Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,024
Yani hadi huwa najiuliza wakata mauno kama wale kwenye daladala huwa wana ndoa zao kabisa na wanawafundisha watoto wao maadili inavyopasa ilihali wenyewe hukata mauno hadharani mbele za watoto wao?Mkuu nashindwa cha kukoment kwenye hili, maana linaathiri tamaduni za baadhi ya makabila hasa ukanda wa Pwani.