Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,584
- 53,338
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Unazingua ujue,Wasukuma mna tabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Unazingua ujue,Wasukuma mna tabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha kuna moja inaitwa tekenya tekenya sijui kaimba nani lknNyimbo za kijinga hizi eti chura inaruka ruka ruka [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewaachia mziki wenu.Huu mziki asili yake kwenye vigodoro Sasa Kama wewe sio wa uswazi uwezi kuuelewa daima.
Mbona nyimbo nzuri kabisa hizi, wanacheza vizuri pia.
Hii aina ya mziki ni ovyo sana!
Haifundishi jamii zaidi inaharibu.Wasanii wengi wa huu muziki mwanzoni walikuwa wapiga roba na waliza watu tu.
Uchezaji wake wa hovyo yaani ni vurugu.Inakuwa si burudani tena!
Hauwezi kufika kimataifa huu.Msitegemee singeli kushindana na South African Kwaito.Haitatokea.
Muziki unachochea ngono tu na kurahisisha biashara haramu.Hovyo sana!
Siyo wa kiume tu.Binafsi sizikatai sana, isipokuwa aina ya uchezaji hasa pale watoto wa kiume wanapocheza huku wamebinua makalio, na hii ni kama signature ya uchezaji wa Singeli.
Ukiachilia misemo yao na matumizi ya maneno, shida yangu kubwa ni uchezaji wa watoto wa kiume. Otherwise sina tatizo na huo muziki.
Mbona nyimbo nzuri kabisa hizi, wanacheza vizuri pia.
😅😅😅..Kuna moja nilisikia 'uswazi kondom tunapewa bure maji tunauziwaa....'
Ujumbe gani?tuache na mziki wetu wa hisia na ujumbe wa kweli
Siyo wa kiume tu.
Hata watoto wa kike wadogo chini ya miaka 5 anajua kubinua kiuno kukatika wenyewe wanaita "chura" na mzazi anafurahia anaona mtoto ni fundi.
Poa...nimekumiss😅😅😅..
Habari yako
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mjini msingi kiuno Don.Kwa wa kike inaweza isiwe ajabu sana, kiuno kazi yake inajulikana kwa wa kike na kuna mila wanafundishwa toka utoto.
Sasa wa kiume style ile ataitumia wapi?
Hii sijaielewa
Don Clericuzio upload za Meja Kunta
Chuki tuchukie ndugu yangu.Ujumbe gani?
Sasa basata kazi yao ni nini, maana kuna video ukweli zinaleta mkanganyiko sana kwenye jamii , maadili yanaporomoka sana, tupaze sauti, basata wapo humuKwani hizo video zonapitaga basata??
Video zao huwa wanarekodi kwa kutumia simu.
Hawana makuu kabisaaaa
Itabidi tutafutane😊😊
Mimi zaidi
Bwana nyie mnanifanya nicheke kwa sautiKuna mwimbo mmoja wa singeli nilisikia huu mstari:
"We mbagala siyo, Watu wanavuta bangi moshi kwenye makalio".