We unadhani maisha ya SA ni kama ya Bongo????
Pasikie tu
In short msosi unaonunua 2000 kule ni zaidi ya 9000.
Kutoka makumbusho to posta unalipa 400 SA kwa umbali huo utalipa 3500 mpaka 4000.
Pasikie tu rafiki
Hahahaaaaa!! Lazima wamrudie Mungu, sio kwa ubandits huo!! Taratibu wanaanza kufunguka.Siku hizi wakaka naona yamewafika shingoni haswa na wameamua kuwa ki Imani zaidi. Naona ni mwendo wa kukemea tu sasa, kuna yule dada aliomba hela kwa boyfriend kwenye simu na yeye akakemewa kwa jina la Yesu. Kazi ipo.
Marahaba mrembo..Shikamoo!
Hahahaaaaa!! Lazima wamrudie Mungu, sio kwa ubandits huo!! Taratibu wanaanza kufunguka.
Mimi huwa nasema hapa jf wanawake wengi ni vichwa vidogo.(small head with a little/small brain)Hahahaaa!! Sio hivyo bwana, kaujumbe kametulia kwakweli, ukikasoma ukiwa umetulia haki unapata kitu.