ndivyo watawala wetu walivyo wakanyaga walala hoi, sasa kwa nini usichukie nchi ?sasa matendo ya mtu yatakufanya uchukie nchi yako?
ndivyo watawala wetu walivyo wakanyaga walala hoi, sasa kwa nini usichukie nchi ?sasa matendo ya mtu yatakufanya uchukie nchi yako?
duh!
Nimeipata hii picha toka kwa jamaa yangu mmoja. Naamini inajieleza yenyewe.
what a ruthless dog!
huu ni mfano wa chadema na wafuasi wao
mbowe anatafuna wakati wenzake kawaekea mikono
Jamaa ni mbinafsi sana. Na hii inaonyesha jinsi watu walivyo wabinafsi. Just imagine jamaa akipata nafasi ya kuwa kiongozi atakuwa fisadi na kumaliza rasilimali zote za nchi.