Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
emotions are part of humanity!its normal to symaphathize with other people and having empathy for them au we robot?Emotions zilivyotapakaa kwenye hii post? Anyway sikumaanisha kumuumiza yeyote, bali kuwa objective.
Why do gays come out?And why straight people don't come out?
Kuna some sort ya kutafuta acceptance kwa wale wa kwanza. Na kwa nini watafute acceptance kama wanaona wako normal?
Ulishawahi kuongea na mwanamke aliyebakwa? Anakuwa emotional over small things.
Kama uko okay for real huwezi kuwa emotional kiasi hiki, sababu kuzaa bila mwenza si ulemavu.
Umeongea kwa uchungu kilaza. I feel you. Nna rafiki yangu nimeongea nae juzi. Yy ni binti na baba alimpa ujauzito mama ake akiwa anasomea unesi shule ya masista. Yule mama alifukuzwa shule kwa kosa la kupata mimba. Akarudi kijijini kuzaa then baadae akatafuta shule pengne akasoma. Kalea mwanae peke yake.
Big ass kiazi kama unavyomwita alikuja kumtafuta mwanae baada ya kujua kachaguliwa kwenda kusomea udaktari. Huwez amini yule dada alimfukuza baba yake na hata wakikutana barabarani ni shikamoo marahaba no story. Yule dada kwa sasa ni daktari na kaolewa ana watoto wawili. Mzed hata siku ya harusi hakukaribishwa na analalamika wamemuoza binti yake bila kumshirikisha. Watoto wanaokataliwa huwa Mungu anawainua sana baadae.
To be a single is a challenge. I stayed with a man for six good years in a relationship. Fortunately I fell pregnant to him. He told me to abort. Aisee niligoma. Jamaa alikua mbogo na alinitolea maneno mengi sana ya kashfa. Alinitesa sana kipindi cha ujauzito. Kuna wakati usiku nilikua naugua sana but nilikua nahangaika peke yangu usiku kucha yy akiwa kalala pembeni. Kwa neema ya Mungu nilijifungua salama.
Jamaa alinikimbia na kuniacha na mtoto mchanga wa wiki tatu hata arobaini nilikua sijafichikisha. By that time nilikua sina hata kazi masikini ya Mungu. Kula shida,kodi ya nyumba sina. Nakumbuka nilikuja kufukuzwa ninayoishi nikapewa masaa 24 niwe nimehama kama ntakua sijalipa kodi. Nilimweleza mwenzangu akaniambia kopa ukianza kazi utakuja kulipa ila kwa sasa mi sina hela.
Sitasahau jinsi nilivyoumia coz sikuwa na kwa kwenda na mwanamgu. Bahati nzuri kuna rafiki yangu alinikopesha na nilikuja kumlipa baadae nilipopata kazi. Nilimbatiza mwanangu nikiwa sina hata shilingi kumi. Gauni la ubatizo alinunuliwa na rafiki yangu na wasimamizi wa mwanangu ndio walioniandalia chakula. Yy hakutoa hata senti kumi na wala hajui mwanae alivaa nn siku ya kubatizwa.
Ni mengi mno niliyoyapitia lakn kwa neema ya Mungu nimeweza kusimama imara. Binti yangu kwa sasa yuko darasa la pili na nimekua nikimueleza unyama alioufanya baba yake ili atambue kuwa baba ake ni mtu wa aina gani. Sijutii kumweleza ukweli kwan hata akimuuliza baba ake sijali kwan ndiyo aliyoyafanya kwake na kwangu.
Nikimwangalia binti yangu alivyo faraja kwangu huwa nakumbuka mbali sana.
Ni kweli! Badala ya kuyafanyia kazi eti ooh wanawake wengine wabaya wanawajaza maneno watoto! Shame on you hivi mnadhani watoto wajinga si wanaona mambo yanavyokwenda! Una kipato kizuri hutaki kumsidia. akumatambua tu. Ukizeeka au ukaona ana kipao kizuri ndi unamfuata. Akikutolea nje hukawii kuanza oo watoto wa kulelewana na mma wana tabia mbaya Shame on you all mliofanyau mnaotarajiwa kufanya hivy. Be responsible make sure hupati watoto hovyo, kw wanaume hebu jiulize una uwezo waupata watoto wangapi maishani mwako? Chukua tahadhari!
Econometrician pole kwa kutomfahamu baba yako. Ukweli ni kuwa story yako ndio wanayoipitia watoto wengi sana. Dada yetu mkubwa ana story kama yako. Lakini bahati nzuri yeye alikomaa hadi mama yake akamwambia baba ni nani na yuko wapi. Mwisho wa siku tumemfahamu na tunaishi vizuri sana na dada yetu.
Kinachonoshangaza ni vile wazazi wa kike wanavyowajaza watoto tena umri mdogo sana maneno mabaya kuhusu baba zao. Imagine mtoto wa darasa la pili unamueleza tabia mbaya za baba yake, ili iweje? Unamnyima mtoto haki ya kufurahia utoto wake. Makosa yako na mzazi mwenzako yasikufanye ukampa mtoto mizigo ambayo hsiendani na uwezo wa akili na umri wake. Hapa nao naamini ubinafsi una mapana mengi hata kwa viumbe tulioealeta duniani tunakuwa wabinafsi kwao.
I am proudly a single parent and i have never regretted my decision to become one. Actually becoming a mother has been one of my greatest achievements so far. Waking up each morning besides my beautiful baby is a true blessing and i always thank God for this beautiful opportunity to be called a mother.
Just to recap a bit about my past.....nakumbuka ilikua mkwa 2010 nilipokutana na huyu kaka and right from the word go i knew he was bad news ila i have always had a thing for "bad boys", huwa niko attracted to such. Basi one thing led to another and all was beautiful & dreamy, everything i would have imagined about him came true. He gave me 6 good months of nothing but pleasure & heaven on earth (hihihihihiii). Anyways to cut the long story short, nikaja gundua i was 2 weeks pregnant surprisingly i was at peace with myself. Right from the word go i knew i wanted to have this baby and one thing i was certain about was that there was no way i was getting this dude involved. So taratibu i started cutting him loose, nikaanza punguza mawasiliano, akitaka tuonane mm nampiga chenga. Kuna kipindi akawa anatamani sana tuonane but mm nikawapa natafuta visingizio, luckily tupo mikoa tofauti & didn't have common friends so interaction was minimal.
Nikiwa almost 9 months pregnant nikakutana na ndugu yake kwa bahati mbaya, huyo ndugu yake si akaenda mwambia jamaa. He flew from wherever he was to where i was to come confirm if i was truly pregnant, tena alinifanyia suprise nisijue kama anakuja. We talked a lot that evening, akaniuliza maswali mengi sana & i never gave him the answers he was looking for. Eventually akarudi zake kwao na life likaendelea. He comes to visit whenever he's around & he supports us as a friend na hadi leo hii sijawahi mwambia kama yy ndo baba wa mtoto wangu.
Ukweli ni kwamba i had my reasons for keeping him at bay about my son's father's identity, hiyo ni siri yangu & i believe that God will understand, hopefully my son will come to understand me when he finally grows up enough to comprehend such things.
Being a single parent has been a blessing in disguise, nimepata breakthroughs za ajabu mno katika shughuli zangu & my life has changed for the best. Lifestyle yangu has changed for good & if i had a second chance at life i wouldn't change a thing about it! I am happy & thankful every single day.
Mnisamehe kwa Kiswaglish changu na story ndefu..hihihihiihihhiii... bottom line is i am a proud parent to the most amazing boy under the sun & would forever be grateful to my "bad boy" for giving me such a beautiful baby, by boy is gonna go places, Mungu atupe uzima tu!
mkuu hatuishi kwa kukariri na huwa binadamu tunatumia vichwa vyetu kufikiri sio kufugia nywele tuu kama wewe unavyofanya
nimeandika hiyo post kwakuwa nimeguswa na koment ya dada yangu aliyekanwa na mume (sitakagi kuliongelea hilo )
binadamu walinielewa (eli 79. zamda .Nandera. and e.t.c) lakini
mbuzi ndio wanaotaka nirudierudie hapa
kwanza nikuonye put my mama out of this she is a genius of her own kind ni msomi ni mrembo na ni mrembo kwelikweli sikui alitoka wapi na yule taira (wanasemaga ndege mjanja ananasa tundu bovu) na amenilelea vizuri kuliko hata ulivyolelewa wewe trust me
mama yangu hajawai kuniambia lolote kuhusu huyu kiazi boya mbuzi kende pi.mbi big fat a.s.s becoz I ddnt show any interest naye wala sijawai kumuulizia na wala sitaki kuuliza mimi ni mtu mzima hata kama walikuwa na ugomvi wao hasira yake ndio anihamishie mimi???????
Tunapiga stori nyingi sana za utotoni nilivyokuwa mtundu n.k hata nilivyoanza kutongoza videmu alikuwa ananishauri vizuri tu bila aibu nakumbuka alikuwa ananiambia
"lets talk like friends nasio kama mtu na mama yake "
elimu aliyonipa ni zaidi ya chuo kikuu
nilichogundua ni kuwa wewe ulimtelekeza mtoto hivyo unaogopa asije akawa na akili kama zangu
hapo kwenye blue
ngoja nikutajie wachache
bill Clinton. 50 cent .mariah carey . B.I.G .p diddy.Armstrong. Tom cruz.jammie fox .jay z .Enrique. jet lee .madonna.Eddie Murphy. Obama. Ronaldhinho.Tupac.kanye west.e.t.c
Soooooo tauching!!! Unaongea maneno ambayo yananiumiza sana moyo wangu, Duh!! Mungu akubariki na akupe nguvu. Iko siku hayo yote utasahau. Mungu ndiye muweza wa yote. Pole sana.
And this God told you to put your son's father at bay??!!!!
Econometrician pole kwa kutomfahamu baba yako. Ukweli ni kuwa story yako ndio wanayoipitia watoto wengi sana. Dada yetu mkubwa ana story kama yako. Lakini bahati nzuri yeye alikomaa hadi mama yake akamwambia baba ni nani na yuko wapi. Mwisho wa siku tumemfahamu na tunaishi vizuri sana na dada yetu.
Kinachonoshangaza ni vile wazazi wa kike wanavyowajaza watoto tena umri mdogo sana maneno mabaya kuhusu baba zao. Imagine mtoto wa darasa la pili unamueleza tabia mbaya za baba yake, ili iweje? Unamnyima mtoto haki ya kufurahia utoto wake. Makosa yako na mzazi mwenzako yasikufanye ukampa mtoto mizigo ambayo hsiendani na uwezo wa akili na umri wake. Hapa nao naamini ubinafsi una mapana mengi hata kwa viumbe tulioealeta duniani tunakuwa wabinafsi kwao.
So many things have being said, yangu machache tu, respect and salute u single parents geniveros devota vijance charminglady Zamda Geuka Miss Kim Mamndenyi Babynice NANDERA Victoire msumeno and others.
emotions are part of humanity!its normal to symaphathize with other people and having empathy for them au we robot?
Inashangaza kwa kweli, nitaelewa kwa mtu aliyebakwa na kupata ujauzito lakini umeiachia kwa hiari?Ukiwa objective humu unaweza kupigwa hata mawe.
Dah, kama ukilelewa na single mother unakuwa na matusi namna hii basi kuna tatizo fulani katika malezi. Nimeona single mothers wengi humu ni wajasiri na mashujaa wana determination kuwalea watoto wao vizuri, nashauri wawalee watoto wao wasiwe na hii tabia ya kutoa matusi na kujifanya kijogoo. Mwisho wa siku naona pia kuna character ya kutaka kulipa kisasi au kufidia yale mapungufu ya malezi kwa kujitengenezea mazingira kuwa wewe ni bora zaidi,,, na kuwa kulelewa na single parents ni bora kuliko otherwise,, kitu ambacho kila mtu angependa mtoto alelewe na wazazi wote iwe ndio standard practice.
Sijamzi maneno mabaya ila namweleza ukweli wa kilichotokea. Na wala sijali hata akimuuliza baba ake kwan ndicho alichokifanya. Simsingizii ila namweleza ukweli binti yake wa kile baba yake alikifanya.
Naomba hiyo documentMiss KimJuzi nasoma mambo ya haki za watoto, ni pamoja na kuwafahamu wazazi wake wa asili, hata kama wewe ni mama yake, bado huna haki ya kumfanya mtoto asijuane na baba yake.