Hapana sijawahi fika huko.
Mwambie kuna kijana anakutongoza!
Hapana sijawahi fika huko.
..we cheka tu mtani, miaka minne bila bila sio kazi ndogo.Ha ha ha haaa
Siku moja moja huwa napitia majukwaa mengine, si unajua fahari ya macho, saa nyingine ubongo unahitaji kudadavua vitu tofauti ati!!!!!!!Mmmmhhh...Mheshimiwa na Wewe huwa unatembea huku au siyo Wewe Wa kule kwa KUU???
Labda alkupa mahari upeleke hom hukusoma mchezo.
Ni kweli mtani, halafu gentleman wa ukweli. Kwa mtu uliyekamilika ni shida sana. Hata hivyo dada yangu ni mvumilivu...we cheka tu mtani, miaka minne bila bila sio kazi ndogo.
Sawa mkuu Malila, nimekupata vizuri.Siku moja moja huwa napitia majukwaa mengine, si unajua fahari ya macho, saa nyingine ubongo unahitaji kudadavua vitu tofauti ati!!!!!!!
He is a good looking guy with a gentleman's behaviour.
Teh teh, dada yako alishindwa kukiri kama kweli miaka minne hakuwahi kuchezea maungo mengine. Seems hata kwa mlokole amejiegesha tu, lakini alipata huduma smwhr.Ni kweli mtani, halafu gentleman wa ukweli. Kwa mtu uliyekamilika ni shida sana. Hata hivyo dada yangu ni mvumilivu.
Hili siwezi kulisemea mtani as long as sina ithibati. Labda aseme mwenyewe dada yangu.Teh teh, dada yako alishindwa kukiri kama kweli miaka minne hakuwahi kuchezea maungo mengine. Seems hata kwa mlokole alijiegesha tu, lakini alipata huduma smwhr. .
We mtoto haijatinga lweli hii hadithi, naomba jimapili hii nikukaribishe kanisani kwetu.Ningeelewa kama ingekuwa company tu, sasa na mambo ya kuniwekea pesa kwenye bahasha nayo ni company?
a urafiki tuHabari za kutwa waungwana,
Nina rafiki tumefahamiana miaka minne iliyopita, kufahamiana kwetu tulikutana kwenye sherehe na tulikaa viti vya karibu na tuliongea na kucheza mziki pamoja. Wakati sherehe ikiendelea nilianza kufikiria usafiri wa kunirudisha nyumbani, nilianza kumuuliza jinsi nitakavyopata tax, aliniuliza kuelelekea wapi? Hapo ndipo niligundua ni jirani yangu kabisa.
Tulichukua tax moja, na baada ya pale tulibadilishana namba za simu.
Kesho yake alinipigia simu, alinialika niende kanisani kwao, nililipenda lile kanisa, niliendelea kusali pale kwa muda. Nilikuja kufahamu huyu kaka ni mlokole wa kufa mtu, mara nyingi ananipigia simu tunachat, mazungumzo mengi ni current affairs, dini, na mara nyingine ananipa offer za dinner.
Kuna wakati nilimwambia nitakwenda nyumbani kuwaona wazazi, aliniambia nisiondoke bila kumuaga, siku ninaondoka alikuja na bahasha nzito. Niliifungua nikiwa njiani, aliniwekea mpunga wakueleweka. Nilimtumia message ya asante, alinijibu asante na karibu. Nilivyorudi nilimfahamisha nimerudi basi. Hajawahi kunisimulia habari ya girl friend, wala hajanitongoza ni mwaka wa nne huu.
Simuelewi huyu rafiki yangu nisaidieni ndugu zangu.
nimeongeza like kwako.Sema wazi unataka mambo mwambie tu kuwa unataka mtekenyo jamaa anakusikilizia weww