Simulizi: Milango ya mafanikio

Simulizi: Milango ya mafanikio

Jifunze moyo wa shukrani ili uwe na furaha na mafanikio unaamrisha utadhani unamlipa mwandishi?
Upo sahihi mkuu, kila mtu ana namna yake ya kudhibiti hisia zake, hasa kwenye zone ya uvumilivu hapa kunawatesa wengi
yote kwa yote tuenjoy simulizi yetu.
 
mkuu we unajua mi na jack tunafahamiana vp na tunaongeleshanaje? pita hata juu uone tunavosemezana basi...we una ujuaji sana mwana naamini ni mwanaume punguza kidogo nakuona kila mahali unadakia na kurukia rukia mambo usije rushiwa rungu ukadaka ikawa mengine em kaaga kimya sometimes unaboa acha umama unajiendekeza sana mdomo umekuzidi huwez acha jambo likupite sio maisha dada we kiila kitu umo vp unataka chapati za maji utafikwa shauri yako
Enjoy simulizi mkuu
 
mkuu we unajua mi na jack tunafahamiana vp na tunaongeleshanaje? pita hata juu uone tunavosemezana basi...we una ujuaji sana mwana naamini ni mwanaume punguza kidogo nakuona kila mahali unadakia na kurukia rukia mambo usije rushiwa rungu ukadaka ikawa mengine em kaaga kimya sometimes unaboa acha umama unajiendekeza sana mdomo umekuzidi huwez acha jambo likupite sio maisha dada we kiila kitu umo vp unataka chapati za maji utafikwa shauri yako
Mkuu punguza hasira na matusi hayakusaidii nadhani Jack Daniel kani quote na kukupa jibu zuri tu. badirika
 
SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI

Heeeeh nini tena shoga yangu maana wewe ndiye mwanamke mwenzangu pekee humu ndani kwenye dharula lazima utakuwa bega kwa bega na mimi, eeh haya niambie imekuwaje tena? mbona machozi mwanangu? aliuliza mama Kulwa.

Badala ya kujibu alianza kulia kwa sauti kubwa, na hii ni kawaida sana kwa mtu yeyote pindi ukionesha una muhurumia kwa madhila aliyofanyiwa, aliendelea kumbembelezwa hadi pale aliponyamaza. Kisha akaanza kusimulia,

Baada ya nyie kuondoka haikuchukua muda mrefu geti liligongwa, mgongaji akiwa ni mtoto mdogo ambaye umri ni kama miaka sita akaniambia kuna mtu ananiita, nikamjibu kuwa siruhusiwi kutoka nje ya hili geti, kama ana shida mwambie aje mpaka hapa, kweli yule mtoto aliondoka lakini sikujua ni nani aliyekuwa ananiita wala sikutaka kumfahamu. Baada ya kumaliza kunywa chai nilienda buchani kama ulivyonielekeza nikachukua nyama na kuondoka, lakini ghafla akatokea mtu na kudai anaomba anisaidie kubeba, licha ya kumkatalia lakini aling'ang'ania hadi nilipompa , tukaianza safari ya kurudi nyumbani.

Tukiwa njiani aliniuliza maswali kadhaa huku akidai hapa nateseka kwanini niwe natumwatumwa kwenda kubeba shombo za nyama wakati yeye angeweza kunisaidia nikapata kazi nzuri tu kuliko uhousemaid naoufanya, ikabidi nimjibu Mimi sijasoma, akauliza kwanini sikusoma kwenye Dunia ya leo ni mzazi gani anakuwa hajui umuhimu wa mtoto kusoma,
Akadai atanisaidia la kwanza atawafungulia kesi nyinyi, kwanini hamjanisomesha, la pili akadai Mimi bado sijachelewa anao uwezo wa kunisomesha licha ya umri wangu huu, aliongea mengi na nilipokaribia kufika hapa nyumbani nikamwambia anipe mzigo wangu, akawa hataki akidai ataingia nao ndani lakini pia anataka kuwasalimia na nyie,
Nikamwambia hakuna yeyote na haruhusiwi mtu yeyote kuingia ndani lakini tulipofika aliingia ndani kwa nguvu na kuanza kunibembeleza kuwa nimkubalie tu kwanza yeye anachotaka ni kitu kimoja tu nimpe penzi tu basi.

Ndipo alipoanza kunilazimisha akitaka kunibaka ikabidi niirukie tai yake nikaivuta ikamkaba licha ya kuniomba nimuachie Mimi sikumuacha ndipo alinipiga na teke tumboni nikaanguka na yeye kukimbia siyo muda mrefu inaonekana hata nyinyi hamkuwa mbali sana vinginevyo mngemuwahi.
aliweka kituo Rahma

Ni nani huyo mwanaharamu, aliuliza mama Kulwa huku Mzee Mgaya na Samson wakiwa kimya na shauku ya kumjua huyo mtu japo Samson alishamhisi.

Ni yule mwalimu aliyekuja akidai akidai ni rafiki wa Samson, amekuwa akinisumbua sana, alimwaga ule mchele Rahma.

Hivi baba Jose haya maneno yanakuingia akilini kweli unadhani yule kijana anaweza kufanya mambo haya , mbona inaonekana huyu ni kijana mmoja asiye mstaarabu ambaye ana thubutu kuingia ndani kwa watu na kufanya yasiyofaa bila hata uoga, uwiiiiiiiiiih. aliongea Kwa kupayuka na hasira mama Kulwa.

Huyo ni yeye hata siku ile anakuja hapa Mimi nilijua anamfuata Rahma, na kama mna kumbuka alikuwa analazimisha kumsalimia Dada Rahma, Samson aliamua kupigilia msumari huku akiwa na furaha kwani alijua mwalimu ameyakanyaga.

Jamii mbona ni ngumu kuamini , yule kijana mbona anaonekana ni smart sana kichwani, ni msomi yule Tena smart kuanzia mavazi, ongea yake na namuona ana heshima, Mama Kulwa ilikuwa ni ngumu kwake kuamini.

Mke wangu sisi wanaume tunajijua wenyewe akili zetu, Wala usibishe kwamba siyo yeye, chukulia mfano wendawazimu na wanawake vichaa wanaozurura barabarani wapo baadhi wanapata ujauzito.
Swali ni nani anawapatia, ni vichaa wenzao wa kiume?
Jibu ni hapana, ni wanaume makini na timamu tena wenye heshima zao mjini, ningesema mengi lakini tupo na watoto hapa haitakuwa vizuri.
alifafanua mzee Mgaya

Kwahiyo ndiyo kajitapa kwamba ana uwezo wa kutufungulia mashtaka kisa hukusoma kwani kaambiwa wewe ulikulia hapa? Jamani yule kijana kumbe ni mjinga eeeeh.
Mama Kulwa alilalamika.

Hata kama angekuwa kakulia hapa yule kijana ana uwezo wa kunishtaki Mimi yule? alidakia mzee Mgaya

Kwahiyo hata kupika hujapika, maana njaa nayo haipo nyuma, aliongea mama Kulwa huku akiliendea poti la Chakula na kukuta ni tupu,

Zaidi ya masaa matatu ananilazimisha nimkubalie, ndiye aliyenichelewesha,
Alijitetea Rahma.

Sawa mama nimekuelewa kwani umeumia sana tukupeleke hospital? aliuliza mama Kulwa.

Hapana nipo sawa kwani ni kama alinisukuma tu nikaangukia kwenye kiti, na sponji imenisaidia, alijibu Rahma.

Walitoka wote nakuelekea jikoni huku mama Kulwa akimtaka Rahma akae pembeni na kazi ya kupika aifanye mwenyewe,

Uuuuiiiiuwiiii ama kweli Kuna watu Wana dharau yaani mtu alitaka kufanyia mapenzi sebuleni kwangu Tena akimbaka mtu bila woga, yaani watu wengine hawaogopi hata. Mama Kulwa alijikuta aliongea peke yake mithili ya mtu aliyechanganyikiwa .

Mke wangu Mimi natoka kidogo narudi siyo muda. Mzee Mgaya aliaga na kipindi hiki alikuwa anaaga kwakuwa alikuwa akibembeleza gari tofauti na zamani utastukia mtu hayupo .

Huko unakoenda tafadhali usije ukaanzisha fujo yeyote, nakujua baba Jose, una tabia ya kuharibu mambo na kujikuta unapoteza haki yako wewe tulia huyo mtu tutajua Cha kufanya, alishauri Mama Kulwa

Hapana mke wangu Mimi naenda pale buchani nataka nikamuulize maswali kadhaa yule jamaa Kisha tutapata pa kuanzia, unajua kwanini mke wangu, hili jambo halina ushahidi bado hata ukimshtaki mtu atakukataa tu. aliongeza mzee Mgaya.

Kama ni hivyo Haina shida sisi tunasubiri mrejesho baba. aliongea mama Kulwa akiwa bize na mapishi.

Kwa upande wa Samson alifurahi sana, alijikuta moyo unamlipuka kwa furaha maana yule ticha alikuwa anamnyima usingizi Kila wakati kwani alijua ipo siku mwalimu atakubaliwa na Rahma , hivyo akajiona ni mshindi kwani aliwajua wazazi wake wale hawakuwa na dogo hasa ukionesha kuwavunjia heshima hasa kitendo alichofanya yule ticha, aliingia ndani akapanga daftari zake ili akipata lunch aelekee shule kama wanavyokutana na wenzie kudiscuss mambo mbalimbali .
Huku akishindwa kujizuia furaha yake aliyonayo.

Samson umeona yale nayokwambiaga kuhusu msimamo na umakini wa humu ndani, ona sasa nyumba imegeuka kama choo cha umma yaani mtu analazimisha kuingia na kutaka kufanya chochote .
aliongea Kwa uchungu mama Kulwa.

Usijali mama sheria itafuata mkondo wake na pia ana bahati sana , unadhani tungemkuta Nini kingetokea, angeumia yule . aliongea Kwa kujiamini Samson, mama Kulwa na Rahma waliangaliana huku wakitabasamu.

Itaendelea kesho panapo majaliwa...........................
 
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU

Kama kawaida kama ada, ikiwa ni mwendelezo wa kuisaka elimu kama njia ya kujitengenezea wepesi wa maisha ya baadaye au njia ya kujikomboa na maisha magumu,japokuwa hii si kanuni ya kuwa na maisha mazuri kwa Elimu siyo ndiyo Kila kitu, wapo wamefanikiwa kwenye maisha bila kupita darasani

Samson alikuwa smart akiwa kavaa begi lake kama ambapo jumatatu huwa ina vimbwanga vyake si kwa wafanyakazi tu, hata kwa wanafunzi.
Ni siku ambayo huweza kukupa picha ya mambo yatakavyoenda kwa wiki nzima japo si kwa wote wanaichukulia jumatatu kihivyo

Alifika shule muda sahihi huku siku hiyo akishangaa wanafunzi kuwa wachache tofauti na alivyozoea, hili halikumpa tabu akaingia darasani kwake huku akijiandaa na Somo la hesabu kama timetable, ilivyokuwa inaonesha akawa anafungua fungua kitabu fulani chenye Topic ya siku hiyo kwaajili ya kujikumbusha ,
Mwalimu wa somo husika aliingia, ambaye alikuwa ndiye mkuu wa shule ile,licha ya wanafunzi kusimama wamsalimie aliwaashiria wakae tu,
Huku akimuulizia monitor wa darasa.

Wewe ndiyo monitor, mbona mchafu hivyo halafu, nywele hizooooo! Hebu njoo mbele kwanza, haiwezekani monitor mzima unakuwa rafu na ni nani alikupa huu uongozi, eti class ni vigezo gani vilitumika kumpa umonitor huyu, aliongea yule mwalimu huku akimuinamisha ili amchape viboko.

Kuanzia leo huyu namvua hiki cheo, au hamjui maana ya uongozi,
Unapopewa uongozi maana yake wewe ni mfano kwa vitu vingi, kuanzia akili darasani, nidhamu, usafi na mengine mengi Sasa wewe hapana, Sasa nawataka mchague monitor wa darasa mwingine haraka vigezo awe na uwezo wa kuandika vizuri pamoja na kumudu baadhi ya masomo. lakini wanafunzi wote walikataa wakimtaka yule yule kwani wao walimwamini kwa uwezo wake mkubwa wakipewa test alikuwa di mchoyo anaweza kuwapa majibu darasa Zima na pia alijua alichokifanya kwani alikuwa na akili sana, jambo pekee lilimfanya aonekane mchafu ni kutokana na familia duni anayotoka, ikiwa haijiwezi, hivyo kuwa na maisha ya kuungaunga.

Baada ya wanafunzi kuonesha wote wanamtaka yule monitor wao waliyemzoea mwalimu alimpandisha na kumshusha huku akionesha hajamkubali .

Haya sawa kwakuwa wenyewe mnamkubali Mimi Sina neno ila nakuachieni test tu kwakuwa Leo Nina mambo mengi nipo kwenye msafara fulani wa mkuu wa mkoa na hata hivyo wiki hii Kuna mwalimu mpya wa somo la Mathematics atakuja kwakuwa Mimi nakuwa na ratiba nyingi mno.alisema yule mwalimu mkuu

Wanafunzi wote walihuzunika sana, waliamini hawawezi kupata mwalimu genius na mwenye kipaji cha kufundisha kama yule kwani hata wale vichwa ngumu kuelewa, ilikuwa rahisi kumuelewa yule mwalimu ambaye alikuwa ni mwalimu wa hesabu wa shule nzima.

Wakati anatoka, alikuja upande wa nyuma kule back benchers akakutana uso kwa uso na Samson,
Eheee wewe nilikuwa nakutafuta sana yaani pindi natoka ofisini mtu ambaye nilikuwa nataka nikuone ni wewe hebu nifuate ofisini, aliamrisha yule mwalimu mkuu

Samson moyo ulimlipuka akijaribu kuwaza kafanya kosa gani ila hakuelewa, maana walimu wale ilikuwa wakikuita lazima Kuna mistake umefanya.

Alifika ofisini akakuta kuna walimu wawili ambao walikuwa siyo wa shule yao ila aliwafahamu vyema,

Dah samahani ndugu zangu nimechelewa kiasi , majukumu nayo ni mengi kama nilivyomuomba Afisa Elimu na kamati yake waweze kutuongezea walimu wa masomo ya Sayansi pengine itanipunguzia majukumu. aliongea huku akijiweka kwenye kiti chake, Kisha akawapa wale walimu wenzake bahasha fulani na kuwaruhusu waondoke ,

Samahani kidogo naongea na huyu kijana ila ndani ya nusu saa nitakuwa nimefika kwani mheshimiwa atapita mida ya saa tano. aliwaambia wale walimu

Enhee Samson nimekuita hapa, nahitaji kuuliza jambo moja, naomba unijibu, kwa ufasaha na ukweli, kama Kuna kitu hukukiona kwa macho ila ulisikia usikitolee maelezo, nahitaji kile uliona na kusikia kwa macho yako, hebu niambie siku ya jumamosi kulitokea Nini kwenu Kati ya familia yenu Na mwalimu Sadick, aliuliza yule mwalimu mkuu.

Samson kwakuwa alishatahadharishwa asiseme jambo ambalo hakuliona, akili ilimcheza vizuri sana, akamjibu kuwa hakukutokea jambo lolote.

Nyumbani kwenu mnaishi watu wangapi? aliuliza mwalimu mkuu

Tunaishi watu wengi tu, ila kwasasa tunaishi watu wanne yaani , baba mkubwa Mzee Mgaya, Mama mkubwa, pamoja na dada wa kazi (akimaanisha Rahma)

kwahiyo huna unalolijua, mbona nimeambiwa mwalimu Sadick aliumizwa na mtu wa familia ya mzee Mgaya, japo yeye amenificha kaniambia kuwa anaumwa, lakini kwa taarifa na vyanzo visivyo rasmi sana, kwa shuhuda za majirani inaonesha mtu alitoka mbio huku akiugulia maumivu akiwa anatoka kwenye nyumba yenu bado Samson unataka kuniambia hujui kitu. aliongea mwalimu mkuu huku akijichekesha akilazimisha Samson aongee.

Mwalimu siku ya jumamosi tulisafiri mimi na wazazi wangu kwenda huku shamba kukagua miradi ya Mzee na tuliporudi tulikuta ni salama tu, Sasa hayo mengine Mimi sijayajua. alijibu Kwa kujifanya hajui ili kuepusha mlolongo wa maswali.

Haya wahi darasani, nitaongea na Mzee Mgaya mwenyewe, maana hili kinaleta picha mbaya kwa siye walimu, alisema mwalimu mkuu

Samson aliwaza kidogo huku wakati mwingine akicheka, ni nani aliyemuona mwalimu Sadick, akitoka ndani mwetu, na kwanini amdanganye mwalimu mkuu kuwa anaumwa wakati kaumizwa na Rahma? Watajijua wenyewe. alijisemea Samson huku akiendelea na masomo yake. Muda wa saa Saba mchana Samson aliambiwa anaitwa kwenye ofisi ya walimu wote, akaingia akakuta jopo la walimu karibu wote wakiwa na mwalimu mkuu wakiwa wanaongea kwa lawama kidogo.

Hii serikali basi tu, yaani watu hawazingatii itifaki kabisa yaani, haiwezekani safari inapangwa kwa muda wa wiki nzima halafu inaahirishwa kirahisi tu, Mimi hapa nimetumia gharama kibao nikiwa kama mratibu wa Elimu kwa kuchukua walimu kadhaa ambao tungekuwa kwenye msafara lakini , Cha ajabu safari hakuna , na hakuna sababu za msingi. Alilaumu mwalimu mkuu ambaye Samson aligundua kuwa pia ni mratibu wa Elimu cheo ambacho hakukijua kabla.

Sasa ndugu zanguni hayo tuyaache tu, Wala hatuna namna Hawa ndiyo viongozi wetu wa taifa hili, hata wakituambia muda huu Kuna safari tena, hatuna budi kutii mamlaka. alisema kwa masikitiko mwalimu mkuu.

Haya Mimi natoka kidogo naenda hapo kwa mzee Mgaya nina mazungumzo naye, aliwaaga wenzake huku akiongozana na Samson hadi nyumbani kwao. Wakimkuta Mzee Mgaya akishuka kwenye gari kuonesha Kuna sehemu anatoka muda si mrefu

Karibu sana Mzee mwenzangu, naona umekuja kunitembelea na wewe navyokujua huwa huji hapa kirahisi bila shaka , kuna matatizo, vipi kijana wetu anasumbua nini. aliuliza kiutani Mzee Mgaya.

Hapana, hakuna jambo baya kwa Samson yaani huyu tangu umenikabidhi mwaka ule, naishi naye vizuri sana shuleni kwangu, Tena kitaaluma yupo vizuri ana wastani mzuri, na pia ni bonge la football player, yaani hii ndiyo winga ya shuleni kwetu . aliongea mwalimu mkuu huku akimpigapiga Samson mgongoni.

Haya mwalimu karibu ndani, karibu sana, waliingia ndani wakakutana na watu wengi kidogo,
Akiwemo muuza nyama maarufu wa mtaa ule, mama Kulwa akiwa ndiye mazahausi, alikuwepo pia Tausi mke mdogo wa mzee Mgaya, alikuwepo pia Cathy msichana ambaye ni rafiki wa mama Kulwa, pamoja na Rahma.

Samson alishangaa uwepo wa watu wale, akagundua kuwa kumbe mwalimu mkuu hajakuja kwa bahati mbaya Bali, ameitwa.hivyo watu nane ndani ya familia ya mzee Mgaya wakaanza kwa kutambulishana ili kikao husika kiweze kuendelea.

Nini kinajadiliwa kwenye hicho kikao?
Ni nini kitajiri baada ya majadiliano?

Sehemu inayofuata ina majibu,

Itaendelea..........................
 
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU

Kama kawaida kama ada, ikiwa ni mwendelezo wa kuisaka elimu kama njia ya kujitengenezea wepesi wa maisha ya baadaye au njia ya kujikomboa na maisha magumu,japokuwa hii si kanuni ya kuwa na maisha mazuri kwa Elimu siyo ndiyo Kila kitu, wapo wamefanikiwa kwenye maisha bila kupita darasani

Samson alikuwa smart akiwa kavaa begi lake kama ambapo jumatatu huwa ina vimbwanga vyake si kwa wafanyakazi tu, hata kwa wanafunzi.
Ni siku ambayo huweza kukupa picha ya mambo yatakavyoenda kwa wiki nzima japo si kwa wote wanaichukulia jumatatu kihivyo

Alifika shule muda sahihi huku siku hiyo akishangaa wanafunzi kuwa wachache tofauti na alivyozoea, hili halikumpa tabu akaingia darasani kwake huku akijiandaa na Somo la hesabu kama timetable, ilivyokuwa inaonesha akawa anafungua fungua kitabu fulani chenye Topic ya siku hiyo kwaajili ya kujikumbusha ,
Mwalimu wa somo husika aliingia, ambaye alikuwa ndiye mkuu wa shule ile,licha ya wanafunzi kusimama wamsalimie aliwaashiria wakae tu,
Huku akimuulizia monitor wa darasa.

Wewe ndiyo monitor, mbona mchafu hivyo halafu, nywele hizooooo! Hebu njoo mbele kwanza, haiwezekani monitor mzima unakuwa rafu na ni nani alikupa huu uongozi, eti class ni vigezo gani vilitumika kumpa umonitor huyu, aliongea yule mwalimu huku akimuinamisha ili amchape viboko.

Kuanzia leo huyu namvua hiki cheo, au hamjui maana ya uongozi,
Unapopewa uongozi maana yake wewe ni mfano kwa vitu vingi, kuanzia akili darasani, nidhamu, usafi na mengine mengi Sasa wewe hapana, Sasa nawataka mchague monitor wa darasa mwingine haraka vigezo awe na uwezo wa kuandika vizuri pamoja na kumudu baadhi ya masomo. lakini wanafunzi wote walikataa wakimtaka yule yule kwani wao walimwamini kwa uwezo wake mkubwa wakipewa test alikuwa di mchoyo anaweza kuwapa majibu darasa Zima na pia alijua alichokifanya kwani alikuwa na akili sana, jambo pekee lilimfanya aonekane mchafu ni kutokana na familia duni anayotoka, ikiwa haijiwezi, hivyo kuwa na maisha ya kuungaunga.

Baada ya wanafunzi kuonesha wote wanamtaka yule monitor wao waliyemzoea mwalimu alimpandisha na kumshusha huku akionesha hajamkubali .

Haya sawa kwakuwa wenyewe mnamkubali Mimi Sina neno ila nakuachieni test tu kwakuwa Leo Nina mambo mengi nipo kwenye msafara fulani wa mkuu wa mkoa na hata hivyo wiki hii Kuna mwalimu mpya wa somo la Mathematics atakuja kwakuwa Mimi nakuwa na ratiba nyingi mno.alisema yule mwalimu mkuu

Wanafunzi wote walihuzunika sana, waliamini hawawezi kupata mwalimu genius na mwenye kipaji cha kufundisha kama yule kwani hata wale vichwa ngumu kuelewa, ilikuwa rahisi kumuelewa yule mwalimu ambaye alikuwa ni mwalimu wa hesabu wa shule nzima.

Wakati anatoka, alikuja upande wa nyuma kule back benchers akakutana uso kwa uso na Samson,
Eheee wewe nilikuwa nakutafuta sana yaani pindi natoka ofisini mtu ambaye nilikuwa nataka nikuone ni wewe hebu nifuate ofisini, aliamrisha yule mwalimu mkuu

Samson moyo ulimlipuka akijaribu kuwaza kafanya kosa gani ila hakuelewa, maana walimu wale ilikuwa wakikuita lazima Kuna mistake umefanya.

Alifika ofisini akakuta kuna walimu wawili ambao walikuwa siyo wa shule yao ila aliwafahamu vyema,

Dah samahani ndugu zangu nimechelewa kiasi , majukumu nayo ni mengi kama nilivyomuomba Afisa Elimu na kamati yake waweze kutuongezea walimu wa masomo ya Sayansi pengine itanipunguzia majukumu. aliongea huku akijiweka kwenye kiti chake, Kisha akawapa wale walimu wenzake bahasha fulani na kuwaruhusu waondoke ,

Samahani kidogo naongea na huyu kijana ila ndani ya nusu saa nitakuwa nimefika kwani mheshimiwa atapita mida ya saa tano. aliwaambia wale walimu

Enhee Samson nimekuita hapa, nahitaji kuuliza jambo moja, naomba unijibu, kwa ufasaha na ukweli, kama Kuna kitu hukukiona kwa macho ila ulisikia usikitolee maelezo, nahitaji kile uliona na kusikia kwa macho yako, hebu niambie siku ya jumamosi kulitokea Nini kwenu Kati ya familia yenu Na mwalimu Sadick, aliuliza yule mwalimu mkuu.

Samson kwakuwa alishatahadharishwa asiseme jambo ambalo hakuliona, akili ilimcheza vizuri sana, akamjibu kuwa hakukutokea jambo lolote.

Nyumbani kwenu mnaishi watu wangapi? aliuliza mwalimu mkuu

Tunaishi watu wengi tu, ila kwasasa tunaishi watu wanne yaani , baba mkubwa Mzee Mgaya, Mama mkubwa, pamoja na dada wa kazi (akimaanisha Rahma)

kwahiyo huna unalolijua, mbona nimeambiwa mwalimu Sadick aliumizwa na mtu wa familia ya mzee Mgaya, japo yeye amenificha kaniambia kuwa anaumwa, lakini kwa taarifa na vyanzo visivyo rasmi sana, kwa shuhuda za majirani inaonesha mtu alitoka mbio huku akiugulia maumivu akiwa anatoka kwenye nyumba yenu bado Samson unataka kuniambia hujui kitu. aliongea mwalimu mkuu huku akijichekesha akilazimisha Samson aongee.

Mwalimu siku ya jumamosi tulisafiri mimi na wazazi wangu kwenda huku shamba kukagua miradi ya Mzee na tuliporudi tulikuta ni salama tu, Sasa hayo mengine Mimi sijayajua. alijibu Kwa kujifanya hajui ili kuepusha mlolongo wa maswali.

Haya wahi darasani, nitaongea na Mzee Mgaya mwenyewe, maana hili kinaleta picha mbaya kwa siye walimu, alisema mwalimu mkuu

Samson aliwaza kidogo huku wakati mwingine akicheka, ni nani aliyemuona mwalimu Sadick, akitoka ndani mwetu, na kwanini amdanganye mwalimu mkuu kuwa anaumwa wakati kaumizwa na Rahma? Watajijua wenyewe. alijisemea Samson huku akiendelea na masomo yake. Muda wa saa Saba mchana Samson aliambiwa anaitwa kwenye ofisi ya walimu wote, akaingia akakuta jopo la walimu karibu wote wakiwa na mwalimu mkuu wakiwa wanaongea kwa lawama kidogo.

Hii serikali basi tu, yaani watu hawazingatii itifaki kabisa yaani, haiwezekani safari inapangwa kwa muda wa wiki nzima halafu inaahirishwa kirahisi tu, Mimi hapa nimetumia gharama kibao nikiwa kama mratibu wa Elimu kwa kuchukua walimu kadhaa ambao tungekuwa kwenye msafara lakini , Cha ajabu safari hakuna , na hakuna sababu za msingi. Alilaumu mwalimu mkuu ambaye Samson aligundua kuwa pia ni mratibu wa Elimu cheo ambacho hakukijua kabla.

Sasa ndugu zanguni hayo tuyaache tu, Wala hatuna namna Hawa ndiyo viongozi wetu wa taifa hili, hata wakituambia muda huu Kuna safari tena, hatuna budi kutii mamlaka. alisema kwa masikitiko mwalimu mkuu.

Haya Mimi natoka kidogo naenda hapo kwa mzee Mgaya nina mazungumzo naye, aliwaaga wenzake huku akiongozana na Samson hadi nyumbani kwao. Wakimkuta Mzee Mgaya akishuka kwenye gari kuonesha Kuna sehemu anatoka muda si mrefu

Karibu sana Mzee mwenzangu, naona umekuja kunitembelea na wewe navyokujua huwa huji hapa kirahisi bila shaka , kuna matatizo, vipi kijana wetu anasumbua nini. aliuliza kiutani Mzee Mgaya.

Hapana, hakuna jambo baya kwa Samson yaani huyu tangu umenikabidhi mwaka ule, naishi naye vizuri sana shuleni kwangu, Tena kitaaluma yupo vizuri ana wastani mzuri, na pia ni bonge la football player, yaani hii ndiyo winga ya shuleni kwetu . aliongea mwalimu mkuu huku akimpigapiga Samson mgongoni.

Haya mwalimu karibu ndani, karibu sana, waliingia ndani wakakutana na watu wengi kidogo,
Akiwemo muuza nyama maarufu wa mtaa ule, mama Kulwa akiwa ndiye mazahausi, alikuwepo pia Tausi mke mdogo wa mzee Mgaya, alikuwepo pia Cathy msichana ambaye ni rafiki wa mama Kulwa, pamoja na Rahma.

Samson alishangaa uwepo wa watu wale, akagundua kuwa kumbe mwalimu mkuu hajakuja kwa bahati mbaya Bali, ameitwa.hivyo watu nane ndani ya familia ya mzee Mgaya wakaanza kwa kutambulishana ili kikao husika kiweze kuendelea.

Nini kinajadiliwa kwenye hicho kikao?
Ni nini kitajiri baada ya majadiliano?

Sehemu inayofuata ina majibu,

Itaendelea..........................
 
SEHEMU YA HAMSINI NA TATU

Kama kawaida kama ada, ikiwa ni mwendelezo wa kuisaka elimu kama njia ya kujitengenezea wepesi wa maisha ya baadaye au njia ya kujikomboa na maisha magumu,japokuwa hii si kanuni ya kuwa na maisha mazuri kwa Elimu siyo ndiyo Kila kitu, wapo wamefanikiwa kwenye maisha bila kupita darasani

Samson alikuwa smart akiwa kavaa begi lake kama ambapo jumatatu huwa ina vimbwanga vyake si kwa wafanyakazi tu, hata kwa wanafunzi.
Ni siku ambayo huweza kukupa picha ya mambo yatakavyoenda kwa wiki nzima japo si kwa wote wanaichukulia jumatatu kihivyo

Alifika shule muda sahihi huku siku hiyo akishangaa wanafunzi kuwa wachache tofauti na alivyozoea, hili halikumpa tabu akaingia darasani kwake huku akijiandaa na Somo la hesabu kama timetable, ilivyokuwa inaonesha akawa anafungua fungua kitabu fulani chenye Topic ya siku hiyo kwaajili ya kujikumbusha ,
Mwalimu wa somo husika aliingia, ambaye alikuwa ndiye mkuu wa shule ile,licha ya wanafunzi kusimama wamsalimie aliwaashiria wakae tu,
Huku akimuulizia monitor wa darasa.

Wewe ndiyo monitor, mbona mchafu hivyo halafu, nywele hizooooo! Hebu njoo mbele kwanza, haiwezekani monitor mzima unakuwa rafu na ni nani alikupa huu uongozi, eti class ni vigezo gani vilitumika kumpa umonitor huyu, aliongea yule mwalimu huku akimuinamisha ili amchape viboko.

Kuanzia leo huyu namvua hiki cheo, au hamjui maana ya uongozi,
Unapopewa uongozi maana yake wewe ni mfano kwa vitu vingi, kuanzia akili darasani, nidhamu, usafi na mengine mengi Sasa wewe hapana, Sasa nawataka mchague monitor wa darasa mwingine haraka vigezo awe na uwezo wa kuandika vizuri pamoja na kumudu baadhi ya masomo. lakini wanafunzi wote walikataa wakimtaka yule yule kwani wao walimwamini kwa uwezo wake mkubwa wakipewa test alikuwa di mchoyo anaweza kuwapa majibu darasa Zima na pia alijua alichokifanya kwani alikuwa na akili sana, jambo pekee lilimfanya aonekane mchafu ni kutokana na familia duni anayotoka, ikiwa haijiwezi, hivyo kuwa na maisha ya kuungaunga.

Baada ya wanafunzi kuonesha wote wanamtaka yule monitor wao waliyemzoea mwalimu alimpandisha na kumshusha huku akionesha hajamkubali .

Haya sawa kwakuwa wenyewe mnamkubali Mimi Sina neno ila nakuachieni test tu kwakuwa Leo Nina mambo mengi nipo kwenye msafara fulani wa mkuu wa mkoa na hata hivyo wiki hii Kuna mwalimu mpya wa somo la Mathematics atakuja kwakuwa Mimi nakuwa na ratiba nyingi mno.alisema yule mwalimu mkuu

Wanafunzi wote walihuzunika sana, waliamini hawawezi kupata mwalimu genius na mwenye kipaji cha kufundisha kama yule kwani hata wale vichwa ngumu kuelewa, ilikuwa rahisi kumuelewa yule mwalimu ambaye alikuwa ni mwalimu wa hesabu wa shule nzima.

Wakati anatoka, alikuja upande wa nyuma kule back benchers akakutana uso kwa uso na Samson,
Eheee wewe nilikuwa nakutafuta sana yaani pindi natoka ofisini mtu ambaye nilikuwa nataka nikuone ni wewe hebu nifuate ofisini, aliamrisha yule mwalimu mkuu

Samson moyo ulimlipuka akijaribu kuwaza kafanya kosa gani ila hakuelewa, maana walimu wale ilikuwa wakikuita lazima Kuna mistake umefanya.

Alifika ofisini akakuta kuna walimu wawili ambao walikuwa siyo wa shule yao ila aliwafahamu vyema,

Dah samahani ndugu zangu nimechelewa kiasi , majukumu nayo ni mengi kama nilivyomuomba Afisa Elimu na kamati yake waweze kutuongezea walimu wa masomo ya Sayansi pengine itanipunguzia majukumu. aliongea huku akijiweka kwenye kiti chake, Kisha akawapa wale walimu wenzake bahasha fulani na kuwaruhusu waondoke ,

Samahani kidogo naongea na huyu kijana ila ndani ya nusu saa nitakuwa nimefika kwani mheshimiwa atapita mida ya saa tano. aliwaambia wale walimu

Enhee Samson nimekuita hapa, nahitaji kuuliza jambo moja, naomba unijibu, kwa ufasaha na ukweli, kama Kuna kitu hukukiona kwa macho ila ulisikia usikitolee maelezo, nahitaji kile uliona na kusikia kwa macho yako, hebu niambie siku ya jumamosi kulitokea Nini kwenu Kati ya familia yenu Na mwalimu Sadick, aliuliza yule mwalimu mkuu.

Samson kwakuwa alishatahadharishwa asiseme jambo ambalo hakuliona, akili ilimcheza vizuri sana, akamjibu kuwa hakukutokea jambo lolote.

Nyumbani kwenu mnaishi watu wangapi? aliuliza mwalimu mkuu

Tunaishi watu wengi tu, ila kwasasa tunaishi watu wanne yaani , baba mkubwa Mzee Mgaya, Mama mkubwa, pamoja na dada wa kazi (akimaanisha Rahma)

kwahiyo huna unalolijua, mbona nimeambiwa mwalimu Sadick aliumizwa na mtu wa familia ya mzee Mgaya, japo yeye amenificha kaniambia kuwa anaumwa, lakini kwa taarifa na vyanzo visivyo rasmi sana, kwa shuhuda za majirani inaonesha mtu alitoka mbio huku akiugulia maumivu akiwa anatoka kwenye nyumba yenu bado Samson unataka kuniambia hujui kitu. aliongea mwalimu mkuu huku akijichekesha akilazimisha Samson aongee.

Mwalimu siku ya jumamosi tulisafiri mimi na wazazi wangu kwenda huku shamba kukagua miradi ya Mzee na tuliporudi tulikuta ni salama tu, Sasa hayo mengine Mimi sijayajua. alijibu Kwa kujifanya hajui ili kuepusha mlolongo wa maswali.

Haya wahi darasani, nitaongea na Mzee Mgaya mwenyewe, maana hili kinaleta picha mbaya kwa siye walimu, alisema mwalimu mkuu

Samson aliwaza kidogo huku wakati mwingine akicheka, ni nani aliyemuona mwalimu Sadick, akitoka ndani mwetu, na kwanini amdanganye mwalimu mkuu kuwa anaumwa wakati kaumizwa na Rahma? Watajijua wenyewe. alijisemea Samson huku akiendelea na masomo yake. Muda wa saa Saba mchana Samson aliambiwa anaitwa kwenye ofisi ya walimu wote, akaingia akakuta jopo la walimu karibu wote wakiwa na mwalimu mkuu wakiwa wanaongea kwa lawama kidogo.

Hii serikali basi tu, yaani watu hawazingatii itifaki kabisa yaani, haiwezekani safari inapangwa kwa muda wa wiki nzima halafu inaahirishwa kirahisi tu, Mimi hapa nimetumia gharama kibao nikiwa kama mratibu wa Elimu kwa kuchukua walimu kadhaa ambao tungekuwa kwenye msafara lakini , Cha ajabu safari hakuna , na hakuna sababu za msingi. Alilaumu mwalimu mkuu ambaye Samson aligundua kuwa pia ni mratibu wa Elimu cheo ambacho hakukijua kabla.

Sasa ndugu zanguni hayo tuyaache tu, Wala hatuna namna Hawa ndiyo viongozi wetu wa taifa hili, hata wakituambia muda huu Kuna safari tena, hatuna budi kutii mamlaka. alisema kwa masikitiko mwalimu mkuu.

Haya Mimi natoka kidogo naenda hapo kwa mzee Mgaya nina mazungumzo naye, aliwaaga wenzake huku akiongozana na Samson hadi nyumbani kwao. Wakimkuta Mzee Mgaya akishuka kwenye gari kuonesha Kuna sehemu anatoka muda si mrefu

Karibu sana Mzee mwenzangu, naona umekuja kunitembelea na wewe navyokujua huwa huji hapa kirahisi bila shaka , kuna matatizo, vipi kijana wetu anasumbua nini. aliuliza kiutani Mzee Mgaya.

Hapana, hakuna jambo baya kwa Samson yaani huyu tangu umenikabidhi mwaka ule, naishi naye vizuri sana shuleni kwangu, Tena kitaaluma yupo vizuri ana wastani mzuri, na pia ni bonge la football player, yaani hii ndiyo winga ya shuleni kwetu . aliongea mwalimu mkuu huku akimpigapiga Samson mgongoni.

Haya mwalimu karibu ndani, karibu sana, waliingia ndani wakakutana na watu wengi kidogo,
Akiwemo muuza nyama maarufu wa mtaa ule, mama Kulwa akiwa ndiye mazahausi, alikuwepo pia Tausi mke mdogo wa mzee Mgaya, alikuwepo pia Cathy msichana ambaye ni rafiki wa mama Kulwa, pamoja na Rahma.

Samson alishangaa uwepo wa watu wale, akagundua kuwa kumbe mwalimu mkuu hajakuja kwa bahati mbaya Bali, ameitwa.hivyo watu nane ndani ya familia ya mzee Mgaya wakaanza kwa kutambulishana ili kikao husika kiweze kuendelea.

Nini kinajadiliwa kwenye hicho kikao?
Ni nini kitajiri baada ya majadiliano?

Sehemu inayofuata ina majibu,

Itaendelea..........................
Kazi nzuri Engineer niko mjini sema sehemu tupate mkojo wa shetani ikiwa huko free .
 
SEHEMU YA HAMSINI NA NNE

Sura ya mke mdogo wa mzee Mgaya (Tausi)haikuwa na nuru hata kidogo, aliongea kwa kujilazimisha na hata ilipotokea jambo la kuchekesha alicheka kwa kujilazimisha tu.
Haikujulikana nini kinasababisha japo labda kitendo cha kuonekana yeye kashindwa kuishi na Rahma kilimfanya ahuzunike.

Baada ya utambulisho kupita, Mzee Mgaya aliendelea,.....
Ndugu zanguni bila shaka kilichotukutanisha hapa, tayari kila mmoja ameweza kufahamu kama nilivyoeleza tangu mwanzo kuwa siku mbili nyuma nikiwa natoka kwenye ukaguzi wa projects zangu, niliweza kukuta hali ya tofauti hapa nyumbani kwangu, ambapo binti tunayeishi naye alinusurika kufanyiwa kitendo cha kikatili kwa mujibu wa maelezo yake, na hata hivyo hatukuweza kukubali maelezo yake moja kwa moja bado Kuna hatua za uchunguzi tuliweza kuzifanya , kwa kuanzia kwa ndugu yetu ambaye ni muuza nyama maarufu hapa mtaani kwetu jambo zuri zaidi yeye yupo anaweza kutufafanulia. Mzee Mgaya aliweka kituo.

Naam, sina maelezo mengi ila ni kwamba imekuwa ni kawaida huyu mama yangu (mama Kulwa)kuagiza nyama kilo nyingi, nadhani akiweka kwenye friji, basi siku ya jumamosi mida ya saa nne alikuja huyu Binti akiwa kaongozana na mtu ninayemjua, ambaye ni mwalimu Sadick, sikushtuka wala kushangaa kuongozana kwao, japo mienendo yao kila mmoja angeweza kujua kama ni wapenzi.

Lakini cha kushangaza baada ya Mimi kumpa mzigo huyu binti, yule mwalimu aliomba ampokee, ndipo Binti akawa anakataa na Mimi nikashangaa kuona vile hata hivyo waliondoka na kupotea kwenye upeo wa macho yangu huku nikipata jibu kuwa huenda bado hawajawa wapenzi bado jamaa anabembeleza.
aliweka kituo muuza nyama.

Baaasi, baaaaasi baba, Wala hakuna haja ya kuendelea, Kila kitu kipo wazi kumbe yule kijana ni mshenzi eeeh, aliropoka mama Kulwa huku akitulizwa na wenzake kwamba asubiri mpaka mwisho.

Muuza nyama aliaga na kuondoka akiwa katoa maelezo yaliyomridhisha kila mmoja.

Mwalimu nadhani kila kitu umesikia na umeelewa, maana hapa tupo kwenye process za kufungua kesi kwasababu huyu kijana kanikosea sana hawezi kuja nyumbani kwangu bila heshima na kufanya mambo yake atakavyo. ulinisihi kwamba nisichukue maamuzi magumu bila ushahidi, nikaamua kumuita huyo kijana nadhani umeridhika siyo?
aliuliza Mzee Mgaya

Ni sahihi kabisa japo Mimi mwalimu Sadick, kaomba ruhusa kuwa anaumwa hakuniambia anaumwa nini, hata hivyo kwakuwa nilishasikia stori hizi kabla yenu kuwa anaonekana kaumizwa huku watu wakimlaumu kwa kujishushia heshima yake, Mimi nilimfuata nikamuuliza kiufupi kakataa katakata kuwa hajawahi kuja hapa zaidi ya siku moja ambayo aliwakuta nyie wote na aliondoka kwa amani.

Lakini hata hivyo kwa mujibu wa maelezo haya, nakubali kuwa huenda kweli alikuja hapa, lakini ombi langu ni kwamba kwakuwa hakuna madhara yeyote kwa Binti yetu, kwanini tusiyamalize haya mambo kiungwana kuliko kuyakuza na kupoteza muda , kwani haya yakifika mahakamani si mambo madogo haya ndugu yangu.
aliongea mwalimu mkuu akimuomba Mzee Mgaya alegeze kamba kidogo.

Hapana mwalimu, haiwezekani, tena Bora ujitoe tu kwenye haya mambo kwakuwa aliyefanya upuuzi huu siyo ndugu yako bali ni mfanyakazi mwenzio, Sasa acha sheria ichukue mkondo wake huyu ni mwanangu, hizi habari nimezipokea kwa uchungu sana, juu ya kuwa tulikosana na yeye akaja kuishi huku, lakini nitasimama kuhakikisha huyo baradhuli anapata alichokitafuta,
Huyu Rahma ana stori kubwa ambayo ni yeye na Mimi ndiyo tunaijua Sasa haiwezekani aendelee kunyanyasika kwa Dunia hii yeye kaikosea nini? Tausi aliongea kwa hisia kali, huku mama Kulwa akimsapoti kwa asilimia zote, kiufupi wanawake wote hawakuwa tayari lile jambo liishe juu kwa juu badala yake wao walitaka mkosaji ashitakiwe tu.
Nyumba iligeuka makelele watu wakawa hawasikilizani tena, ikabidi mzee Mgaya amtoe mwalimu na Samson akiwafuata kwa ukaribu.

Sasa ticha hapa maelewano ni madogo, mimi binafsi nimekuelewa nafahamu namna muda utakavyopotea kwenye hili suala nawaza tu, tungeonana na huyo kijana Kisha tumuonye Kisha maisha yaendelee. Sijafurahishwa na kitendo chake hata kidogo ila najua Mzee mwenzangu utajua unakaa vipi na walimu wako ili wapunguze dharau .kuhusu Hawa wanawake tuwaache kwanza hawawezi kukuelewa kwa lolote nadhani unawaona wapo kwenye hali gani.
aliweka kituo mzee Mgaya

Mzee mwenzangu, kwanza nikushukuru sana kwa kuweza kutazama mbali, bila shaka na mtuhumiwa anajua Nini kitatokea pindi hizi taarifa zitakapozagaa , walimu tunaonekana tuna mapungufu sana hasa sisi wanaume kutembea na wanafunzi, ni jambo linapigiwa kelele kila siku, vipi ikionekana mwalimu mzima uliyeaminiwa na umma unaenda kubaka, ni hatari sana nakuomba tulimalize hili jambo ndugu.
Mwalimu alisisitiza kana kwamba mtuhumiwa ni mwanaye wa kumzaa.

Kwa upande wa mawazo ya kitoto ya Samson yeye alikuwa upande wa wale wanawake, alipenda asikie yule mwalimu kafungwa jela moyo wake ungetulia, alimulaumu baba yake kimoyomoyo kuwa kwanini anataka kulirahisisha lile jambo. Hata hivyo hakujua kuwa hayo mambo hata yeye yangemkuta siku si nyingi na tabia yake ya kufa na kuoza kwa wanawake.

Mwalimu mkuu na Mzee Mgaya waliagana huku Mzee Mgaya akisubiri majibu mazuri toka kwa mwalimu kwani namna Mzee Mgaya alivyopenda hela alipanga kupiga hela kwenye Lile jambo, kufa si kufaana?unajua nini Samson wewe hujui maisha ya mjini nataka nikuoneshe jambo nitahakikisha mshahara wa miaka miwili yule dogo ananipa Mimi, hawezi kuikosea familia yangu halafu nimuache.

Sasa baba kwanini msimshitaki?
aliuliza Samson

Acha ujinga wewe unadhani tukifikishana huko Mimi nitapataje hela, hebu tulia. Wakarudi ndani

Mzee Mgaya hili jambo sikubali liishie hapa, naona umekaa kimya tu hufanyi maamuzi yeyote, na mmechukuana kwenda kuongelea nje una maana gani? alilaumu Tausi.

Sasa wewe unataka kufanyaje una ushahidi gani kuwa huyu mwalimu mnayemsema, kuwa alitaka kumbaka huyu, huo siyo ushahidi hata kidogo ujue nyinyi sheria bado hamuijui , huyu binti Wala Hana maelezo yanayojitosheleza, najua mnamtegemea yule muuza nyama kama anaweza kuwa msaada kwenye jambo hili, hapana Wala hajawa shahidi bado.

Kwa maelezo yake hapa yeye aliona watu wakisindikizana Hadi kupotea machoni mwake, kilichoendelea mbele hakuona , je unawezaje kusema atakuwa shahidi?
Mtuhumiwa ana uwezo wa kukataa tu na akaachiwa huru, sisi kama sisi tunataka apewe onyo tu hata akikataa bado atakaa akijua kuwa tushamuelewa. Mzee Mgaya aliongea kwa mamlaka huku wanawake wakishindwa wafanyaje, na Samson alishindwa kumuelewa Mzee Mgaya mbona kama anakaa upande wa mtuhumiwa

Nini kitajiri, sehemu ijayo Ina majibu

Happy Valentine day jamiiforum.

Itaendelea....................
 
Kazi nzuri Engineer niko mjini sema sehemu tupate mkojo wa shetani ikiwa huko free .
Yes ni kweli niko free, baada ya kutoka mkoani nilikokuwa hata hivyo Niko home tu Kuna kijihoma kinanisumbua , nadhani hali ya hewa natamani tungepiga vyombo pamoja ila niko likizo kidogo na hivi vitu

Kwasasa Nina muda wiki nzima hivyo stori itawekwa vipande viwili kila siku
 
SEHEMU YA HAMSINI NA NNE

Sura ya mke mdogo wa mzee Mgaya (Tausi)haikuwa na nuru hata kidogo, aliongea kwa kujilazimisha na hata ilipotokea jambo la kuchekesha alicheka kwa kujilazimisha tu.
Haikujulikana nini kinasababisha japo labda kitendo cha kuonekana yeye kashindwa kuishi na Rahma kilimfanya ahuzunike.

Baada ya utambulisho kupita, Mzee Mgaya aliendelea,.....
Ndugu zanguni bila shaka kilichotukutanisha hapa, tayari kila mmoja ameweza kufahamu kama nilivyoeleza tangu mwanzo kuwa siku mbili nyuma nikiwa natoka kwenye ukaguzi wa projects zangu, niliweza kukuta hali ya tofauti hapa nyumbani kwangu, ambapo binti tunayeishi naye alinusurika kufanyiwa kitendo cha kikatili kwa mujibu wa maelezo yake, na hata hivyo hatukuweza kukubali maelezo yake moja kwa moja bado Kuna hatua za uchunguzi tuliweza kuzifanya , kwa kuanzia kwa ndugu yetu ambaye ni muuza nyama maarufu hapa mtaani kwetu jambo zuri zaidi yeye yupo anaweza kutufafanulia. Mzee Mgaya aliweka kituo.

Naam, sina maelezo mengi ila ni kwamba imekuwa ni kawaida huyu mama yangu (mama Kulwa)kuagiza nyama kilo nyingi, nadhani akiweka kwenye friji, basi siku ya jumamosi mida ya saa nne alikuja huyu Binti akiwa kaongozana na mtu ninayemjua, ambaye ni mwalimu Sadick, sikushtuka wala kushangaa kuongozana kwao, japo mienendo yao kila mmoja angeweza kujua kama ni wapenzi.

Lakini cha kushangaza baada ya Mimi kumpa mzigo huyu binti, yule mwalimu aliomba ampokee, ndipo Binti akawa anakataa na Mimi nikashangaa kuona vile hata hivyo waliondoka na kupotea kwenye upeo wa macho yangu huku nikipata jibu kuwa huenda bado hawajawa wapenzi bado jamaa anabembeleza.
aliweka kituo muuza nyama.

Baaasi, baaaaasi baba, Wala hakuna haja ya kuendelea, Kila kitu kipo wazi kumbe yule kijana ni mshenzi eeeh, aliropoka mama Kulwa huku akitulizwa na wenzake kwamba asubiri mpaka mwisho.

Muuza nyama aliaga na kuondoka akiwa katoa maelezo yaliyomridhisha kila mmoja.

Mwalimu nadhani kila kitu umesikia na umeelewa, maana hapa tupo kwenye process za kufungua kesi kwasababu huyu kijana kanikosea sana hawezi kuja nyumbani kwangu bila heshima na kufanya mambo yake atakavyo. ulinisihi kwamba nisichukue maamuzi magumu bila ushahidi, nikaamua kumuita huyo kijana nadhani umeridhika siyo?
aliuliza Mzee Mgaya

Ni sahihi kabisa japo Mimi mwalimu Sadick, kaomba ruhusa kuwa anaumwa hakuniambia anaumwa nini, hata hivyo kwakuwa nilishasikia stori hizi kabla yenu kuwa anaonekana kaumizwa huku watu wakimlaumu kwa kujishushia heshima yake, Mimi nilimfuata nikamuuliza kiufupi kakataa katakata kuwa hajawahi kuja hapa zaidi ya siku moja ambayo aliwakuta nyie wote na aliondoka kwa amani.

Lakini hata hivyo kwa mujibu wa maelezo haya, nakubali kuwa huenda kweli alikuja hapa, lakini ombi langu ni kwamba kwakuwa hakuna madhara yeyote kwa Binti yetu, kwanini tusiyamalize haya mambo kiungwana kuliko kuyakuza na kupoteza muda , kwani haya yakifika mahakamani si mambo madogo haya ndugu yangu.
aliongea mwalimu mkuu akimuomba Mzee Mgaya alegeze kamba kidogo.

Hapana mwalimu, haiwezekani, tena Bora ujitoe tu kwenye haya mambo kwakuwa aliyefanya upuuzi huu siyo ndugu yako bali ni mfanyakazi mwenzio, Sasa acha sheria ichukue mkondo wake huyu ni mwanangu, hizi habari nimezipokea kwa uchungu sana, juu ya kuwa tulikosana na yeye akaja kuishi huku, lakini nitasimama kuhakikisha huyo baradhuli anapata alichokitafuta,
Huyu Rahma ana stori kubwa ambayo ni yeye na Mimi ndiyo tunaijua Sasa haiwezekani aendelee kunyanyasika kwa Dunia hii yeye kaikosea nini? Tausi aliongea kwa hisia kali, huku mama Kulwa akimsapoti kwa asilimia zote, kiufupi wanawake wote hawakuwa tayari lile jambo liishe juu kwa juu badala yake wao walitaka mkosaji ashitakiwe tu.
Nyumba iligeuka makelele watu wakawa hawasikilizani tena, ikabidi mzee Mgaya amtoe mwalimu na Samson akiwafuata kwa ukaribu.

Sasa ticha hapa maelewano ni madogo, mimi binafsi nimekuelewa nafahamu namna muda utakavyopotea kwenye hili suala nawaza tu, tungeonana na huyo kijana Kisha tumuonye Kisha maisha yaendelee. Sijafurahishwa na kitendo chake hata kidogo ila najua Mzee mwenzangu utajua unakaa vipi na walimu wako ili wapunguze dharau .kuhusu Hawa wanawake tuwaache kwanza hawawezi kukuelewa kwa lolote nadhani unawaona wapo kwenye hali gani.
aliweka kituo mzee Mgaya

Mzee mwenzangu, kwanza nikushukuru sana kwa kuweza kutazama mbali, bila shaka na mtuhumiwa anajua Nini kitatokea pindi hizi taarifa zitakapozagaa , walimu tunaonekana tuna mapungufu sana hasa sisi wanaume kutembea na wanafunzi, ni jambo linapigiwa kelele kila siku, vipi ikionekana mwalimu mzima uliyeaminiwa na umma unaenda kubaka, ni hatari sana nakuomba tulimalize hili jambo ndugu.
Mwalimu alisisitiza kana kwamba mtuhumiwa ni mwanaye wa kumzaa.

Kwa upande wa mawazo ya kitoto ya Samson yeye alikuwa upande wa wale wanawake, alipenda asikie yule mwalimu kafungwa jela moyo wake ungetulia, alimulaumu baba yake kimoyomoyo kuwa kwanini anataka kulirahisisha lile jambo. Hata hivyo hakujua kuwa hayo mambo hata yeye yangemkuta siku si nyingi na tabia yake ya kufa na kuoza kwa wanawake.

Mwalimu mkuu na Mzee Mgaya waliagana huku Mzee Mgaya akisubiri majibu mazuri toka kwa mwalimu kwani namna Mzee Mgaya alivyopenda hela alipanga kupiga hela kwenye Lile jambo, kufa si kufaana?unajua nini Samson wewe hujui maisha ya mjini nataka nikuoneshe jambo nitahakikisha mshahara wa miaka miwili yule dogo ananipa Mimi, hawezi kuikosea familia yangu halafu nimuache.

Sasa baba kwanini msimshitaki?
aliuliza Samson

Acha ujinga wewe unadhani tukifikishana huko Mimi nitapataje hela, hebu tulia. Wakarudi ndani

Mzee Mgaya hili jambo sikubali liishie hapa, naona umekaa kimya tu hufanyi maamuzi yeyote, na mmechukuana kwenda kuongelea nje una maana gani? alilaumu Tausi.

Sasa wewe unataka kufanyaje una ushahidi gani kuwa huyu mwalimu mnayemsema, kuwa alitaka kumbaka huyu, huo siyo ushahidi hata kidogo ujue nyinyi sheria bado hamuijui , huyu binti Wala Hana maelezo yanayojitosheleza, najua mnamtegemea yule muuza nyama kama anaweza kuwa msaada kwenye jambo hili, hapana Wala hajawa shahidi bado.

Kwa maelezo yake hapa yeye aliona watu wakisindikizana Hadi kupotea machoni mwake, kilichoendelea mbele hakuona , je unawezaje kusema atakuwa shahidi?
Mtuhumiwa ana uwezo wa kukataa tu na akaachiwa huru, sisi kama sisi tunataka apewe onyo tu hata akikataa bado atakaa akijua kuwa tushamuelewa. Mzee Mgaya aliongea kwa mamlaka huku wanawake wakishindwa wafanyaje, na Samson alishindwa kumuelewa Mzee Mgaya mbona kama anakaa upande wa mtuhumiwa

Nini kitajiri, sehemu ijayo Ina majibu

Happy Valentine day jamiiforum.

Itaendelea....................
Happy Valentines day too Eng. Jack Daniel
 
Yes ni kweli niko free, baada ya kutoka mkoani nilikokuwa hata hivyo Niko home tu Kuna kijihoma kinanisumbua , nadhani hali ya hewa natamani tungepiga vyombo pamoja ila niko likizo kidogo na hivi vitu

Kwasasa Nina muda wiki nzima hivyo stori itawekwa vipande viwili kila siku
Happy valentines Day Eng. Jack Jack Daniel, pole na kijihoma hongera kwa kupumzika kupiga vyombo
 
SEHEMU YA HAMSINI NA TANO

Tausi au mke mdogo wa mzee Mgaya aliwaaga mama Kulwa na wenzake huku akiwaomba Rahma aende naye kwa siku hiyo, akidai alimmisi siku nyingi, lakini Rahma alikataa na kudai kwa siku hiyo hajisikii kwenda mahali popote labda siku nyingine.

Mamdogo natambua mchango mkubwa wa familia yako tangu nikiwa na umri mdogo, lakini pia natambua mchango na msaada mkubwa ulionipa kwa kipindi kirefu sana, hata hivyo si kwamba nakataa kuja kwako ila kwa leo najisikia vibaya mamangu muda wote nikiwa sawa nitakuja tu. alisema Rahma na kuwafanya Mzee Mgaya na Tausi waangaliane wasiseme chochote.

Mzee Mgaya alimuita mama Kulwa nje lengo likiwa kumuazima gari, ili amsindikize Tausi, alifanya hivyo kwakuwa alimtambua mkewe alivyomropokaji, angeweza kujikuta ana dhalilika, baada ya muda fulani walirudi ndani Kisha Mzee Mgaya akawasha gari na kuondoka, huku wakibaki Cathy na mama Kulwa, Rahma pamoja na Samson.

Hivi shoga yangu hili suala unaliwekaje kwasababu kama Mzee anaanza kusita kwenye jambo hili wewe uaonaje, aliuliza Cathy.ambaye mwanzo alikuwa haongei, kwasababu huwa hapendwi na mzee Mgaya hivyo alijizuia kwakuwa angechangia chochote huenda angeshushuliwa, hata hivyo kwakuwa mmbea huwa hakomi akajikuta anakuja tu.

kama Mzee Mgaya yeye hatoshtaki ni yeye Mimi lazima nikafungue kesi si kwasababu ya Rahma ila ni kwasababu kaja kunifanyia fujo nyumbani kwangu yule kijana, haiwezekani nikakaa kimya kwa hili suala hapana kabisa. aliweka kituo mama Kulwa.

Sijui kama litawezekana mwenzangu kwasababu kama Mzee kapoa hivyo, anaonesha hajalichukulia uzito wa juu hivyo linaweza kukupa shida tu shoga yangu bora uachane nalo kwani hata ushahidi haujakamilika kama alivyodai mzee.aliweka kituo Cathy.

Lakini dada ushahidi haujakamilika vipi Mimi si nipo? Nitaeleza kila kitu.
Rahma alimuuliza Cathy.

Ni kweli mdogo wangu wewe unajua Kila kitu lakini anaweza kukukataa tu na kukuacha kwani sheria haziko hivyo na baadaye ana uwezo wa kukugeuka na kukufungulia kesi ya udhalilishaji nadhani hata Mzee Mgaya kaona hicho kitu ndiyo maana kashauri mambo haya tuachane nayo.

Baada ya Cathy kusema maneno yale kila mmoja aliendelea na mishe zake huku, Cathy mgeni na mmbea maarufu asiyependa kupitwa na chochote akiaga na kuondoka.

**********************************
Siku hiyo Samson hakuwa na stress yoyote, kwani kwa upande wa masomo yalienda vizuri hata maisha kiujumla pale nyumbani yalikuwa vizuri si kama zamani hivyo tamaa ya ngono ilimshika kwa siku hiyo,
alihisi Rahma kaja Duniani kwaajili yake na si mwingine na akajiona ana haki ya kufanya chochote japo kwa usiri.

Sasa Rahma vipi mwenzio nina hamu sana leo inakuwaje, alianza uchokozi Samson maana tangu Rahma ahamie pale hajawahi pata nafasi ya kufanya chochote kwani mazingira yalimbana Samson

Aaaaah weeeeeeee taratibu mama akikusikia huoni italeta shida, na baba atarudi siyo muda acha hizo bwana. Rahma alijibu ile sitaki nataka.

Wewe nini unaogopa, kwanza mama kaingia chumbani, na kule geti limefungwa, huyo Mzee akirudi si hadi afunguliwe? alihoji Samson Rahma akaishia kucheka na kuonesha yupo tayari kwani alimpenda sana Samson.

Unajua Sam shida iko wapi, ni chumba ninacholala mimi kuwa karibu sana na chumba anacholala mama Sasa sijui itakuwaje, unajua leo alinihamisha makusudi chumba cha huku, unadhani ana maana gani, aliweka kituo Rahma.

Ah mama naye kwanini kakuhamisha, na mmehama saa ngapi, aliuliza Samson.

Mmmmh asubuhi wewe ukiwa shule tumeamka tumefanya kazi ndogondogo Kisha baada ya breakfast akaniambia nisafishe kile chumba kuanzia leo nitalala huko, ila kile ni kizuri zaidi kina kitanda kizuri na kabati la nguo anadai lilikuwa cha nani sijui, alisema Rahma.

Ni dada Glory huyo, wewe humfahamu huwa anakuja hapa ndiyo kilikuwa chumba chake hicho, alijibu kiunyonge Sam huku akiwa hajapenda Rahma kuhamishwa kwani chumba cha mwanzo alikuwa ana uwezo wa kwenda kwa kunyata na kufanya mambo yake Kisha kurudi ndani kwake.

Hivi Sam dada grace ni yule dada mweupe aliyekuja na kudai wewe hakujui. aliuliza Rahma.

Hapana yule mweupe siyo wa hapa yule anamwita mama Kulwa mamkubwa yule familia yao ipo kijitonyama na yupo kwa wazazi wake, Dada Glory ni mweusi kama ulivyomuona kaka Jose na Glory yeye ni Daktari kama alivyokuwa Mama na kazi yake anafanyia Mwanza siyo hapa na hicho chumba ni chake yeye huwa analala pindi akiwa hapa Sasa namshangaa mama kukuweka kule. alilaumu Samson.

Ni kweli mle kabatini nimeona mna nguo pia, lakini Mimi sitampinga mama yeye ndiye kaniamuru.
alijibu Rahma.

Samson aliingia chumbani kwake huku akiwa kaboreka tayari, akachukua kitabu chake na kuendelea kujisomea, licha ya kujilazimisha lakini hata ungemuuliza anakisoma nini hangekujibu, mawazo ya ngono za kitoto yalichukua nafasi kubwa kichwani mwake giza liliingia na kukolea huku muda wa dinner Ukiwa umefika, wote walijumuika kwa pamoja huku Samson na Rahma wakiangaliana na kukonyezana kimahaba kila saa.

Hivi mama,
baba haji kula, maana naona kimya, aliuliza Rahma.

Watu wenye nyumba mbili utashindana nao mwanangu, kasema hali ameshiba, alijibu mama Kulwa.

Kwani Mzee kumbe karudi,
Mimi nikajua analala hukohuko maana ni nyumbani kwake pia. aliuliza Samson.

Aaa wapi, yaani alale na gari langu kwa Tausi, na nilimwambia kabisa kama unalala hukohuko tafadhali chombo changu kiache, na upande daladala, yeye gari lake ameuza halafu anategemea gari langu, kwanza Mimi mwenyewe nataka kule dukani nianze kuuza mwenyewe maana nahisi yule muuzaji ananipiga Sasa usafiri wangu ndiyo huu, kuanza kupokezana tena haitawezekana, aliongea Mama Kulwa huku wale vijana wake wakimsikiliza tu.

Samson alimshawishi Rahma, aende chumbani kwake lakini akakataa akidai chumba cha Samson ni kichafu, na hapa kulikuwa na ukweli maana Samson alijipenda kwa muonekano wa nje tu, lakini geto lake halikuvutia hata kidogo, ilikuwa ni kawaida kujifunika shuka mwezi mzima bila kulifua.

Wakakubaliana kwenda kule kwenye chumba kipya Cha Rahma,huku walikubaliana kuwa ataegesha tu mlango ili kumpa uwezo wa kuingia,
Kweli Samson alikaa chumbani kwake akizugazuga ili watu wote walale huku akifunua daftari hili Mara hili lakini hakuna kilichomwingia kichwani, usiku wa saa saba alinyata hadi mlangoni kwa Rahma, lakini alivyojaribu kuusukuma, ulionesha kufungwa kwa ndani kwani ulikaza sana, akahisi labda umebana zaidi akiongeza kasi utafunguka lakini ikawa ngumu, ikabidi agonge japo kwa tahadhari kubwa sana, Mara taa ikawashwa na Rahma kule ndani huku akisikia hatua zinazoonesha ni za mtu mwenye usingizi zikiburuzika kuja kufungua mlango , ile Rahma anafungua tu, na mlango wa mama Kulwa nao unafunguliwa yaani unaweza sema waliambizana kuwa wafungue kwa pamoja,

Enheee baba nini tena usiku huu, unatafuta nini huku? aliuliza mama Kulwa.

Vipi mke wangu kwani huyo ni Nani?
Sauti ya Mzee Mgaya nayo ilisikika kwa mbali huku akionesha anakuja.

Samson ameingia kwenye mtego aliotegwa muda mrefu bila kujua nini kitajiri sehemu ijayo ina majibu .

Itaendelea............... ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom