Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 11,129
- 23,127
1;> weka/chomeka flash yako kwenye kifaa unachotumia eidha kompyuta,laptop
2;> Fungua hiyo story yako
3;> Highlight story yako yote au kipande unachotaka kutuma.
4;> Fungua empty page kwenye window yako na upaste icho kipande cha story
5;> Hifadhi/save icho kipande kwa jina utalokumbuka.
6;> Chukua USB cable ile waya ya kuchajia simu chomeka kwenye simu yako.
7;> Hamisha kipande cha story yako uliyoipa jina hapo 5 kisha kitume kwenye simu yako kama unavotuma nyimbo au video.
8;> Fungua jf kwenye simu yako tafuta icho kipande ukipaste hapa.
Kama unatumia komputa kuingia JF ndio rahisi zaidi fuata hatua mpaka ya 4 halafu fungua jf na upaste story yako hapa.
Simpo laiki dhati
2;> Fungua hiyo story yako
3;> Highlight story yako yote au kipande unachotaka kutuma.
4;> Fungua empty page kwenye window yako na upaste icho kipande cha story
5;> Hifadhi/save icho kipande kwa jina utalokumbuka.
6;> Chukua USB cable ile waya ya kuchajia simu chomeka kwenye simu yako.
7;> Hamisha kipande cha story yako uliyoipa jina hapo 5 kisha kitume kwenye simu yako kama unavotuma nyimbo au video.
8;> Fungua jf kwenye simu yako tafuta icho kipande ukipaste hapa.
Kama unatumia komputa kuingia JF ndio rahisi zaidi fuata hatua mpaka ya 4 halafu fungua jf na upaste story yako hapa.
Simpo laiki dhati