Mfungukie mkuu,
Inaonekana wewe uko tayari kwake, nayeye yawezekana yuko hivyo hivyo,
Sema mnaogopana.
Sasa fanya hivi:
Tafutasiku nzuri sana sana weekend, andaa dinner fresh, pamoja na vinjwaji baridi.
Mualike kwa dinner hapo kwako, mkimaliza kula mwambie umeota ndoto unataka umsimulie.
Sasa naongea kama wewe
"" Unajua J, Nimeota ndoto hata sijui inamaanisha nini,
Nimeota mimi na wewe tukiwa kanisani tunafunga ndoa,
Tena katufungisha yule mchungaji wa kanisani kwako,
Baada ya kanisani tukaenda ukumbini, na baadae Logde Kulala,
Wakati tumevua nguo unataka kunigusa tu, ndoto ikakatika, nikashtuka usingizini huku jasho likinitoka,
Yaani nimeudhika ndoto kukatika, maana imekatika ndo tunataka peana utamu.""
Alafu funga macho jifanye una aibu,,,,,,
Huku ukimuibiaibia kumuangalia machoni kwake.
Then msikilizie ataongea nini,
Akichomoka hapo jua huyo si halali yako