Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

The same is clicking my mind. Kuna vitu ameandika vinavyoonesha asisadikike; Atoke atokako ghafla akute mtu kainamishwa bila mlango kufungwa? Ni mtumishi gani wa umma abadili ofisi ya umma kuwa danguro bila tahadhari yoyote? Mama mwenye watoto wawili unaandika sentensi kakasi kama hii? K yangu imekufa ganzi. Hii sentensi ni dhahiri imeandikwa na binti mdogo ambaye anadeploy soko la kifaa chake. Kwa kifupi alichokiandika mwenye thread hakina ukweli wowote.

Mhusika haelezi sekretari alipewa kipondo au la? Resonse ya sekretari baada ya kufumaniwa ilikuwaje? Utawala wa hiyo taasisi ulipata taarifa ya tukio hilo na hatua gani ilichukuliwa? Haiwezekani mtu afumaniwe halafu taarifa isitoke hasa wakati wa purukushani kati ya mke na sekretari.

cc: Nakshi

Asante sana kwa kunielekeza kuhusu maandishi but ungependa nitumie kiswahili gani?
Lingine kwa jinsi moyo wangu ulivyojaa maumivu ningeandika gazeti hapa ,nimejitahidi kuandika point inayonitesa kwa sasa
 
Natamani kila aliyeko kwenye ndoa angekuwa anakuja na exprience zote nzuri na mbaya, maana sasa kwa hizi mbaya zinazokuja kila siku zinasababisha baadhi ya watu waione ndoa kama jehanamu.

Tujifunze kutatua matatizo yetu bila kushirikisha watu mpaka itakaposhindikana kabisa, 80% watakushauri kwa sauti huku mioyoni wanafurahia kushindwa kwako.

Utashangaa thread zilizoko positive na ndoa haziattract watu wengi kama negatives. Wanandoa hatuna budi kutobadilika na kuacha kuwapa faida ya kutucheka.

Acheni UZINZI! siyo mnavunja ndoa zenu wenyewe kwa mambo machafu halafu mnategemea sisi tuwa support na kuwapa pongezi! Jirekebisheni wenyewe ili jamii isiwe na sababu ya kuwanyooshea vidole!
Hata Biblia imesema mtu asimwache mkewe ila kwa shauri la uzinzi! Si uongo, au kutojua kupika au kutokata kiuno au kumuibia mumewe fedha, au kiburi hapana ni UZINZI!
 
nakubaliana na wewe kuwa gharama itakuwa kubwa sana, but linganisha gharama ya kuachana au ku-expose hii issue kwa ndg na jamaa! Pia nimeangalia huyo Mr. seems kuwa mtu mwenye authority katika hio ofisi kwa maana hiyo naamini wana kipato ambacho hio dada can spend even a week in a hotel, issue yangu hapa ni how yule baba naye atafeel kuwa nimekosa na ndio maana wife and kids wamenikimbia, so he will try to look for her na kutafuta a heartily reconciliation kuliko bibie aondoke halafu tena amuombe hela ya matumizi
Hiyo itamgharimu sana basi amuombe huyo mwizi a.k.a cheater aishi mbali nae kwa muda na itasaidia ila matunzo na mahitaji ya familia yawe pale pale tuu ili watoto wasinotice hizo tofauti zao
 
Mpaka sasa hujui mume wako ana fikiria nini kuhusu wewe. Hilo usilidharau, huenda na yeye hana hamu ya kufanya sex na wewe. Who knows.

Lakini pia utambue kuwa "the secretary" bado aja-give up, still anafanya kazi na mumeo na huenda bado mapenzi yao wana endeleza.

Hivyo ukiona hutoi uroda kwa mumeo na yeye yuko sawa na hilo basi anza kujenga hofu kuwa zoezi la ku-cheat halijaisha bado.

Kwa kumalizia, kwa sasa ningekushauri tu mlee watoto, familia ni zaidi ya ku-sex.

Ila kama imani yako sio kali sana na una hisia ya ku-sex ila sio na mumeo, unaweza kurudisha makoloni yako ya zamani ili yakuhudumie.
 
huwez sahau hyo picha kamwe dada angu,..ila kinachoweza fanya usahau kamwe,is,nawewe tafta mtu ucheat hata miez sita make sure hajui,hyo itakujengea psychologicaly kua umelipiza kisas n afta that utaona mwenyew lile dukuduku lote lmeisha,..mbal na hapo haiwezekan kusahau,wasikudanganye hao,ukwel ndo huu,..TUWE HONEST JAMAN
To be honest siwezi kulipiza kisasi
 
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'

Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.

Nimekuelewa..kuna kabiashara kanaendelea hapa..atapata anachotaka
 
Shemeji hivi unadhani mwanaume rijali akisoma haya malalamiko, halafu jumlisha na hicho kipicha cha avatar ataijiwa na mawazo gani?

hehehe!! mawazo hayo hayo shemeji, na mashallah avatar yake imejaa neema za allah.
 
Mume wangu amekiri kosa na kesi haikuwa ndogo nami nilichukua muda kurudiana nae ila ki ukweli ni mume anayenijali mm pamoja na watoto amejitahidi kunirudisha kwenye mood yangu but mimi wapii

At least yupo hivyo. Dawa ni kucheat atleast mara moja na wewe, utakuwa umepunguza hasira uliyo nayo na itakuwa rahisi kumsamehe!
Pili kama anakujali na anaijali familia ni vzr kubaki huko, huku nje wamejaa manyang'au waongo, matapeli, malaya, halafu hawataweza kukuhudumia wewe sana sana itabidi wewe ndiyo uwahudumie trust me!
 
hapana madama hapasemi hivyo pengine haukupaelewa kwa usahihi,kapasome tena.
biblia inasema of course kwa kosa la usaliti/uzinzi ndoa yaweza kuvunjwa lakini bible inasisitiza ni sababu ya ugumu wa mioyo ya wato(kusamehe)na kuonesha jinsi ilivyotiliwa msisitizo mkishaachana hauruhusiwi kuolewa tena mpaka huyo mtalaka atakapofariki,[/QUOTE

Sasa unanipinga nini na wewe unasema nini? kwani me nimesema kwamba biblia imelazimsha watu kuachana kisa mtu kazini nje ya ndoa? nimesema biblia imeruhusu, sasa its up to u kama kuwa na moyo mwepesi na kusamehe na kuendelea au kutoka, na pia sijasema baada ya hapo uolewe tena, kwani hata mimi neno nalijua sana
ok sorry,i did not mean it that way ,very sorry kwa usumbufu niliokusababishia kwa comment yangu,enjoy the thread!
 
Kampime ngoma aisee

Kama hana ngoma ni ruksa kuendelea kucheat? Manake unaweza kuta secretary yupo safe! na si kila anaye cheat ni muathirika!
Siku hizi watu wanaotaka kucheat hucheck kwanza afya! Wakiwa salama wanaendelea kama vile wako kwenye ndoa
So suala la afya hapa si issue!
 
[Q UOTE=Husninyo;8932778].................. haya twangoja ushauri wako preta.[/QUOTE]

Kwa sasa sina ushauri.....nipo kwenye kutafuta ndege huku.......bado hatujaona mpaka sasa......
 
kwa upande wangu kumfumania mtu live nisingekubali kuishi nae tena.maana hiyo picha ingekuwa inajirudia tu,na nisingeifurahia ndoa tena.bora ya kusikia tu,maana live inauma.hata 6 kwa 6 style ya chuma mboga ninge mu imagine secretary tu. o sxnnge ejy ten.na mtu wa hivyo bwana kuacha kutembea nje ni ngumu ila atajitahidi kuwa careful tu.kama unampenda endelea nae,ipo siku utasahau
 
Back
Top Bottom