Mganga wa kienyeji maarufu Dkt. Manyaunyau agundulika mbinu yake ya kutapeli watu kwa kumchezesha jini kimbunga kwa remote control

MELEKAHE

JF-Expert Member
Nov 19, 2023
434
1,966
Habari wadau,

Mganga wa kienyeji maarufu kwa kunywa damu za paka. Dr manyau nyau agundulika mbinu yake ya utapeli.

Akiwa anafanyiwa mahojiano na mtangazaji wa global online tv. Dr manyau nyau alitaka kuonesha mbwembwe kwa mwandishi huyo wa habari kwa kumuambia asalimie majini yake na aone jinsi yanavyomjibu kwa vitendo.

Baada ya muandishi kufanya hivyo kwa kumsalimia jini KIMBUNGA ndipo watazamaji wakagundua Dr manyau nyau anamchezesha jini feki anayeitwa kimbunga kwa remote control iliyofichwa na cover juu yake. na wala sio miujiza ndio inamfanya jini huyo atingishike kumjibu mtangazaji. ni kitoy cha cha kichina chenye vibrations kimevishwa tunguli na matambala ndicho kinachezeshwa kwa remote iliyo fichwa na macover kwenye mikono ya manyau nyau kwa ujanja ujanja ili isionekane hiyo remote pia. hivyo kudanganya ni jini linajibu lenyewe

tazama mwenyewe kipande hicho cha video cha mikono ya manyau nyau imeshika nini. uone jinsi waganga wa kienyeji kama Dr manyau nyau walivyo wajanja.

 
This country is scourged by serious mental health disorders!

Sijaiona waziwazi hiyo remote control. Au ndo kile kama ki-wallet cha zambarau alichokuwa amekishika?

Huyo Manyaunyau hana lolote. Ana exploit wajinga na majuha walio desperate kwenye maisha yao.

Hakuna uchawi. Kama kuna mtu humu anamjua huyo Manyaunyau, mfikishieni taarifa kuwa Ngabu anasema amjaribu yeye kumroga ili kumpa fundisho tu kuwa uchawi upo kweli.

Fcuk Manyaunyau…..mwambieni nimemtukana pia ili apate walau kiji-sababu cha kunishikisha adabu.

Again, fcuk you 🖕Manyaunyau.

Now hex me, please…..
 
Ignorance is a dangerous force that can destroy the social harmony of a nation. When people lack knowledge and understanding of different cultures, religions, and lifestyles, they tend to discriminate against those who are different from them. This discrimination can lead to division and conflict within the society.
 
This country is scourged by serious mental health disorders!

Sijaiona waziwazi hiyo remote control. Au ndo kile kama ki-wallet cha zambarau alichokuwa amekishika?

Hana lolote huyo Manyaunyau. Ana exploit wajinga na majuha walio desperate kwenye maisha yao.

Hakuna uchawi. Kama kuna mtu humu anamjua huyo Manyaunyau, mfikishieni taarifa kuwa Ngabu anasema amjaribu yeye kumroga ili kumpa fundisho tu kuwa uchawi upo kweli.

Fcuk Manyaunyau…..mwambieni nimemtukana pia ili apate walau kiji-sababu cha kunishikisha adabu.

Again, fcuk you 🖕Manyaunyau.

Now hex me, please…..
Speaking about mental health, ni kama vile serikal doesnt care na imewaacha watu wahangaike wenyewe, result idadi ya kuchanganyikiwa watu inazid kuongezeka
 
Speaking about mental health, ni kama vile serikal doesnt care na imewaacha watu wahangaike wenyewe, result idadi ya kuchanganyikiwa watu inazid kuongezeka
Serikali siyo lidude lililotengenezwa kwa vyuma na zege.

Serikali inaundwa na watu. Na mara nyingi serikali huwa ni reflection ya wananchi wanaoongozwa na kutawaliwa nayo.

Na ndo maana kwenye serikali yetu kuna viongozi wengi [kuanzia Rais mwenyewe] tu wanaoamini huo upuuzi wa imani za kichawi.

Sasa kama serikali inaundwa na watu wenye kuzifuata hizo imani potofu za kichawi, unadhani wataliona hilo kama ni tatizo kweli?
 
𝐒𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐧𝐞𝐧𝐨 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮,𝐦𝐚𝐭𝐞𝐧𝐝𝐨 𝐲𝐚𝐧𝐚𝐣𝐢𝐝𝐡𝐢𝐡𝐢𝐫𝐢𝐬𝐡𝐚
 

Attachments

  • images - 2024-03-10T190459.157.jpeg
    images - 2024-03-10T190459.157.jpeg
    25.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom