kuleni shada na mobiHili baridi la chuga ni kwere jombi. Kunae njeve ile mbaya.
Hili baridi la chuga ni kwere jombi. Kunae njeve ile mbaya.
Jamaa mmoja nilimnasa vibao baada ya kuniambia, "leta funguo yangu". Baada ya kichapo hicho nikamuambia, unatakiwa kusema ufunguo wangu.Ni hii baridi, sio "hili" baridi.
Hii baridi, Hii baridi, Hii baridi...
Nyie machali ni walaini kinomaNyuzi joto 13 hapa, hii baridi ni kali sana
Mimi nilivyokuwa clinical officer nilimtembezea mkong'oto wa haja mgonjwa flani mahabara alipokuja nakuniambia nimekuja kupima mavi. Baada ya kichapo nikamkumbusha asirudie tena kusema kupima mavi bali aseme kupima choo.Jamaa mmoja nilimnasa vibao baada ya kuniambia, "leta funguo yangu". Baada ya kichapo hicho nikamuambia, unatakiwa kusema ufunguo wangu.
Hakukosea tena mbona!
Mabange ushaanza fujo😅
Huyo si Kenyonyo hapo mbele 😅😅
Ukikosea tena kofi nakulamba tena. Sina matani katika mambo siriazi.Mimi
Ndiyo yeye mkuu 😂😂😂Huyo si Kenyonyo hapo mbele 😅😅