Sio sawa watoto kumaliza mtihani wa taifa kisha kuendelea na masomo ya mwakani

maroon7

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
11,144
15,144
Darasa la nne wamemaliza mitihani hivi karibuni.

Na wote tunafahamu jinsi hizi shule za siku hizi zinavyochukulia mitihani kama vita maana kipindi chote cha mwaka watoto hawapumziki kisa mtihani wa taifa na hubebeshwa madaftari yote na vitabu juu.

Mbaya zaidi watoto walianza kutoka jioni saa 12 mitihani ilipokaribia. Kiukweli watoto walichoka, sasa baada ya kumaliza mitihani yao juzi tukajua watapumzika na afya irejee lakini cha ajabu wameunga na sasa wanasoma kama kawaida masomo ya darasa la 5. Hivi Serikali mnavyotunga mitaala mnawaelewesha hawa wenye shule nini kinapaswa kufanyika?

Nakumbuka hata likizo ilibidi serikali iingilie kati baada ya wanaJF kuhoji shule kutofungwa kwa watoto wenye madarasa ya mitihani kuwaunganishia bila kupumzika.
 
Darasa la nne wamemaliza mitihani hivi karibuni.

Na wote tunafahamu jinsi hizi shule za siku hizi zinavyochukulia mitihani kama vita maana kipindi chote cha mwaka watoto hawapumziki kisa mtihani wa taifa na hubebeshwa madaftari yote na vitabu juu.

Mbaya zaidi watoto walianza kutoka jioni saa 12 mitihani ilipokaribia. Kiukweli watoto walichoka, sasa baada ya kumaliza mitihani yao juzi tukajua watapumzika na afya irejee lakini cha ajabu wameunga na sasa wanasoma kama kawaida masomo ya darasa la 5. Hivi serikali mnavyotunga mitaala mnawaelewesha hawa wenye shule nini kinapaswa kufanyika?

Nakumbuka hata likizo ilibidi serikali iingilie kati baada ya wanajf kuhoji shule kutofungwa kwa watoto wenye madarasa ya mitihani kuwaunganishia bila kupumzika.
True mjomba wanaumiza watoto walitakiwa kwenda kupumzika kila mtu anajua hali unayokuwa na nayo baada ya mitihani hii mikubwa inakuacha hoi unakuwa Huna hama tena na masomo
 
mimi nashangaa sana
mtoto anamaliza mtihani jumatano jumatatu anaanza PRE FORM one ni kitu gani? yaani unamfundisha mtu vitu atakavyoenda kusoma?
Pre form one, pre form five ni ujinga na kuchoshana tu
zamani haya maujinga hayakuwepo na watu tulifaulu vizuri tu.
shule zikifungwa tulikuwa tunacheza chandimu weeee mpaka zifunguliwe no tuition no ujinga ujinga huu unaoendelea kwenye elimu
 
mimi nashangaa sana
mtoto anamaliza mtihani jumatano jumatatu anaanza PRE FORM one ni kitu gani? yaani unamfundisha mtu vitu atakavyoenda kusoma?
Pre form one, pre form five ni ujinga na kuchoshana tu
zamani haya maujinga hayakuwepo na watu tulifaulu vizuri tu.
shule zikifungwa tulikuwa tunacheza chandimu weeee mpaka zifunguliwe no tuition no ujinga ujinga huu unaoendelea kwenye elimu
Sad watoto hawana hata muda wa kucheza.... Mtaani kwetu kuna majirani walinambia wao kuna mwalimu anakuja kila siku kuwafundisha watoto wao nyumbani namimi nijiunge... Nikasema nitoleeni ujinga wenu
 
Sad watoto hawana hata muda wa kucheza.... Mtaani kwetu kuna majirani walinambia wao kuna mwalimu anakuja kila siku kuwafundisha watoto wao nyumbani namimi nijiunge... Nikasema nitoleeni ujinga wenu
tatizo ni kubinafsisha elimu. zile shule za private zinatumia nguvu nyingi sana kufaulisha ili zifanye vizuri sokoni? wakaguzi wakienda wanalambishwa bahasha wanaondoka
 
Darasa la nne wamemaliza mitihani hivi karibuni.

Na wote tunafahamu jinsi hizi shule za siku hizi zinavyochukulia mitihani kama vita maana kipindi chote cha mwaka watoto hawapumziki kisa mtihani wa taifa na hubebeshwa madaftari yote na vitabu juu.

Mbaya zaidi watoto walianza kutoka jioni saa 12 mitihani ilipokaribia. Kiukweli watoto walichoka, sasa baada ya kumaliza mitihani yao juzi tukajua watapumzika na afya irejee lakini cha ajabu wameunga na sasa wanasoma kama kawaida masomo ya darasa la 5. Hivi Serikali mnavyotunga mitaala mnawaelewesha hawa wenye shule nini kinapaswa kufanyika?

Nakumbuka hata likizo ilibidi serikali iingilie kati baada ya wanaJF kuhoji shule kutofungwa kwa watoto wenye madarasa ya mitihani kuwaunganishia bila kupumzika.
Hiyo shule ni ya binafsi au ya serikali?
 
mimi nashangaa sana
mtoto anamaliza mtihani jumatano jumatatu anaanza PRE FORM one ni kitu gani? yaani unamfundisha mtu vitu atakavyoenda kusoma?
Pre form one, pre form five ni ujinga na kuchoshana tu
zamani haya maujinga hayakuwepo na watu tulifaulu vizuri tu.
shule zikifungwa tulikuwa tunacheza chandimu weeee mpaka zifunguliwe no tuition no ujinga ujinga huu unaoendelea kwenye elimu
Mm nakumbuka nilipomaliza darasa la 7 nilitolewa kwetu uchagan mpaka dsm kufundishwa biashara

Hata nilipofaulu Std 7 nilichelewa Kama wiki 3 kuweka hesabu za biashara sawa

Wale waliosoma Pre form one walikuwa wamekariri majina ya Masomo tu, mengine waliishia kuandika kwenye madaftar yao, test ilipotoka waliishia kusema hata Pre form one tulisoma

Baada ya kuhitimu kidato Cha 4, utaratibu ulikuwa huo huo, nilienda kutafuta heleri, tuliporipot kidato Cha 5 tuliwakuta wenzetu waliokuwa wamesoma karibu topic zote za form 5 na baadhi za form 6, yaan mpaka inafika mahali unajisemea "Mm hapa napoteza muda labda". Lakin mwisho wa siku mnadaulu wote na wengine waliokutisha unawapita kwa mbali

Utaratibu ulibadilika nilipomaliza form 6 tu, huko niliachwa niamue mwenyewe, kwa ujinga wangu nkachagua kwenda kufundisha "tempo" japo nililipwa vizur, niliweza kujilipia direct cost na gharama nyingine zote wakat naanza University

Haya Mambo ya shule kila wakat hata watoto hawapat muda wa kufikir Mambo mengine
 
Mm nakumbuka nilipomaliza darasa la 7 nilitolewa kwetu uchagan mpaka dsm kufundishwa biashara

Hata nilipofaulu Std 7 nilichelewa Kama wiki 3 kuweka hesabu za biashara sawa

Wale waliosoma Pre form one walikuwa wamekariri majina ya Masomo tu, mengine waliishia kuandika kwenye madaftar yao, test ilipotoka waliishia kusema hata Pre form one tulisoma

Baada ya kuhitimu kidato Cha 4, utaratibu ulikuwa huo huo, nilienda kutafuta heleri, tuliporipot kidato Cha 5 tuliwakuta wenzetu waliokuwa wamesoma karibu topic zote za form 5 na baadhi za form 6, yaan mpaka inafika mahali unajisemea "Mm hapa napoteza muda labda". Lakin mwisho wa siku mnadaulu wote na wengine waliokutisha unawapita kwa mbali

Utaratibu ulibadilika nilipomaliza form 6 tu, huko niliachwa niamue mwenyewe, kwa ujinga wangu nkachagua kwenda kufundisha "tempo" japo nililipwa vizur, niliweza kujilipia direct cost na gharama nyingine zote wakat naanza University

Haya Mambo ya shule kila wakat hata watoto hawapat muda wa kufikir Mambo mengine
kabisa yaani mtoto mwaka mzima anasoma tuu, akimaliza chuo hata kuandika barua hajui. anajua kuangalia movies tu
 
Darasa la nne wamemaliza mitihani hivi karibuni.

Na wote tunafahamu jinsi hizi shule za siku hizi zinavyochukulia mitihani kama vita maana kipindi chote cha mwaka watoto hawapumziki kisa mtihani wa taifa na hubebeshwa madaftari yote na vitabu juu.

Mbaya zaidi watoto walianza kutoka jioni saa 12 mitihani ilipokaribia. Kiukweli watoto walichoka, sasa baada ya kumaliza mitihani yao juzi tukajua watapumzika na afya irejee lakini cha ajabu wameunga na sasa wanasoma kama kawaida masomo ya darasa la 5. Hivi Serikali mnavyotunga mitaala mnawaelewesha hawa wenye shule nini kinapaswa kufanyika?

Nakumbuka hata likizo ilibidi serikali iingilie kati baada ya wanaJF kuhoji shule kutofungwa kwa watoto wenye madarasa ya mitihani kuwaunganishia bila kupumzika.
Mimi wangu nimemkataza asiende
 
Akibaki nyumbani ndio majanga zaidi.


Dunia imeshakuwa mbio mbio wakikaa tu eti enzi nzetu tulicheza ndo tutaendelea kucheza mpaka kesho.
 
Back
Top Bottom