Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,155
- 14,114
- Thread starter
- #161
Aiseeh😅
Hahaha bila shaka mama yako alikuwa anasikiliza taarab za enzi za kina Siti Bint Saad siyo hizi za kina Khadija KopaNakumbuka mama alikuwa anatulazimisha kumpa kampani mpaka kipindi kinaisha.
Nikawa namshangaa tu.
Baada ya kuwa mkubwa ndo kuanza kutofautisha na hizi taarabu za kinyago cha mpapule, mara Sanamu la Michelin, mara unagombaniwa kama mpira wa kona.
Hahaha bila shaka mama yako alikuwa anasikiliza taarab za enzi za kina Siti Bint Saad siyo hizi za kina Khadija Kopa
Siku hizi unaambiwa "hao wapambe nuksi, jeuri tutawaonyesha." Ni mwendo wa kusutana tu vidole juu.
Naomba tafsiri ya hizo emoji Iceberg9.
Kavideo kakowapi?Ndiyo niliona.
Ni WCB.
Diamond alikuwa studio.
Alicia akarudi na kupost instagram
Yeah hiyo "ewe njiwa" tamu sana aiseNakumbuka nyimbo za Ewe Njiwa, Dereva wa Mashua kwa nini akae nyuma, zingine nishasahau.
Nikamuulize nini?UTUMWA huo. SIO LAZIMA Wanaonurudika wafanane na wewe huu ni MZIHO wa TANZANIA HAUSHINDANIAHWI NA WENGINE SOKO LAKE LIKO PWANI YA TANZANIA HADI US KAMWULIze ALICIA KEY
Zinaonyesha tabasamu..[emoji38] [emoji38]Naomba tafsiri ya hizo emoji Iceberg9.
Hiyo ni nzuri kiasi chakeYeah hiyo "ewe njiwa" tamu sana aise
Gengetone ina balaa..Kuna Mziki Kenya unaitwa gengetone upo the same na singeli full matusi