Single mums and dads come this way

emotions are part of humanity!its normal to symaphathize with other people and having empathy for them au we robot?
 
Econometrician pole kwa kutomfahamu baba yako. Ukweli ni kuwa story yako ndio wanayoipitia watoto wengi sana. Dada yetu mkubwa ana story kama yako. Lakini bahati nzuri yeye alikomaa hadi mama yake akamwambia baba ni nani na yuko wapi. Mwisho wa siku tumemfahamu na tunaishi vizuri sana na dada yetu.

Kinachonoshangaza ni vile wazazi wa kike wanavyowajaza watoto tena umri mdogo sana maneno mabaya kuhusu baba zao. Imagine mtoto wa darasa la pili unamueleza tabia mbaya za baba yake, ili iweje? Unamnyima mtoto haki ya kufurahia utoto wake. Makosa yako na mzazi mwenzako yasikufanye ukampa mtoto mizigo ambayo hsiendani na uwezo wa akili na umri wake. Hapa nao naamini ubinafsi una mapana mengi hata kwa viumbe tulioealeta duniani tunakuwa wabinafsi kwao.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwanaume ambaye hua nina moyo wa nyama (unapokea furaha na maumivu pia).

Naumia sana kwa mwanaume kumpa Mpenzi wake Mimba n kisha kumtelekeza.If they know impotance of Gender female....??

Unawezae kumpenda mpenzi halafu ukamtenda unyama kiasi cha kumpa ujauzito na kumuacha kama kifaranga cha kuku kweny kundi la mwewe.....?

Kuna hisia za kupendwa/kpenda na hisia za kutamani/kutamaniwa
usimpende mtu kwa 7bu amekupenda mpende kwa kua umempenda pia.Siamini kama mtu amekupenda halafu akakukatili sithadhani.


Pole sana devotha,piga moyo konde mpigani mwanao apate maisha mazuri,kwa huyo baba hata akikubali kuwa na wewe utapata mateso tuu,maana sio responsible katika familia.

Ee Mungu nipe Moyo huu huu wa nyama,wenye utu ndani yake.
 

mkuu to put the records clear mimi sina uchungu wowote kwakuwa sijawai kujutia kutolelewa na kiazi

BTW huyo binti ni mstaarabu sana mpaka shikamoo anampa . .........
 

so sad.........by the way sidhani kama ni sahihi kumueleza mtoto hayo unayomueleza mwache ajionee mwenyewe trust me hawa mbuzi hawabadiliki

tena ukizingatia ni mtoto mdogo sana una haribu maisha yake bila ya wewe kujua kunakitu unamjengea ambacho sio kizuri

jitahidi kumlea vizuri kwa nguvu zako zote asihisi utofauti wowote mpaka pale atakapotaka kumjua baba yake ndio umwambie
 

cc

HKigwangalla
 
Last edited by a moderator:

Sijamzi maneno mabaya ila namweleza ukweli wa kilichotokea. Na wala sijali hata akimuuliza baba ake kwan ndicho alichokifanya. Simsingizii ila namweleza ukweli binti yake wa kile baba yake alikifanya.
 
Last edited by a moderator:

Nimeipenda story yako.

Inshort you are positive about life, thats what others should be.
 

Dah, kama ukilelewa na single mother unakuwa na matusi namna hii basi kuna tatizo fulani katika malezi. Nimeona single mothers wengi humu ni wajasiri na mashujaa wana determination kuwalea watoto wao vizuri, nashauri wawalee watoto wao wasiwe na hii tabia ya kutoa matusi na kujifanya kijogoo. Mwisho wa siku naona pia kuna character ya kutaka kulipa kisasi au kufidia yale mapungufu ya malezi kwa kujitengenezea mazingira kuwa wewe ni bora zaidi,,, na kuwa kulelewa na single parents ni bora kuliko otherwise,, kitu ambacho kila mtu angependa mtoto alelewe na wazazi wote iwe ndio standard practice.
 
Wanawake na watoto mtegemeeni Mola kama Hajiri aliyemzalia Ibrahimu mtoto Ishmael na kufukuzwa nyumbani
{MWANZO 21:9-20}
 
Soooooo tauching!!! Unaongea maneno ambayo yananiumiza sana moyo wangu, Duh!! Mungu akubariki na akupe nguvu. Iko siku hayo yote utasahau. Mungu ndiye muweza wa yote. Pole sana.

Nashukuru nimemaliza, yaliyobaki ataendeleza mwenyewe na mimi kama mzazi namsaidia pale ninapoona nahitajika si unajua mtoto kwa mama hakui
 
I agree with you 100%. Huwa simwelewi mzazi yeyote anayemweleza mtoto juu ya maovu ya mzazi wake mwingine especially at at tender age. I believe in letting a child form his/her own idea about their parent, sio unamjaza mtoto maneno ya ajabu na kumjengea chuki dhidi ya mzazi wake just because things never worked between the two of you.

 
Ok, asante;
Ngoja niseme kidogo tu hapa;

Kwa sababu kadhaa wa kadhaa ikabidi nilianze
Hapo limeshapita tangazo kuwa ........ watoto kwa kuwa wametoka tumboni mwako utajuwa la kufanya...........
Nikaona isiwe tabu, nikajibeba na watoto ni zaidi ya miaka kumi sasa imepita;

Maisha yanaendelea, sijuti kabisa japo nimepita ups and downs kibao,

I thank GOD am happy na maisha yanasonga.

So many things have being said, yangu machache tu, respect and salute u single parents geniveros devota vijance charminglady Zamda Geuka Miss Kim Mamndenyi Babynice NANDERA Victoire msumeno and others.
 

Mbona una generalise mkuu... mie nililelewa na single mom na kwangu ni shujaa... ko ukisema kulelewa na single mom ndio kuna tatizo si kweli
 
Sijamzi maneno mabaya ila namweleza ukweli wa kilichotokea. Na wala sijali hata akimuuliza baba ake kwan ndicho alichokifanya. Simsingizii ila namweleza ukweli binti yake wa kile baba yake alikifanya.

Kwa nini umweleze mtoto mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Huoni unamnyima haki ya kufurahia na kuishi kama mtoto?
Mimi naona shida zako na mzazi mwenzako zisikufanye umuumize mtoto kisaikolojia, mtoto wa miaka sita ukimuwleza kuwa baba yake ni m'bwa, hana adabu na hajafanya lolote katika malezi yake ili hali wote mmechangia katika mabaya hayo ni kutomtendea haki mtoto. Mkuze nae atajua tu, lazma ajue kuwa kuna kitu hakiko sawa na aweza kukuuliza au kutafuta mwenyewe ukweli pindi atakapokuwa na uwezo wa kuchanganua mambo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…