Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Kuamua kubaki ndoani kwa kujituma sana kusamehe ni kuwa, unaamua kutoa sadaka furaha yako kwa ajili ya watoto, lakini furaha ya ndoa inakuwa haipo, hili ni suala lingine kabisa. Nakubali ni mojawapo wa option kama ukipima unaona watoto wataumia saana kwa kuondoka kwako. Lakini pia wapo akina mama walioweza kuvumilia hii, ndio watoto wao wamepata malezi ya mama, lakini wao nafdsi zao zimekufa ama kuharibiwa beyond repair (perment deppression)

Hapa huwa ni kufanya cost-benefit analysis ya maana.

Lakini pia, wapo ambao wanaweza kusamehe kwa ukweli, kwa sababu kadhaa wa kadhaa, lucky them.

ni suala la muda tu, wanawake wanapitia machungu mengi zaidi hata ya mume kucheat ila tunasahau na maisha yanasonga. labda kama unaamua kumuacha na kutokuwa kwenye mahusiano tena. kama ndio tayari una watoto akili lazma ijitune kusamehe kama bibie hapo.
 
Hapana Husninyo sio swala lá ukiolewa, ni mara mia hata usikie tetesi kuliko kuona live. Na imagine ni mtu ambaye anakuambia kila siku u mean a world to him na hatakaa akuumize kwa namna yeyote.

Lkn labda kama ndoa yao haiko romantic any more na wana coexist tu kwenye nyumba (hapo msingi ni mwingine sio upendo na uaminifu). And by the way nilishamuacha mwanaume niliyekaa naye 5 years kwa kitu kama hicho. And l can do it again n again and again.

ujue maumivu ya mapenzi ni suala la kujipa muda. ni jambo linaumiza kweli lakini itategemea na mahusiano yenu yapo vipi.kama uliwahi kufanya hivo basi wewe ni exceptional...binafsi labda nikute yeye ndio kainamishwa ila kama kainamisha mtu sitoivunja ndoa.
 
Me nikupongeze tu kwa kuendelea kuishi nae mpaka leo duh, nisingeweza

acha kudanganya watu inamaana kila mtu akifanya kosa muachane leo hii kungekuwa na ndoa kweli inaonekana wewe hujaolewa sutamaliza wanaume
 
Pole sana mama wawili... Dont pay back, ndoa itakufa. we msamehe tu, Ndoa zina matatizo sana usione tunapita na wake zetu tumeshikana mikono barabarani ukadhani ni mpaka ndani ya mioyo yetu. HILI NI TATIZO LA DUNIA
 
Pole sana......wewe umepeleka keki mwenzio katoa kitumbua! Jamaa aliikumbuka birthday yake kiaina!
 
acha kudanganya watu inamaana kila mtu akifanya kosa muachane leo hii kungekuwa na ndoa kweli inaonekana wewe hujaolewa sutamaliza wanaume
sijasema kosa lolote atakalofanya mume wangu ntamuacha, labda hujanielewa
 
Kuamua kubaki ndoani kwa kujituma sana kusamehe ni kuwa, unaamua kutoa sadaka furaha yako kwa ajili ya watoto, lakini furaha ya ndoa inakuwa haipo, hili ni suala lingine kabisa. Nakubali ni mojawapo wa option kama ukipima unaona watoto wataumia saana kwa kuondoka kwako. Lakini pia wapo akina mama walioweza kuvumilia hii, ndio watoto wao wamepata malezi ya mama, lakini wao nafdsi zao zimekufa ama kuharibiwa beyond repair (perment deppression)

Hapa huwa ni kufanya cost-benefit analysis ya maana.

Lakini pia, wapo ambao wanaweza kusamehe kwa ukweli, kwa sababu kadhaa wa kadhaa, lucky them.

dah! haya makitu acha kabisa, ujue hii situation mpaka ikukute ndio utajua uamuzi gani wa kufanya. ngumu sana kushauri.
 
Yaani kama huyo mume ameshindwa kujituma mpaka ukasahau ujue hana feelings na wewe na bado anagonga huyo secretary

Hapo inabidi akuspoil kwa affections, presents na kila kitu mpaka mwenyewe unasahau yaliyopita.
 
sijasema kosa lolote atakalofanya mume wangu ntamuacha, labda hujanielewa
Ndoa zina matatizo sana na hasa hili la vidumu ni gonjwa sugu. So ni kusameheana na kuendelea na maisha kwa faida ya watoto.
 
Ndoa zina matatizo sana na hasa hili la vidumu ni gonjwa sugu. So ni kusameheana na kuendelea na maisha kwa faida ya watoto.

Hilo nakataa jamani mmmh, ntasamehe yote lakini lakunicheat au kunipiga ni NEVER
 
ila jamani sijui kuna power gani kwenye uc.hi na m.boo. yaani mtu akikucheat maumivu yake hatareeee.

Power iko moyoni, wala si kwa sex organs; na maumivu yapo huko huko kwa moyo. Ndio maana waweza sex na mtu usomfeel na hata ukisikia yuko na mtu mwingine usiumie. Lkn mtu ulompenda na uliyemuamini, it hurts more than death itself.
 
Pole njoo kwangu niamshe kiuu yako ili uitii kwa mumeo
 
Back
Top Bottom