Singeli ni Muziki wa hovyo sana

Singeli ni Muziki wa hovyo sana

Hii aina ya mziki ni ovyo sana!
Haifundishi jamii zaidi inaharibu.Wasanii wengi wa huu muziki mwanzoni walikuwa wapiga roba na waliza watu tu.
Uchezaji wake wa hovyo yaani ni vurugu.Inakuwa si burudani tena!
Hauwezi kufika kimataifa huu.Msitegemee singeli kushindana na South African Kwaito.Haitatokea.
Muziki unachochea ngono tu na kurahisisha biashara haramu.Hovyo sana!
UTUMWA huo. SIO LAZIMA Wanaonurudika wafanane na wewe huu ni MZIHO wa TANZANIA HAUSHINDANIAHWI NA WENGINE SOKO LAKE LIKO PWANI YA TANZANIA HADI US KAMWULIze ALICIA KEY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom