Leo nimekutana na kizaa zaa

Leo nimekutana na kizaa zaa

Oscar Lyrics

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
2,935
Reaction score
5,019
Nikiwa nimekaa zangu sehemu nimetulia, Sina hili wala lile mara simu inaita kucheki namba ni ngeni,
Ikabidi nisogee pembeni ambapo hakuna kelele ili niweze tuweze kuelewana vizuri,

Baada ya utambulisho nikagundua ni jamaa mmoja ambaye namfahamu tunaishi nae mtaa mmoja japo sijawahi kuwa na mazoea nae hata kidogo.

In short jamaa ni papai au kwa lugha nyingine tuseme ni Bwabwa, Siyo lazima uwe na D 2 ili uweze kunielewa,

Jamaa anachohitaji kwangu eti anitoe out ili tuweze kuongea vizuri, eti ametokea kunielewa, kwa upole nikamwambia sifagilii hayo mambo ya kula kisamvu cha kopo, yani hayo siyo mambo yangu.

Baada ya kuona jamaa hanielewi ikabidi nimchenjie mbaya kabisa nikamwambia nani kakupa no yangu anasema siyo muhimu mimi kujua, so nimemkaripia sana, naamini hatarudia tena kunisumbua.

Au nimezingua wananzengo?
 
Ukisoma hadi mwisho msela anatuuliza eti "au nimezingua wananzego"

kwa sisi tuliosomea tel aviv tushaelewa kuwa mtoa mada ni tabia yale kugara gara kwenye mav.

86109a1af8eadc74b9df94aea4d53739.jpg
 
Nikiwa nimekaa zangu sehemu nimetulia, Sina hili wala lile mara simu inaita kucheki namba ni ngeni,
Ikabidi nisogee pembeni ambapo hakuna kelele ili niweze tuweze kuelewana vizuri,

Baada ya utambulisho nikagundua ni jamaa mmoja ambaye namfahamu tunaishi nae mtaa mmoja japo sijawahi kuwa na mazoea nae hata kidogo.

In short jamaa ni papai au kwa lugha nyingine tuseme ni Bwabwa, Siyo lazima uwe na D 2 ili uweze kunielewa,

Jamaa anachohitaji kwangu eti anitoe out ili tuweze kuongea vizuri, eti ametokea kunielewa, kwa upole nikamwambia sifagilii hayo mambo ya kula kisamvu cha kopo, yani hayo siyo mambo yangu.

Baada ya kuona jamaa hanielewi ikabidi nimchenjie mbaya kabisa nikamwambia nani kakupa no yangu anasema siyo muhimu mimi kujua, so nimemkaripia sana, naamini hatarudia tena kunisumbua.

Au nimezingua wananzengo?
Umezingua sana, kwanza shindwa pepo
 
Mkuu hilo ndio lakuja nalo huku na tena unauliza kabisq kama umezingua au lah..
Kifupi hapo mwanetu ni "staki nataka" huyo choko akikukazia kidogoo tu unaenda kuvunja hiyo amri ya 11..🤬🤮🤮🤮🤮
 
Mkuu hilo ndio lakuja nalo huku na tena unauliza kabisq kama umezingua au lah..
Kifupi hapo mwanetu ni "staki nataka" huyo choko akikukazia kidogoo tu unaenda kuvunja hiyo amri ya 11..🤬🤮🤮🤮🤮
Siwezi kujichanganya mkuu:Agakakskagesh:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom