Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Mpaka hapo pia na wewe yaonesha unampenda. Ni hivi, kuna mambo kadhaa ya kutafiti zaidi:-
1. Yaweza kuwa ni domo zege kama Waswahili wanavyosema,
2. Ana tatizo la kimaumbile yaani dushe ni dogo au halisimami hivyo he feels inferior to you.
3. Yaweza kuwa wewe mwenyewe ni tatizo (jicheki mwenendo)
4. Bado haja accomplish aliyopanga kufanya kimaisha
5. Wewe pia huja connect to his spiritual way (I mean Godly one)
6. Na vitu kama hivyo
Inawezekana hilo la 5, kwasababu hata kanisani mara nyingine ninakwenda kwasababu ya company yake pia gari analoendesha ni zuri sana.
 
Hebu mwambie bana nianze kazi fasta
Mmmh ulivyosikia bahasha iliyotuna tu roho imechachamaa! Si ulisema unakwenda kulima siku ile? Vp kilimo hakilipi?
[emoji100] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Tatizo kubwa la wanawake ambalo huwa linaniboa kupita kiasi, ni pale anasubir mpaka atongozwe yeye. Soma matendo tu ya mtu... anaekupenda kwa dhati wala haitaji mpaka akuambie anakupenda. Matendo yake tu nu ishara tosha.
 
Tatizo kubwa la wanawake ambalo huwa linaniboa kupita kiasi, ni pale anasubir mpaka atongozwe yeye. Soma matendo tu ya mtu... anaekupenda kwa dhati wala haitaji mpaka akuambie anakupenda. Matendo yake tu nu ishara tosha.
Kwahiyo ukishasoma hayo matendo ya mitume nini kinafuata?
 
Ni mlokole, inamaana haamini ngono kabla ya ndoa especially kwa mtu anaedhamiria kabisa kuwa nae. Pili kuna wakati aliniambia urafiki wetu umekuwa deep sana kiasi ambacho asingependa uvunjike.
mvalishe engagment ring kwa suprise ...
 
mwambie will you marry me? so what hataki ujue moja au humtaki unataka kupita tu?
 
Inawezekana hilo la 5, kwasababu hata kanisani mara nyingine ninakwenda kwasababu ya company yake pia gari analoendesha ni zuri sana.
Wewe jifanye na wewe domo zege halafu utakuja kulia kilio cha mbwa mwizi atakapokutana na wasio laza damu. Mwambie bwana amekuonesha kuwa yeye ndiye mchumba wako. Halafu lete mrejesho.
 
Wew unamtamani mlokole, unataka kumpoteza kondoo wa bwanaa yeye anapendelea akusaidiy tu sasa umeshajigikiria mengine
Kazi ya moyo kusukuma damu, kupenda kiherere chake tu.
 
Nenda kwake afu mkalie uchi kumtest
Hivi nyinyi mnafikiri mimi nimetoka chekechea jana? Mpaka nimeanzisha uzi mbinu zote zimeshindikana na jamaa bado mshiji kwa sana tu.
 
Back
Top Bottom