usiniulie tattianaaaha shunie usinilile tattiana wangu
Si unaona,Rhoda ametamani ulozi na yeye.Watakoma huko Gosheni
Si unaona,Rhoda ametamani ulozi na yeye.
Mlozi asie hata na moyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ataanza na mfamle mwenyewe
Tatizo mfalme wa gosheni nae ni mlozi
Na hajui moyo wake ulipo khaMlozi asie hata na moyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii story jamani natamani ningepata kitabu nikakaa nisome choooote hakika nisingelala ningekesha nacho
Shunie usinifanyie hivyo mama unajua arosto ilivo haifai eeeLeo najisikia kuwapiga arosto story bila arosto hainogi
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Leo najisikia kuwapiga arosto story bila arosto hainogi