Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 601
- Thread starter
- #141
The same is clicking my mind. Kuna vitu ameandika vinavyoonesha asisadikike; Atoke atokako ghafla akute mtu kainamishwa bila mlango kufungwa? Ni mtumishi gani wa umma abadili ofisi ya umma kuwa danguro bila tahadhari yoyote? Mama mwenye watoto wawili unaandika sentensi kakasi kama hii? K yangu imekufa ganzi. Hii sentensi ni dhahiri imeandikwa na binti mdogo ambaye anadeploy soko la kifaa chake. Kwa kifupi alichokiandika mwenye thread hakina ukweli wowote.
Mhusika haelezi sekretari alipewa kipondo au la? Resonse ya sekretari baada ya kufumaniwa ilikuwaje? Utawala wa hiyo taasisi ulipata taarifa ya tukio hilo na hatua gani ilichukuliwa? Haiwezekani mtu afumaniwe halafu taarifa isitoke hasa wakati wa purukushani kati ya mke na sekretari.
cc: Nakshi
Asante sana kwa kunielekeza kuhusu maandishi but ungependa nitumie kiswahili gani?
Lingine kwa jinsi moyo wangu ulivyojaa maumivu ningeandika gazeti hapa ,nimejitahidi kuandika point inayonitesa kwa sasa