Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,386
- 95,820
HahahahaNimbembeleze ujinga wake!
HahahahaNimbembeleze ujinga wake!
Haaaaaaaah ndo napokupendea ujue huwa unaanza vizuri kama mgonjwa kumpa uji kwanza baadae ugali dagaaNimbembeleze ujinga wake!
waap! unamtetea uyo single mom siyo !Mmezidi mno!
All in all, hutoboi nakwambia hutoboi...ndio kisa cha sisi wanaume kufa mapemaKazi yangu ni bodaboda, na nilijuana na huyu single maza kupitia kazi yangu hii, maana yeye anafanya kazi bar hivyo uwa anatoka usiku sana, basi akachukua namba yangu ikawa kila usiku anapiga simu nimfate mda wa kutoka kazinina mazoea yakaanzia hapo.
Baba mtoto wake ni dereva wa halmashauri fulani huko mkoani, na anampenda sana huyu dada, kiufupi baba mtoto anaonekana alikuwa na malengo na huyu single maza, hata kuhudumia alikuwa anahudumia kwa uwezo wake aliyojaliwa.
Sasa huyo baba mtoto baada ya kugundua mimi Nina mahusiano na huyu single maza wake, amekata mawasiliano kabisa na huyu single maza yaani hatoi hata Mia, siyo kodi, chakula wala Ada ya mtoto.
Nimejahidi kuwa nasaidia kuhusu chakula na kumchangia kodi(tukaanza kuishi wote) nasaidia pia mahitaji mengine madogo madogo, kwa bodaboda yangu nimekuwa nikimpeleka kazini na kumrudisha usiku wa manane bure kabisa,, ila mambo yamekuwa magumu ananitaka nilipe na Ada ya mtoto wake sasa.
Nimemwambia amshirikishe baba wa mtoto wake, anakataa anasema hataki msaada wowote kutoka kwa baba mtoto, kwamba ananipenda mimi kwasasa hivyo mimi ndiyoo nimsaidie hiyo hela ya Ada.
Kipato chake yeye ni 300000 kwa mwezi
Nyumba tunayokaa 100000 kwa mwezi
Dada wa kazi 50000
Mtoto wao anasoma private Ada 250000 kila robo muhula hivyo kwa mwaka milioni,
School bus 50000 kila mwezi
Hapo chakula bado na mahitaj mengine,
Kuhusu mimi kipato changu ni 15000 kwa siku nikitoa mafuta na hela ya tajiri,
Wakuuu hivi natoboa kweli hapaaaaaa
Baba wa mtoto kasusaaa kabisa
Uwa ni kama Good Men wanakuta na wanawake wehuHayo ni mambo ya kuongea nae huyo mwenzio kwa uwazi,na ukitaka akuelewe vizuri uwe unamwambia wakati mkuyenge umemuingia
Pili tuache kuwadhalilisha hawa masingo maza kwa kuwapakaza sifa za kuwa watu wabaya ambao hawaeldwi kitu,kwamba ni wabinafsi
Ule uzi wangu wa nimezama kwenye mapenzi na single maza Dr naomba umquotie ausomeAll in all, hutoboi nakwambia hutoboi...ndio kisa cha sisi wanaume kufa mapema
Ngoja ni u 📜 scroll 😊Ule uzi wangu wa nimezama kwenye mapenzi na single maza Dr naomba umquotie ausome
Sahihi!Nyege + Njaa + Maradhi
Sipendi sugar coating, ni kunyooka kama ruler😅Haaaaaaaah ndo napokupendea ujue huwa unaanza vizuri kama mgonjwa kumpa uji kwanza baadae ugali dagaa
Kama kawaida!waap! unamtetea uyo single mom siyo !
Naona amekula za usoSipendi sugar coating, ni kunyooka kama ruler😅
Once u get hurt u become strong!Naona amekula za uso
kichwa maandazi kabisa, angekuwa akili asingemkubalia uyo jamaa wakati bamtoto anatimiza majukumu yake ispokuwa kulomba 🙉Kama kawaida!
Unayo madini wewe hakika ni asset kubwa sana hapa JfOnce u get hurt u become strong!
😃 😀 😄 😁Ukikubali kufanya huo ujinga siku za mbele utakuja kujilaumu zaidi ukijua kuwa hao wote baba na mama mtoto walikaa meza moja wakakubaliana wakukamue mpaka uharo,shtuka mjini shule huo ni mchongo wameupanga wote wawili,sema kingine watu mna roho ngumu aisee kuishi na baamedi kama mpenzi wako wa kudumu mimi mkurya na roho yangu ngumu lakini sijafikia hiyo hatua🙌🙌
HaaaaaaaaaahHapo umejiingiza kwenye mtumbwi wa vibwengo, kimbia kama bado unaweza
Mtumbwi wa vibwengo haujawahi mwacha mtu salama una vituko balaaHapo umejiingiza kwenye mtumbwi wa vibwengo, kimbia kama bado unaweza
Wao wangemalizana kimjinimjini akanogewa ndio shida ya boda boda, tamaa😅kichwa maandazi kabisa, angekuwa akili asingemkubalia uyo jamaa wakati bamtoto anatimiza majukumu yake ispokuwa kulomba 🙉