Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,483
- 85,823
Asset zipo zinafahamika faza, hange wabiza kinehe o'bhebhe? šUnayo madini wewe hakika ni asset kubwa sana hapa Jf
Asset zipo zinafahamika faza, hange wabiza kinehe o'bhebhe? šUnayo madini wewe hakika ni asset kubwa sana hapa Jf
Nubebe ulimoAsset zipo zinafahamika faza, hange wabiza kinehe o'bhebhe? š
Nilekagishi wawaNubebe ulimo
Tunakuheshimu mno humu ndaniNilekagishi wawa
We na nani?Tunakuheshimu mno humu ndani
Mi na wananzengo sijaona wakikudisWe na nani?
Sasa wanidis kwa lipi mkuuš,
Mi na wananzengo sijaona wakikudis
Sasa si inategemea na Mwanamke? Ingia hotel kubwa za Dar ukute wanawake wenye pesa zao hlf uingie na gia zako za kuhonga 50k ya kujaza gesi uone utakavyoangaliwaš¤£š¤£š¤£Hivi dar kuna mwanmke ukimtaka ukiwa na pesa yako anakataa kweli mjumbe
We ni mdada fulani hivi mwenye hela zake pia ni mtu unayependa kutoa misaadaSasa wanidis kwa lipi mkuuš
wangemalizana kimjinimjini āWao wangemalizana kimjinimjini akanogewa ndio shida ya boda boda, tamaaš
Misaada natoa ila pesa ndio sijabarikiwaš¤We ni mdada fulani hivi mwenye hela zake pia ni mtu unayependa kutoa misaada
Gesi yenyewe sasa hivi ef 70 kasoro!Sasa si inategemea na Mwanamke? Ingia hotel kubwa za Dar ukute wanawake wenye pesa zao hlf uingie na gia zako za kuhonga 50k ya kujaza gesi uone utakavyoangaliwaš¤£š¤£š¤£
Ushawahi kuwa bodaboda?wangemalizana kimjinimjini ā
shida ya boda boda, tamaaš ā
sio wotee
š
sijawahi ila kwenye kundi la wabaya, wazuri hawakosekanagi ,!Ushawahi kuwa bodaboda?
Nakwambia hata wazuri wanaingia tamaa ukimchekea tu kosa!sijawahi ila kwenye kundi la wabaya, wazuri hawakosekanagi ,!
Ogopa sana unaenda na gia za kujiamini manz anakuuliza umekuja na gari gani?š¤£Gesi yenyewe sasa hivi ef 70 kasoro!
Mimi nawashangaa wanavyosema wanahonga kila dem aisee wawe makini mno!
Unamjibu tu suzuki swift no B hakuna jinsišOgopa sana unaenda na gia za kujiamini manz anakuuliza umekuja na gari gani?š¤£
Daah, kuulizwa swali kama hilo hatari sana, halafu unawakuta na wenzie kama wawili hivi...hlf bili yao inakuja vinywaji laki 5 kasoro then unamuona anatoa hela kwny pochi analipa...hapo Mwanaume unawaza sasa cha kumuhongaš¤£š¤£š¤£Unamjibu tu suzuki swift no B hakuna jinsiš