The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Hongea sana bw Sinkala kwa kufikia huo uamuzi wa kijasiri.
Hongera sana Mkuu Sinkala.
Mungu akuongoze kwenye njia unayoelekea na wala usiogope milima kwani penye milima mingi pana miteremko mingi pia.
Hongera sana Sinkala!
All the best mkuu
Hata mkuu Tzengo mbona walio hivo kuna nini?
Hata mkuu Tzengo mbona walio hivo kuna nini?
Mkuu we acha tu,kuna makubwa kwnye nchi yangu ndo yananiliza-ila acha tusiharibu thread, hongera tena mkubwa Sinkala.
Hahahaha unajua wengi hatujui maana ya harusi na Ndoa hata akina Nyamayao,MJ1,Shishi,WOS,agika na wengineo.
Unajua ninapenda kufikia hatua kama hiyo ya kuwa mwili mmoja lakini daaaahh!Kumpata mtu sahihi katika kizazi hiki ndipo ninapoumia kichwa.Yaani kama nitampata mtu sahihi naingia nae mkataba baada ya kufanya feasibility study.Ila ninaamini hata hapa hapa JF naweza pata mtu vile!Mkuu, hapo mtakuwa mnaibariki ndoa na kufanya harusi na si kufunga ndoa braza!
ahongereke huyo sinkala (maana simfahamu). nilitangaza humu nami natafuta mchumba sijapata response ya maana. yaonyesha humu hakuna totoz.
Unajua ninapenda kufikia hatua kama hiyo ya kuwa mwili mmoja lakini daaaahh!Kumpata mtu sahihi katika kizazi hiki ndipo ninapoumia kichwa.Yaani kama nitampata mtu sahihi naingia nae mkataba baada ya kufanya feasibility study.Ila ninaamini hata hapa hapa JF naweza pata mtu vile!
Hata hivyo hongera Sinkala kwa kufungua ukurasa mpya,bado ni natafakari kama vp nafikiri tunaweza kuwa pamoja siku hiyo ya tukio.
weeee fide tulia hivyohivyo! weee hujui maana ya ndoa kwasababu si mwanandoa,subiri hiyo 2050 ukiwa unatembea kwa fimbo na mgongo umepinda.unaoa binti mdogo vijana wanakumegea.Hahahaha unajua wengi hatujui maana ya harusi na Ndoa hata akina Nyamayao,MJ1,Shishi,WOS,agika na wengineo.