Sio kwa dongo hili!!

Sio kwa dongo hili!!

come zis way without chap chap
in Asprin voice
Ewaaaa... nami kwa moyo wa upendo kabisa, bila kushawishiwa na mtu, nikiwa na akili zangu timamu... nakukabidhi haka kamchepuko kangu espy ukatumie utakavyo... ukikachoka unirudishie chapchap sana yani

Kiroho safi kabisa...
 
Ewaaaa... nami kwa moyo wa upendo kabisa, bila kushawishiwa na mtu, nikiwa na akili zangu timamu... nakukabidhi haka kamchepuko kangu espy ukatumie utakavyo... ukikachoka unirudishie chapchap sana yani

Kiroho safi kabisa...

Ngoja tarehe moja ifike, sijui utakuwa mgeni wa nani!!
 
Ngoja tarehe moja ifike, sijui utakuwa mgeni wa nani!!
1484375574888-jpg.459761
 
This could be THE BEST MESSAGE to read since the beginning of the year

No wonder if it ll be on chart for this whole year,

To pray and ask GOD for a good wife to shape your life and trying to guide her's.

Hapo kwenye mke wa kufaa hakunaga ujanja zaidi ya MAOMBI.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ndio uache kula mansion za watu, you ll catch fire!!

Miss you more swetie.
I guess I'm back lol

Me mbona sijafikia level za kula mansion. Babes wenyewe si unawajua, ile unafungua tu fanta unywe utasikia "vyumba vipo" hahhaha
 
I guess I'm back lol

Me mbona sijafikia level za kula mansion. Babes wenyewe si unawajua, ile unafungua tu fanta unywe utasikia "vyumba vipo" hahhaha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Chaaah!! Kweli kazi tunayo mama, wengine wanakunywa mifuko 8 ya simenti kupitia savah!! RRONDO katuchoka!!
 
This could be THE BEST MESSAGE to read since the beginning of the year

No wonder if it ll be on chart for this whole year,

To pray and ask GOD for a good wife to shape your life and trying to guide her's.

Hapo kwenye mke wa kufaa hakunaga ujanja zaidi ya MAOMBI.
Mkikutana wote mnaofaa raha sana, mnafaana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom