jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,103
Kwaiyo wanaume wa vijijini hawana tabia za kuwatia mimba wanawake na kuwaacha?kaaa kwa kutulia ni kweli alichoongea hapa mwishoni kua mnaboa....hv unamtia mimba mimba mwanamke unamuacha unajua changamoto anazopitia? tena wanaume wengi wa mijini ndio tabia zenu hizi za kipuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app


