Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Na wewe chepuka Tu um surprise kama yeye alivyo kusurprise...
 
na wewe tafuta mwanaume mlete ndan ngoma droo
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.

Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.

Nifanyeje jamani?

sasa ndo uje kunitangazia humu au ndo unalipiza!!!!!
 
masekretare wengine wanajilegeza sana kwa ma boss wao. utakuta kakuvalia ki nguo icho we acha tu. usipo mgonga nafikiri wewe kitu akisimami. inabidi ugonge ata mara moja, ili kuonyesha kuwa unaweza. utahacha wangapi? unaweza kuruka mkojo ukakanyaga mavi. cha msingi ajutie kosa lake na asirudie tena.
 
what makes u a super woman is your ability to win difficult games like this, dada kila kitu hutokea kwa sababu...japo sababu zinatofautiana nakushauri uamini kuwa hilo limetokea ili unapomsamehe mumeo aona sababu ya kukupenda wewe na sio wanawake wengine...mara nyingi wanaume hutafuta tofauti ya mwanamke mmoja na mwingine na anapoona kwa mmoja kuna sababu kuu hasa upendo wa dhati huamua kutua moyo...utafanikiwa tu iwapo utamwomba mungu aipoze nafsi yako na pia mshirikishe mumeo kwenye sala ili wewe utamke manenno ya kumkabidhi mungu maisha yenu automatically uta win hiyo game
 
what makes u a super woman is your ability to win difficult games like this, dada kila kitu hutokea kwa sababu...japo sababu zinatofautiana nakushauri uamini kuwa hilo limetokea ili unapomsamehe mumeo aona sababu ya kukupenda wewe na sio wanawake wengine...mara nyingi wanaume hutafuta tofauti ya mwanamke mmoja na mwingine na anapoona kwa mmoja kuna sababu kuu hasa upendo wa dhati huamua kutua moyo...utafanikiwa tu iwapo utamwomba mungu aipoze nafsi yako na pia mshirikishe mumeo kwenye sala ili wewe utamke manenno ya kumkabidhi mungu maisha yenu automatically uta win hiyo game

Hili la kusamehe ni msamiati mgumu na usiowezekana wa female@dot.com. Hili labda kabla ya uhuru wa Tanganyika.
 
hauko peke yako hata mimi nina hilo tatizo mimi wa kwangu nilikataa kushuhudia tukio lkn kwa taarifa na uhakika nilionao nikama nimeshuhudia tukio kinachonitokea ni kwamba nimemchukia zaidi ya adui yangu ila hajui sijafanya nae mapenzi bado ila sijui naanzia wapi kupanua miguu yangu aingize dushelele lake tena humu yaani naumia nafsi yangu vibaya mno kibaya nimeanza kuapenda mtu mwingine na sijutii kua nae wala kusex nae na enjoy hata akinigusa ukucha ila yeye nimemchukia nahisi kila atakacho nifanyia nitakichukia maana akili yangu inanipa picha ndicho alichokifanya na wenzangu wengine

Sasa kinachokukalisha hapo nini....hapo inaonyesha unampenda huyo jamaa ila unataka aumie kama alivyokuumiza yeye.
 
Back
Top Bottom