Single mother wote nchi hii karibuni mkoa wa Mara,Ukuryani, kwa nini uteseke? Kwa nini ujione kama ulikosea hii dunia? Hakika hutojutia

Slogani yetu sisi wakurya "Tunataka watu,na kitanda hakizai haramu "

Nashangaa mdada unateseka huko uliko kisa huna mume na huwezi kuolewa kisa una watoto wako uliozaa na mwanaume mwingine huku ukiwaza watoto wako wataishije mbeleni?

Sisi Ukuryani tunataka watu,njoo na wanao utaolewa na majina ya watoto wako yatabadilishwa yataiitiwa mwanaume aliyekuoa

Ukoo ,ndugu jamaa na marafiki na sheria za kimila,kiutamaduni na hata za kiserikali zitakutambua Kama mke wa jamaa na urithi utapewa na watoto wako watapewa urithi bila ubaguzi

Ukuryani mtoto wako anatreatiwa na jamaa aliyekuoa kama mwanae wa kuzaa pasu pasu mfano mahitaji ya shule,afya na kumiliki mali

Naona single mama wa Kenya wanatumia fursa hii kuliko watanzania

Enyi single mama wa mliopo Tanzania unasubiri nini,njoo mkoa wa Mara na watoto wako wote ,watapata baba na watafurahia maisha
Hatutaki single maza wa kuwasiliana na baba wa watoto wake. Unawaita single maza wa daslamu waje kuolewa mara? Yaani mkurya aoe mzaramo? Tena single mother?
 
Slogani yetu sisi wakurya "Tunataka watu,na kitanda hakizai haramu "

Nashangaa mdada unateseka huko uliko kisa huna mume na huwezi kuolewa kisa una watoto wako uliozaa na mwanaume mwingine huku ukiwaza watoto wako wataishije mbeleni?

Sisi Ukuryani tunataka watu,njoo na wanao utaolewa na majina ya watoto wako yatabadilishwa yataiitiwa mwanaume aliyekuoa

Ukoo ,ndugu jamaa na marafiki na sheria za kimila,kiutamaduni na hata za kiserikali zitakutambua Kama mke wa jamaa na urithi utapewa na watoto wako watapewa urithi bila ubaguzi

Ukuryani mtoto wako anatreatiwa na jamaa aliyekuoa kama mwanae wa kuzaa pasu pasu mfano mahitaji ya shule,afya na kumiliki mali

Naona single mama wa Kenya wanatumia fursa hii kuliko watanzania

Enyi single mama wa mliopo Tanzania unasubiri nini,njoo mkoa wa Mara na watoto wako wote ,watapata baba na watafurahia maisha
naongezea,,,ila waje na akili zilizonyooka maana huku kuelekezana ni full mapanga
 
Slogani yetu sisi wakurya "Tunataka watu,na kitanda hakizai haramu "

Nashangaa mdada unateseka huko uliko kisa huna mume na huwezi kuolewa kisa una watoto wako uliozaa na mwanaume mwingine huku ukiwaza watoto wako wataishije mbeleni?

Sisi Ukuryani tunataka watu,njoo na wanao utaolewa na majina ya watoto wako yatabadilishwa yataiitiwa mwanaume aliyekuoa

Ukoo ,ndugu jamaa na marafiki na sheria za kimila,kiutamaduni na hata za kiserikali zitakutambua Kama mke wa jamaa na urithi utapewa na watoto wako watapewa urithi bila ubaguzi

Ukuryani mtoto wako anatreatiwa na jamaa aliyekuoa kama mwanae wa kuzaa pasu pasu mfano mahitaji ya shule,afya na kumiliki mali

Naona single mama wa Kenya wanatumia fursa hii kuliko watanzania

Enyi single mama wa mliopo Tanzania unasubiri nini,njoo mkoa wa Mara na watoto wako wote ,watapata baba na watafurahia maisha
mbuya mura.
hii ni kweli kabisa, ukuryani hii fursa inaenda sana kwa Kabila moja lipo migori kenya, wanaitwa wamalagori
hawa u singo maza waliuanza zamani mno. tangu miaka ya sabini huko wapo
unakuta mdada ana watoto hadi watano na bado yupo kwao. sisi tarime unaenda unaoa unabeba na hao watoto wote unawabadilisha majina na ubini unasoma kwako. maisha yanasonga
Kwetu mwenye kutoa mahari ndo mwenye watoto
wengine wote ni vibarua
kwani kibarua akizalisha mazao yanakuwa yake?
mazao ni ya mwenye shamba. full stop
 
Single mothers msije mkaingia huu mkenge, hawa jamaa wanapiga balaa. Sasa imagine watoto sio wake halafu umtibue si atakumalizia mbali na hao watoto.
 
Mnawaita huko, halafu nyie mnakimbilia daslam kuuza mayai na togwa.....huu mtego huu
 
Wanaume wa kikurya wanatesa sana wanaume.....kuna jamaa alikuwa na mke wake mzuri aseee alimtesa sana yule mama mpaka akataka kuchepuka live live.
 
Back
Top Bottom