Singeli ni Muziki wa hovyo sana

Singeli ni Muziki wa hovyo sana

Sometimes ni vizuri kujua dunia ingine inaendaje. Kipindi kile 'hainaga ushemeji inavuma' wengi walikuwa wanasikiliza singeli.....anyway JF hii
99pc ya singeli hakuna mtu anayejielewa anayeweza kusikiliza..

Lakini kuna hii 1pc mfano kuna wimbo wa mejja kunta ni singeli lakini atleast ni tofauti na hiyo mingine
 
1- Wanavaa jeans zilizo chanika, na hatakama ni nzima wanaichana kwa makusudi.
2- Wananyoa kama kipanga alie loana mabawa, wao wanaita kiduku.
3- Wanavaa suruali chini ya makalio, bilashaka baada ya uchaguzi watazivalia juu ya magoti.
Kuna mmoja nilisikia anaongea eti "ana dela jipya, [emoji2398]h¶i la zamani... Alafu mwisho anasema baaliaaaaaa.....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
99pc ya singeli hakuna mtu anayejielewa anayeweza kusikiliza..

Lakini kuna hii 1pc mfano kuna wimbo wa mejja kunta ni singeli lakini atleast ni tofauti na hiyo mingine
Kama unasikiliza redio utakutana nazo bahati mbaya, ndio unasikia wanachoimba,inatokea tu.
 
Sio lazima kila kitu kikufae wewe,kinachokufaa wewe mwingine kwake ni kero/upuuzi.
Dunia ni kama kapu Lenye Mazaga kibao,chukua kinachokufaa vingine Vina wenyewe.
Uzuri wa kitu sio universal,ni individual perception
Okay
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom