Singeli ni Muziki wa hovyo sana

Singeli ni Muziki wa hovyo sana

Haha watu na viuno vyao
Nina video za watoto wamoja wakicheza.

Kuna siku nikawauliza hivi nyie mnawezaje kutikisa kalio moja moja?

Wakanijibu "kwani kazi basi mama C, si ni lishipa tu unalirusharusha" hawa watoto wa uswahilini ndo maana wakiwakamata wanaume hawachomoki.

By the way kuna singli zingie tamu sana.

Kama za msaga sumu zamaniiii na meja kunta.
 
Hii aina ya mziki ni ovyo sana!
Haifundishi jamii zaidi inaharibu.Wasanii wengi wa huu muziki mwanzoni walikuwa wapiga roba na waliza watu tu.
Uchezaji wake wa hovyo yaani ni vurugu.Inakuwa si burudani tena!
Hauwezi kufika kimataifa huu.Msitegemee singeli kushindana na South African Kwaito.Haitatokea.
Muziki unachochea ngono tu na kurahisisha biashara haramu.Hovyo sana!

Ni wivu tu , singeli hiko vzr nyie wasukuma ndivyo mlivyo .
 
Nina video za watoto wamoja wakicheza.

Kuna siku nikawauliza hivi nyie mnawezaje kutikisa kalio moja moja?

Wakanijibu "kwani kazi basi mama C, si ni lishipa tu unalirusharusha" hawa watoto wa uswahilini ndo maana wakiwakamata wanaume hawachomoki.

By the way kuna singli zingie tamu sana.

Kama za msaga sumu zamaniiii na meja kunta.
Unarusha lishipa 😆😆
 
Ushawahi kusikia mziki wa mnanda au mchiriku
Sema naona kama siku hzi imepotea kabisa

Ova

Aisee, hapo nina nyimbo kama 4 ambazo huwa ninakuwa nazo kwenye playlist.

Kazi ya Dukani ya Marehemu Dogo Mfaume, Radhi kwa Wazazi Marehemu Omari Omari, Ndege Mtini (jina nimesahau) ya Ferouz na ile ya MC Soud ya Naipenda Simba Mshabiki wa Damu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom