Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
hahaha paroko waleta utani eeeeh subiri mi wangu atakaponisaliti lazima dunia itashangaa maamuzi magumu nitakayochukua
Nimeshakuambia na ninakuambia kuwa hakuna utakachokifanya dunia ikashangaa
Hakuna kwasababu ambavyo ukivifanya dunia itashangaa huwezi kuvifanya
Kama unabisha hebu niambie kimoja tu ambacho ukikifanya dunia itashangaa!