The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
- Thread starter
- #421
Kweli kabisa mafikizolo, Kaka wa rafiki yangu mmoja alienda tanga kikazi hadi sasa hata kwao hajawahi kurudi ni miaka 20 imepita sasa wazazi wao wamefariki jamaa hata msibani hakuja.
Kweli tanga noma.......!
uchawi wa tanga kweli ni hatari...