Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,935
- 5,019
Nikiwa nimekaa zangu sehemu nimetulia, Sina hili wala lile mara simu inaita kucheki namba ni ngeni,
Ikabidi nisogee pembeni ambapo hakuna kelele ili niweze tuweze kuelewana vizuri,
Baada ya utambulisho nikagundua ni jamaa mmoja ambaye namfahamu tunaishi nae mtaa mmoja japo sijawahi kuwa na mazoea nae hata kidogo.
In short jamaa ni papai au kwa lugha nyingine tuseme ni Bwabwa, Siyo lazima uwe na D 2 ili uweze kunielewa,
Jamaa anachohitaji kwangu eti anitoe out ili tuweze kuongea vizuri, eti ametokea kunielewa, kwa upole nikamwambia sifagilii hayo mambo ya kula kisamvu cha kopo, yani hayo siyo mambo yangu.
Baada ya kuona jamaa hanielewi ikabidi nimchenjie mbaya kabisa nikamwambia nani kakupa no yangu anasema siyo muhimu mimi kujua, so nimemkaripia sana, naamini hatarudia tena kunisumbua.
Au nimezingua wananzengo?
Ikabidi nisogee pembeni ambapo hakuna kelele ili niweze tuweze kuelewana vizuri,
Baada ya utambulisho nikagundua ni jamaa mmoja ambaye namfahamu tunaishi nae mtaa mmoja japo sijawahi kuwa na mazoea nae hata kidogo.
In short jamaa ni papai au kwa lugha nyingine tuseme ni Bwabwa, Siyo lazima uwe na D 2 ili uweze kunielewa,
Jamaa anachohitaji kwangu eti anitoe out ili tuweze kuongea vizuri, eti ametokea kunielewa, kwa upole nikamwambia sifagilii hayo mambo ya kula kisamvu cha kopo, yani hayo siyo mambo yangu.
Baada ya kuona jamaa hanielewi ikabidi nimchenjie mbaya kabisa nikamwambia nani kakupa no yangu anasema siyo muhimu mimi kujua, so nimemkaripia sana, naamini hatarudia tena kunisumbua.
Au nimezingua wananzengo?
