungu anakupa kwa kipimo chake. Ingawa ni haki ya kila muamini kupata mahitaji yake muhimu lakini ni vyema akilini mwako ulitambue hili kuwa ujio wa Yesu na kifo chake ni kwaajili ya maisha yajayo (Eternal life).

USINENE wa kukariri au kwa kuiga, wapo wanaonena kwa kukariri na kuiga, ni wengi, wengine hunena kwa roho chafu.

Natamani nielezee hapa kunena kwa lugha kukoje, kuhutubu (kutabiri) kukoje.

Maana wengine huchanganya hivi vitu 2.

Kinachotakiwa kifasiriwe ni kuhutubu (kutabiri) sio kila mtu anaponena panahitajika mtafsiri.
KAFANYE KAZI ACHANA NA SIRI ZA MAOMBI MTUMISHI UTACHELEWA SANA
 
Hujanijibu Mkuu Kunena kwa LUGHA mlitoa wapi?

Hata katika Filamu ya YESU sijaona Akisema Shakara "babababbaa la bosika la matembweleza salambaba"

Mmeitoa wapi hiyo staili?
Soma sana biblia Kuna mambo hauyaelewi hujui hata kuja kwa Yesu Kuna manabii waliotangulia waliyabiri hujui kama huko kunena kwa lugha ilishatabiriwa na manabii kumbuka ata Yesu alivyokuwa akipaa aliwaambia atamuomba baba awape msaidizi ambaye ni roho mtakatifu

Kunena kwa lugha ni ishara ya kujazwa kwa roho mtakatifu kasome zaidi matendo 2
 
Back
Top Bottom