GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
Mhhhh hili nalo neno.
Lakini wakuu wa idala wanasema kujiexpress kwenye ndoa marufuku.
sasa kama gharama za kuoa na mahari ziko juu tutafanyaje?, tutakua tunabanjuka na vimeo tuu
Mhhhh hili nalo neno.
Lakini wakuu wa idala wanasema kujiexpress kwenye ndoa marufuku.
Kwa wale mlio Dar na wale ambao mngependa kushirikiana na mwenzetu...
Kuna mwenzetu (Sinkala) anatarajia kufunga ndoa mwezi huu.
Kwa wale ambao wangependa kushirikiana katika kuiwakilisha JF ama kushirikiana na mwenzetu katika hali na mali tuwasiliane via PM ili niwape mwongozo wa huyu mwenzetu.
Aidha unaweza kuwasiliana na Maxence via +255713444649.
JF itatoa zawadi yake katika harusi hii. Ushirikiano wenu unakaribishwa sana.
sinkala kaka hongera sana kwa uamuzi wako wa busara. Mtangulize mungu katika maisha yako haya mapya. Muwe na masikilizano nadani ya ndoa, mheshimiane na muwe na upendo wa dhati. Nyumba ndogo na vidumu ziwe ni story tell kwenu na muwe mabalozi wazuri wa institution hii ili muweze kuirudisha hadhi yake na kuwahakikishia kina fidel ambao hawana faith in it that still it can be that little peradise on earth .........
sasa kama gharama za kuoa na mahari ziko juu tutafanyaje?, tutakua tunabanjuka na vimeo tuu
Ukipiga mimba basi hadhi ya harusi inashuka vile vile gharama za kuoa nazo zinashuka unakuwa umeua ndege 2 kwa jiwe moja.
kuwahakikishia kina Fidel ambao hawana faith in it that Still It can be that little peradise on earth .........
Duh,Mkuu nimekusoma.
Nawasiliana na Maxence aje chukua nyongeza yangu.
Na mimi nakuhakikishia kwenye ndoa yangu wewe utakuwa mama mlezi.
Hivi mwanamke akiwa amesha zaa mnafunga ndoa au harusi?
Je na hii tabia ya siku hizi watu kupiga mimba kwanza ndo wanafunga harusi inaruhusiwa? Utakuta bi harusi kitumbo huko mbele pale.
Na mimi nakuhakikishia kwenye ndoa yangu wewe utakuwa mama mlezi.
Hivi mwanamke akiwa amesha zaa mnafunga ndoa au harusi?
Je na hii tabia ya siku hizi watu kupiga mimba kwanza ndo wanafunga harusi inaruhusiwa? Utakuta bi harusi kitumbo huko mbele pale.
Ukipiga mimba basi hadhi ya harusi inashuka vile vile gharama za kuoa nazo zinashuka unakuwa umeua ndege 2 kwa jiwe moja.
Nimeshapokea michango ya wakuu wawili (Fidel80 na Geoff).
Hongera sana Mkuu Sinkala.
Mungu akuongoze kwenye njia unayoelekea na wala usiogope milima kwani penye milima mingi pana miteremko mingi pia.
Mkuu, hapo mtakuwa mnaibariki ndoa na kufanya harusi na si kufunga ndoa braza!