Pole. Mamo matatu yanatakiwa: (a) Mumeo kutubu na kuwa na nia ya dhati kuacha ufuska (b) wewe kumsamehe kikamilifu na (3) Muda ili picha hiyo iache kukuathiri katika mahusiano yenu. Iwapo mawili ya kwanza hayatatokea shida iendelea.
yeye hajawahi kuchepukaaa???
Kama alichepuka kibao kinamgeukia pia.
aisee HAPANA siwezi nina moyo wa ajabu sana
Asanteni wote mlioshauri mazuri nitayafuata na mabaya nitayaacha ila hamjuhi ni kiasi gani nimepata faraja ya moyo baada ya kutoa la moyoni maana nilikuwa kama kuna kitu kimenibana rohoni najihisi mwepesi na furaha yangu itarudi tena.
Asanteni wote na nawapenda pia.
Cheers
Na wewe ukifumaniwa na mumeo, akupe talaka??
huyo anaonekana mzoefuu wa siku nyingi.
hata biblia kwa sisi wakristo inakuruhu kuvunja ndoa endapo mwenzio atafanya uasherati nje ya ndoa
kwa sababu litakuwa tukio la ajabu na lakushangaza
mmh unajishtukia wewe, au ndo umemtenda dada wa watu?
Hayakukuta ndugu na usiombe yakukute
Umejuaje kuwa ni lakushangaza wakati hata hujui utafanya nini?
na alivyo na macho ya kichokozi mpaka namuona eiyer junior anavostuka.