Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Hahahahahhahahah😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 Ka🚿


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.

Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.

Nifanyeje jamani?

We nakshi acha kutuzuga kulw story nyingine huku unaleta nyingine
 
Wanaume na wivu wetu lol! Ingekua yeye kakukuta umeinamishwa basi tungezungumza mengine hapa.

Enewei piga moyo konde mpe mwenzio k: la sivyo utamfanya awe mswati haswaa kwani yeye haja anayo kila mara.
 
OMG that's really bad. Hope you can find it in you to forget since it seem like you have forgiven him. Time heals keep praying. But
Seriously if you are going to have sex in the office have the courtesy to at least lock the door. What if it wasnt the wife bursting inn.
 
Mungu akuwezeshe akurejeshee hamu na kusahau mabaya ya mumeo
 
Wanaume!!!
Kama umekubali kusamehe basi jitahidi kusahau,ni ngumu ila inawezekana.
 
Ngoja siku umfumanie mkeo na ss tukwambie uache wivu

Unajua kuachana ndio suluhu eee?? we nahisi ujaolewa wewe, maana ungeolewa ungejua kwenye ndoa kuna nn, mume/mke sio kama boyfnd/galfnd,ambaye muda wowote unaamuacha na kutafuta ki boyfrnd/galfnd kingine, eti ningemuacha weeee!!...wapo wanaopitia taratibu zote za kuachana akienda kwengine yale yale mwisho wa siku ajuta anaamua kua mama huruma au play boy
 
Unajua kuachana ndio suluhu eee?? we nahisi ujaolewa wewe, maana ungeolewa ungejua kwenye ndoa kuna nn, mume/mke sio kama boyfnd/galfnd,ambaye muda wowote unaamuacha na kutafuta ki boyfrnd/galfnd kingine, eti ningemuacha weeee!!...wapo wanaopitia taratibu zote za kuachana akienda kwengine yale yale mwisho wa siku ajuta anaamua kua mama huruma au play boy

Kalagabaho
 
Kalagabaho

The Truth/Reality is the only thing to take u out of that mind captivity....ngoja Siku ukiingia mahali hapo u will be able to understand my points.
Anyway endelea kushikilia unachokiamini.
:A S 103:
 
The Truth/Reality is the only thing to take u out of that mind captivity....ngoja Siku ukiingia mahali hapo u will be able to understand my points.
Anyway endelea kushikilia unachokiamini.
:A S 103:
kaka mie niko kwenye ndoa usidhani najiropokea tu hapa i knw what am saying
 
kaka mie niko kwenye ndoa usidhani najiropokea tu hapa i knw what am saying

Nilikuelewa alafu wala mi sidhani kama unaropoka kwa mujibu ya madai yko hapo juu, may be wewe ndio ukunielea. I didn't mean uingie ndoani, ila nimemaanisha uingie kwenye eneo ilo ktk ndoa yako.
 
Kiukweli swala la kuvunja ndoa si kitu rahisi ingawa maumivu magumu, ungeweza ungechukua ushauri wangu kwa sasa muangalie nyendo zake , yupo karibu na wewe, ameacha mawasiliano na huyo mwenzio, mwenye kukiri msamaha anaonekana hata kwa matendo dr, ukiviona hivi try to be close moyo utafunguka tena .ila pia jaribu mwambia mkapime.

Kama huuoni msamahawak wa dhati, tulia n familia yako ila nakushauri namaaniha tafuta mpenzi nje atakaykua close n wewe akupoye majeraha yao na pi atimize mahitaji yak hayo muhimu bt pls tumia kinga. nb jitahdi mumeo asigundue

Usizidishe wivu kwa mmeo , muache awe frii, I ssure u, afta some tym mtarudi sawa
 
Nilikuelewa alafu wala mi sidhani kama unaropoka kwa mujibu ya madai yko hapo juu, may be wewe ndio ukunielea. I didn't mean uingie ndoani, ila nimemaanisha uingie kwenye eneo ilo ktk ndoa yako.
You knw wat ur problem is? wanaume huwa mnafikiria kwamba wanawake wote tuliumbwa wadhaifu na kwamba tunaweza kuchukuliana na mambo yenu ya ajabu ajabu mnayotufanyia, but i have got news for u budy not all of us are that weak
 
You knw wat ur problem is? wanaume huwa mnafikiria kwamba wanawake wote tuliumbwa wadhaifu na kwamba tunaweza kuchukuliana na mambo yenu ya ajabu ajabu mnayotufanyia, but i have got news for u budy not all of us are that weak

Je unapitia thread zote humu, hawa wote walioona kua si rahisi ni wanaume???
 
sijakuelewa?

Nimeuliza Je wewe unasoma mawazo ya wachangiaji wote humu??umedai kua sisi wanaume tunaona nyinyi ni weak, so nilitaka usome hizi thread ili uone kua wapo wanawake ambao pia wana comment kua kuachana si swala rahisi,na si sisi wanaume tu. Just take your time to read the them utanielewa, mrsleo
 
Nimeuliza Je wewe unasoma mawazo ya wachangiaji wote humu??umedai kua sisi wanaume tunaona nyinyi ni weak, so nilitaka usome hizi thread ili uone kua wapo wanawake ambao pia wana comment kua kuachana si swala rahisi,na si sisi wanaume tu. Just take your time to read the them utanielewa, mrsleo

wewe hujanielewa nimekwambia hivi nyinyi wanaume mnaona kwamba sisi wanawake tuko so weak lakini mkae mkijua si wote tuko dhaifu hivyo, kwahiyo hao waliosema kwamba solution sio kuachana sisemi kwamba wako weak hapana ila tunatofautiana mtazamo ila kuna wengine wameniunga mkono kwamba hakuna msamaha kwenye cheating hao ndo ninao share nao mtazamo mimi
 
wewe hujanielewa nimekwambia hivi nyinyi wanaume mnaona kwamba sisi wanawake tuko so weak lakini mkae mkijua si wote tuko dhaifu hivyo, kwahiyo hao waliosema kwamba solution sio kuachana sisemi kwamba wako weak hapana ila tunatofautiana mtazamo ila kuna wengine wameniunga mkono kwamba hakuna msamaha kwenye cheating hao ndo ninao share nao mtazamo mimi


Okay Twende taratibu, 1. Je una familia na uyo mumeo?? 2. Unaishi katika ndoa halali ama zile ndoa za kuchukuana na kuwataarifu wazi???hapa Namaanisha upo na cheti halali cha ndoa.
 
Okay Twende taratibu, 1. Je una familia na uyo mumeo?? 2. Unaishi katika ndoa halali ama zile ndoa za kuchukuana na kuwataarifu wazi???hapa Namaanisha upo na cheti halali cha ndoa.
hayo yote hayahusiani na misimamo yangu ya kutotaka kuwa mtumwa kwa mwanaume, ila kwa taarifa tu ndoa yangu ni ya kanisani
 
Pole sana kwa yaliyo kukuta mama,ndio maisha,hayakosi misukosuko kama bara bara tu,haikosi kona,mlima,mteremko,Ivyo basi muombe mungu ipasavyo atakusaidia kuondokewa na hayo matatizo,pia kumsamehe mumeo ni jambo la busara umeonyesha kuwajari wototo wako. furaha ya watoto kuwa na wazazi,Iv uko tayari kuwaambia watoto wako ukweli kuhusu kutengana kwenu. asabu wanakuona jinsi ulivyopendeza ulivyovaa shera siku ya wedding i!Nahisi ingekuwa ngumu kama angekukuta ww umeinamishwa vile angepiga kelele, mpaka class mate wako wote wa chekechekea wangepata habari na makofi pia ungehamburia,cha msingi msamehe mumeo,na ahame ofisi kwani akienderea hapo sio pazuri kuna shetani nyuma ya mlango wake wa kuingia ofisini,pia mpe somo kuwa sehemu ya kupatia rizki ya watoto sio, mahara pa mchezo pole
 
Back
Top Bottom