RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,419
- 135,062
Utandawazi huoDemocracy imeharibu sana maadili, hata hawa wana-bongo fleva nao ni ushenzi mtupu, hakuna mistari' video ya maadili wala elimu dunia.
Utandawazi huoDemocracy imeharibu sana maadili, hata hawa wana-bongo fleva nao ni ushenzi mtupu, hakuna mistari' video ya maadili wala elimu dunia.
Umeongea point sana we jamaa, mimi kapu langu siwezi kuwa na taarabu na singeli ni mambo ya hovyo,Sio lazima kila kitu kikufae wewe,kinachokufaa wewe mwingine kwake ni kero/upuuzi.
Dunia ni kama kapu Lenye Mazaga kibao,chukua kinachokufaa vingine Vina wenyewe.
Uzuri wa kitu sio universal,ni individual perception
Ni ujinga ujinga tu wala hakuna cha maana kinachoelimisha Jamii zaidi ya matusi na vijembe vya majungu tu, ndiyomaana hata Watu wanaoishi katika hizo Jamii hufanana akili na mitazamo finyu
Una kumbukumbu 😀😀Hahaha, kuna siku ulimuuliza kama ana chura hakukuelewa. Sasa akienda kule atakuelewa vizuri.
cc Paula Paul.
Chifu na wale wakata mauno wakiwa kwenye daladala tena hata mbele za watoto wadogo/wanafunzi hivi huwa wana utimamu kabisa kichwani?Taarabu imekuja kuharibika miaka ya 2000 hivi na kuwa mipasho.
Kabla ya hapo wenyewe wanaita Muziki wa Mwambao ilikuwa ni buradani safi.
Una kumbukumbu 😀😀
Huo sasa ni utunduwazi wala si utandawazi BosiUtandawazi huo
Me naendaga nakitorch hazichelewi kutokea fujo. 😂😂😂Kulikuwa kuna kigodoro mwali anachezwa.
He si nikawa narekodi video.
Kumbe masharti ya huko usiwe na pochi wala simu utaporwa.
Mtoto mmoja akanishtua "mama c ficha hiyo simu kwenye tight halafu tuwaombe wale wakusindikize ukaiache home ndo turudi hapa wanachora ramani wakuibie"
Kweli nikagundua wote hakuna mwenye simu wala kipochi..
Maajabu ya uswazi unaenda kwenye sherehe bila pochi wala simu unaogopa kuibiwa.
Yani nikiweka redio mara pah nikasikia hizo nyimbo ni heri nizime redio nikae bila kusikiliza redio, ni heri ukimya kuliko hizo nyimbo matusiiii tu hakuna la maanaNi ujinga ujinga tu wala hakuna cha maana kinachoelimisha Jamii zaidi ya matusi na vijembe vya majungu tu, ndiyomaana hata Watu wanaoishi katika hizo Jamii hufanana akili na mitazamo finyu
Wasukuma mna tabu 😂😂😂😂
Nakubaliana na wewe... Si ndiyo wanauita modern taarabu ahhh keroooo masikioniTaarabu imekuja kuharibika miaka ya 2000 hivi na kuwa mipasho.
Kabla ya hapo wenyewe wanaita Muziki wa Mwambao ilikuwa ni buradani safi.
Chifu na wale wakata mauno wakiwa kwenye daladala tena hata mbele za watoto wadogo/wanafunzi hivi huwa wana utimamu kabisa kichwani?
Yani unawachia watoto waangakie mziki ukisikia wimbo fulani tu unapayuka badilisheni Chanel, hovyo kabisa, hivi basata wanazipitishaje hizi video [emoji329]?Democracy imeharibu sana maadili, hata hawa wana-bongo fleva nao ni ushenzi mtupu, hakuna mistari' video ya maadili wala elimu dunia.
Nakubaliana na wewe... Si ndiyo wanauita modern taarabu ahhh keroooo masikioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa... huwa najiulizaga hivi wale Basata wanatumiaga vigezo gani kuruhusu nyimbo kama hizi zipigwe mitaani bila ya kuzifungia?Yani nikiweka redio mara pah nikasikia hizo nyimbo ni heri nizime redio nikae bila kusikiliza redio, ni heri ukimya kuliko hizo nyimbo matusiiii tu hakuna la maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo za kijinga hizi eti chura inaruka ruka ruka [emoji23][emoji23]Chura inaruka ruka chura ti ti ti
Chura inanesa nesa churaa ti ti
Jamani chura hiyoo [emoji445]
Hivi huyo dada yupo kweli nina muda sijamsikia [emoji38]
Umeweka kidogo sana amu.