Mbobo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 1,395
- 1,822
Yani Mkuu umeamua kufanya nifikirie wimbo wa makabila pita uku.
Yani Mkuu umeamua kufanya nifikirie wimbo wa makabila pita uku.
Mkuu usijali subiri hii hii sikukuu ya mapinduzi iishe, Kila kitu kitakuwa poa . Kikubwa bando lako tu.
Daaaaah mkuu na leo kimyaMkuu usijali subiri hii hii sikukuu ya mapinduzi iishe, Kila kitu kitakuwa poa . Kikubwa bando lako tu.
Setup ya mwaka mpya nayo inanisonga utulivu hakuna, majukumu ni mengi mno. Tusameheane
Na subira ni muhimu pia.
Kaka huyo mtunzi ni Mfanyakazi tena ni Engineer na hiyo kazi yake ni ngumu na inachosha sana akipata nafasi ataweka kuwa na subira brother na kama unataka maarifa nenda kwa majukwaa ya Elimu, Biashara na Uchumi utapata mawazo ya kukukwamua hii story ukiisoma utaburudika tu na haiwezi kukuletea kitu kwenye maisha yako.Daaaaah mkuu na leo kimya
Shukrani Mkuu umepunguza arostoSEHEMU YA AROBAINI NA NNE
Ilikuwa ni siku ya jumamosi, wakati ambao Samson alikuwa nyumbani tu, akifanya kazi kwa bidii lengo ni kujiweka kwenye uaminifu ili mambo yasijekuwa kama zamani,alifagia na kuanza kukatakata maua fulani ambayo yalikuwa yashaanza kuzonga zonga ile fence.
Hujambo Samson,alisalimia mama Kulwa.
Sijambo mama, samahani naweza kupata ule mkasi ambao huwa mnautumua kupunguzia haya maua?
aliuliza Samson.
Ndiyo upo mwanangu, lakini njoo upate kifungua kinywa Kwanza Kisha utaendelea na kazi zako, alijibu Kwa ukarimu na upole mama Kulwa.
Samson kusikia vile alifurahi moyoni mwake huku, akiingia ndani na kukuta breakfast ya nguvu kabisa, huku baba yake Mzee Mgaya akiwa anamalizia kula.
Wakasalimiana Kisha Samson akaendelea kumimina chai yake.
Samson,
Wewe umechangia kwa kiasi kikubwa kutokea kwa malumbano kadhaa Kati ya mimi na wake zangu, huyu mama yako, najua unafahamu fika matatizo baina yako na yeye hadi kupelekea ukahamia kwa Tausi,
Sasa basi jitahidi ufuate yale maelekezo unayopewa ili uishi kwa amani, najua wazi mke wangu mama Kulwa hakupendi hata kidogo ila ni nguvu ya kaka yako Jose ndiyo imechangia wewe kurudi hapa.
Lakini pia mama yako mdogo Tausi hakupendi, hakupendi, Tena hakutaki ni Mimi tu ndiyo huwa namliwaza na kupunguza hasira zake vinginevyo angekutimua kama mbwa. alisema Mzee Mgaya huku akiinuka na kutoka nje akiwa haoneshi masikhara kwa anayoyasema.
Mmmmh huyu mzee sijui nimuiteje, mbona kama ayasemayo anayazua, nikimuita muongo nitakuwa namkosea adabu,
Ni kweli mamkubwa (Mama Kulwa) tulipishana sana kipindi Cha kwanza ila siku hizi kabadilika sana, anaonekana mwenye kujali na upendo usio wa kinafiki na kizuri zaidi, huyu mama ukionesha umemkosea anakuchana makavu huwa hana subira kabisa.
Na kuhusu Mzee Mgaya kusema Tausi ananichukiaaaaah,
ananichukaje? Huyu si nimetoka kum...... Wakati Samson yupo kwenye mawazo yale mama Kulwa aliingia.
Heeee mwanangu mbona umejiinamia tu, Mimi nikajua umeshamaliza kula, fanya haraka baba yako anakuita huko nje sijui Kuna Nini. aliongea mama Kulwa huku Samson akifakamia msosi kwa pupa, Kisha akatoka nje aliko Mzee Mgaya amsikilize anataka kumtuma Nini.
Unajua mwanangu hili gari linanisumbua sana, yaani halina nguvu kabisa, speed imepungua na pia inazimazima Kila wakati, yaani inanitia aibu we acha tu, Kuna siku imezima katikati ya barabara nikatukanwa matusi yote ya Duniani kutokana na foleni niliyosababisha.
aliongea Mzee Mgaya huku akionesha kuikatia tamaa gari yake.
Sasa Samson nenda store kachukue toolbox nzima ya spana nataka niangalie plugs zote, lakini pia pump nayo nitaicheck na vitu vingine. aliongea kwa Tambo Mzee Mgaya.
Baba jose hiyo kazi ya ufundi umeanza lini? Ujue hilo gari unazidi kuliua tu ni bora ukapeleka garage kuliko kutengeneza wewe, kwanza kwanini usibadilishe gari mume wangu, gari hili ni la kizamani mno, gari hili limekaa kikoloni sana bwana, aliongea kwa kumaanisha mama Kulwa
(Mzee Mgaya akaguna kwanza)
Yaani mke wangu tangu umiliki gari lako jipya Sasa unaona Kila kitu unakijua siyo, kwanza nikwambie tu kuwa sikupenda kitendo cha wewe kununua kifaa kikubwa kama hicho bila kunishirikisha , ni dharau kubwa sana ulionesha ila shukuru mwanao Jose niliongea naye, my son akanielewesha vitu vingi na kunikumbusha mambo mengi sana vingi nevyo ningeachana na wewe,
Eti ninunue gari, kwani nilikwambia Sina uwezo wa kumiliki Gari ? Mimi Nina mambo mengi sana, Kuna malengo sijatimiza , hata watoto wangu walioolewa huko, bado nawaona ni wenye maisha magumu, nahitaji kuwatengenezea mitaji ili waishi maisha mazuri zaidi
Nina Karakana yangu, bado Kuna vifaa vya kisasa zaidi sijanunua kwani biashara ile sipaswi kuifanya kizamani, lazima nifanye kwa kuendana na wakati, Sasa nikwambie acha kuiponda gari yangu , kwakuwa inarahisisha mambo yangu mengi ni poa tu, siwezi kushindana na watu wa hapa mjini wakati hujui mtu ana ukwasi kiasi gani maisha yenyewe ya kudunduliza tu haya, unadhani ningekuwa na hela hiyo hata huyu Samson mngegombana, ni umasikini tu huu . aliongea kwa uchungu Mzee Mgaya.
Baba Jose huwa nakushangaa sana, nimeuliza swali dogo, na nimeshauri jambo dogo tu, ilikuwa ni kiasi Cha kunijibu kwa kifupi tu lakini unaongeeeeeaaa sijui ili iweje. Mama Kulwa mke wa mzee Mgaya asiyependab kushindwa jambo lolote aliingia ndani kwa hasira akiwaacha Samson na mume wake wakihangaika na gari.
Halafu mwanangu Sam kuwa makini, ohooooh ukifanya masikhara jua lote litaishia hapo, ukijiona umechoka tu, pumzika.
Huyo namjua akianza kazi zake kama mtumwa hata kula hali, asivyosikia njaa yeye anadhani na wenzake ni hivyo hivyo ohooo. alisisitiza Mama Kulwa.
Wee huyo achana naye anajifanya ana huruma na wewe, lakini nadhani unamfahamu, hapa anajifanya mwema kwakuwa ananiponda Mimi, Sasa ipo siku tu, utakumbuka maneno yangu, jambo zuri zaidi unamfahamu si mgeni kwako.
alizidi kutahadharisha Mzee Mgaya.
Samson na Mzee Mgaya waliendelea na kuifungua injini ya gari Kila walipohisi huenda ndipo kwenye tatizo, lakini Hadi inafikia muda wa saa nzima Mzee Mgaya hakuwa amegundua tatizo , achilia mbali Samson ambaye yeye hakujua kitu chochote.
Mama Kulwa alikuja kwa Mara nyingine huku akitikisa kichwa kwa masikitiko akionesha Hana Imani na ufundi wa mzee Mgaya,
Baba Jose, Kuna jambo kila mara nasahau kukwambia, ni kuhusu dada wa kazi, tangu aondoke hapa yule wa kwanza hatukulijadili hili, lakini pia Mimi muda mwingi nipo kwenye biashara zangu, Samson anakuwa shule, enheee na wewe ndiyo hivyo tena makazi mengi, hivyo tunamuhitaji dada wa kazi Kuna vitu vinanielemea. aliweka kituo mama Kulwa.
Miaka yote wamepita wasaidizi kadhaa hapa, je ni lini niliwahi kumtafuta dada wa kazi Mimi, si huwa unawatafuta, mwenyewe wewe vipi bwana. Mzee Mgaya alijibu kiukali kiasi Cha hata Samson kushangaa mbona Mzee wake ana kuwa mkali kwenye vitu vidogo.
Mimi najua kinachokufanya uwe mkali, sijakwambia umtafute huyo mtu Bali nakwambia ili ukimuona mtu mgeni, usimshangae, Sasa ukali wa Nini umelitibua gari, linakushinda halafu unaleta hasira kwa wengine, we vipi bwana. mama Kulwa aliongea kwa kujiamini.
Wakati wanaendelea kubishana geti liligongwa, Samson akaenda kufungua mlango mdogo akakutana na Rahma, akiwa na uso uliosawajika sana.
Wewe Binti vipi mbona kama unalia Kuna Nini , na vipi na Hilo begi wapi tena? aliuliza maswali bila hata salamu.
Mama mdogo Tausi kanifukuza kasema hataki kuniona, hivyo Sina pa kwenda nimeamua kuja huku, maana Sina ndugu mwingine hapa mjini. alijieleza Kwa kifupi Rahma.
Hivi Tausi utoto sijui ataacha lini, na kama Kuna kosa huyu Binti kafanya, ameshindwa kunalizana naye? unamfukuza Binti , mtoto wa kike akikutana na wahaharamu wakamfanyia vitu visivyostahili? haoni kama yeye atakuwa ndiye chanzo. aliongea Mzee Mgaya huku akimwangalia mama Kulwa.
Mwanangu lete Hilo begi pia karibu ndani twende ukanieleze, mwanamke mwenzio ni nini, kimefanya mdogo wangu Tausi akufukuze. aliongea mama Kulwa huku wakiingia ndani.
Samson Elias Mgaya kama alivyojulikana, kengele za hatari zililia, alijaribu kuvuta picha akajua chanzo Cha ugomvi wa Rahma na mama yake Tausi ni Nini.
Moyo ulianza kumuenda mbio, furaha ilipotea ghafla.
Hadi kufikia kufukuzana, inaonekana Rahma kasema ukweli fulani, vipi kama ukijulikana kwa mzee Mgaya, itakuwaje? alijiuliza Samson.
Samson kijana aliyetokea familia masikini, ambaye anasomeshwa na baba yake mkubwa , hatimaye anajikuta anachanganya mapenzi na masomo, je itakuwaje?
Usikose sehemu inayofuata.
Itaendelea........................
... tuleteee vitu Jack DanielSEHEMU YA AROBAINI NA NNE
Ilikuwa ni siku ya jumamosi, wakati ambao Samson alikuwa nyumbani tu, akifanya kazi kwa bidii lengo ni kujiweka kwenye uaminifu ili mambo yasijekuwa kama zamani,alifagia na kuanza kukatakata maua fulani ambayo yalikuwa yashaanza kuzonga zonga ile fence.
Hujambo Samson,alisalimia mama Kulwa.
Sijambo mama, samahani naweza kupata ule mkasi ambao huwa mnautumua kupunguzia haya maua?
aliuliza Samson.
Ndiyo upo mwanangu, lakini njoo upate kifungua kinywa Kwanza Kisha utaendelea na kazi zako, alijibu Kwa ukarimu na upole mama Kulwa.
Samson kusikia vile alifurahi moyoni mwake huku, akiingia ndani na kukuta breakfast ya nguvu kabisa, huku baba yake Mzee Mgaya akiwa anamalizia kula.
Wakasalimiana Kisha Samson akaendelea kumimina chai yake.
Samson,
Wewe umechangia kwa kiasi kikubwa kutokea kwa malumbano kadhaa Kati ya mimi na wake zangu, huyu mama yako, najua unafahamu fika matatizo baina yako na yeye hadi kupelekea ukahamia kwa Tausi,
Sasa basi jitahidi ufuate yale maelekezo unayopewa ili uishi kwa amani, najua wazi mke wangu mama Kulwa hakupendi hata kidogo ila ni nguvu ya kaka yako Jose ndiyo imechangia wewe kurudi hapa.
Lakini pia mama yako mdogo Tausi hakupendi, hakupendi, Tena hakutaki ni Mimi tu ndiyo huwa namliwaza na kupunguza hasira zake vinginevyo angekutimua kama mbwa. alisema Mzee Mgaya huku akiinuka na kutoka nje akiwa haoneshi masikhara kwa anayoyasema.
Mmmmh huyu mzee sijui nimuiteje, mbona kama ayasemayo anayazua, nikimuita muongo nitakuwa namkosea adabu,
Ni kweli mamkubwa (Mama Kulwa) tulipishana sana kipindi Cha kwanza ila siku hizi kabadilika sana, anaonekana mwenye kujali na upendo usio wa kinafiki na kizuri zaidi, huyu mama ukionesha umemkosea anakuchana makavu huwa hana subira kabisa.
Na kuhusu Mzee Mgaya kusema Tausi ananichukiaaaaah,
ananichukaje? Huyu si nimetoka kum...... Wakati Samson yupo kwenye mawazo yale mama Kulwa aliingia.
Heeee mwanangu mbona umejiinamia tu, Mimi nikajua umeshamaliza kula, fanya haraka baba yako anakuita huko nje sijui Kuna Nini. aliongea mama Kulwa huku Samson akifakamia msosi kwa pupa, Kisha akatoka nje aliko Mzee Mgaya amsikilize anataka kumtuma Nini.
Unajua mwanangu hili gari linanisumbua sana, yaani halina nguvu kabisa, speed imepungua na pia inazimazima Kila wakati, yaani inanitia aibu we acha tu, Kuna siku imezima katikati ya barabara nikatukanwa matusi yote ya Duniani kutokana na foleni niliyosababisha.
aliongea Mzee Mgaya huku akionesha kuikatia tamaa gari yake.
Sasa Samson nenda store kachukue toolbox nzima ya spana nataka niangalie plugs zote, lakini pia pump nayo nitaicheck na vitu vingine. aliongea kwa Tambo Mzee Mgaya.
Baba jose hiyo kazi ya ufundi umeanza lini? Ujue hilo gari unazidi kuliua tu ni bora ukapeleka garage kuliko kutengeneza wewe, kwanza kwanini usibadilishe gari mume wangu, gari hili ni la kizamani mno, gari hili limekaa kikoloni sana bwana, aliongea kwa kumaanisha mama Kulwa
(Mzee Mgaya akaguna kwanza)
Yaani mke wangu tangu umiliki gari lako jipya Sasa unaona Kila kitu unakijua siyo, kwanza nikwambie tu kuwa sikupenda kitendo cha wewe kununua kifaa kikubwa kama hicho bila kunishirikisha , ni dharau kubwa sana ulionesha ila shukuru mwanao Jose niliongea naye, my son akanielewesha vitu vingi na kunikumbusha mambo mengi sana vingi nevyo ningeachana na wewe,
Eti ninunue gari, kwani nilikwambia Sina uwezo wa kumiliki Gari ? Mimi Nina mambo mengi sana, Kuna malengo sijatimiza , hata watoto wangu walioolewa huko, bado nawaona ni wenye maisha magumu, nahitaji kuwatengenezea mitaji ili waishi maisha mazuri zaidi
Nina Karakana yangu, bado Kuna vifaa vya kisasa zaidi sijanunua kwani biashara ile sipaswi kuifanya kizamani, lazima nifanye kwa kuendana na wakati, Sasa nikwambie acha kuiponda gari yangu , kwakuwa inarahisisha mambo yangu mengi ni poa tu, siwezi kushindana na watu wa hapa mjini wakati hujui mtu ana ukwasi kiasi gani maisha yenyewe ya kudunduliza tu haya, unadhani ningekuwa na hela hiyo hata huyu Samson mngegombana, ni umasikini tu huu . aliongea kwa uchungu Mzee Mgaya.
Baba Jose huwa nakushangaa sana, nimeuliza swali dogo, na nimeshauri jambo dogo tu, ilikuwa ni kiasi Cha kunijibu kwa kifupi tu lakini unaongeeeeeaaa sijui ili iweje. Mama Kulwa mke wa mzee Mgaya asiyependab kushindwa jambo lolote aliingia ndani kwa hasira akiwaacha Samson na mume wake wakihangaika na gari.
Halafu mwanangu Sam kuwa makini, ohooooh ukifanya masikhara jua lote litaishia hapo, ukijiona umechoka tu, pumzika.
Huyo namjua akianza kazi zake kama mtumwa hata kula hali, asivyosikia njaa yeye anadhani na wenzake ni hivyo hivyo ohooo. alisisitiza Mama Kulwa.
Wee huyo achana naye anajifanya ana huruma na wewe, lakini nadhani unamfahamu, hapa anajifanya mwema kwakuwa ananiponda Mimi, Sasa ipo siku tu, utakumbuka maneno yangu, jambo zuri zaidi unamfahamu si mgeni kwako.
alizidi kutahadharisha Mzee Mgaya.
Samson na Mzee Mgaya waliendelea na kuifungua injini ya gari Kila walipohisi huenda ndipo kwenye tatizo, lakini Hadi inafikia muda wa saa nzima Mzee Mgaya hakuwa amegundua tatizo , achilia mbali Samson ambaye yeye hakujua kitu chochote.
Mama Kulwa alikuja kwa Mara nyingine huku akitikisa kichwa kwa masikitiko akionesha Hana Imani na ufundi wa mzee Mgaya,
Baba Jose, Kuna jambo kila mara nasahau kukwambia, ni kuhusu dada wa kazi, tangu aondoke hapa yule wa kwanza hatukulijadili hili, lakini pia Mimi muda mwingi nipo kwenye biashara zangu, Samson anakuwa shule, enheee na wewe ndiyo hivyo tena makazi mengi, hivyo tunamuhitaji dada wa kazi Kuna vitu vinanielemea. aliweka kituo mama Kulwa.
Miaka yote wamepita wasaidizi kadhaa hapa, je ni lini niliwahi kumtafuta dada wa kazi Mimi, si huwa unawatafuta, mwenyewe wewe vipi bwana. Mzee Mgaya alijibu kiukali kiasi Cha hata Samson kushangaa mbona Mzee wake ana kuwa mkali kwenye vitu vidogo.
Mimi najua kinachokufanya uwe mkali, sijakwambia umtafute huyo mtu Bali nakwambia ili ukimuona mtu mgeni, usimshangae, Sasa ukali wa Nini umelitibua gari, linakushinda halafu unaleta hasira kwa wengine, we vipi bwana. mama Kulwa aliongea kwa kujiamini.
Wakati wanaendelea kubishana geti liligongwa, Samson akaenda kufungua mlango mdogo akakutana na Rahma, akiwa na uso uliosawajika sana.
Wewe Binti vipi mbona kama unalia Kuna Nini , na vipi na Hilo begi wapi tena? aliuliza maswali bila hata salamu.
Mama mdogo Tausi kanifukuza kasema hataki kuniona, hivyo Sina pa kwenda nimeamua kuja huku, maana Sina ndugu mwingine hapa mjini. alijieleza Kwa kifupi Rahma.
Hivi Tausi utoto sijui ataacha lini, na kama Kuna kosa huyu Binti kafanya, ameshindwa kunalizana naye? unamfukuza Binti , mtoto wa kike akikutana na wahaharamu wakamfanyia vitu visivyostahili? haoni kama yeye atakuwa ndiye chanzo. aliongea Mzee Mgaya huku akimwangalia mama Kulwa.
Mwanangu lete Hilo begi pia karibu ndani twende ukanieleze, mwanamke mwenzio ni nini, kimefanya mdogo wangu Tausi akufukuze. aliongea mama Kulwa huku wakiingia ndani.
Samson Elias Mgaya kama alivyojulikana, kengele za hatari zililia, alijaribu kuvuta picha akajua chanzo Cha ugomvi wa Rahma na mama yake Tausi ni Nini.
Moyo ulianza kumuenda mbio, furaha ilipotea ghafla.
Hadi kufikia kufukuzana, inaonekana Rahma kasema ukweli fulani, vipi kama ukijulikana kwa mzee Mgaya, itakuwaje? alijiuliza Samson.
Samson kijana aliyetokea familia masikini, ambaye anasomeshwa na baba yake mkubwa , hatimaye anajikuta anachanganya mapenzi na masomo, je itakuwaje?
Usikose sehemu inayofuata.
Itaendelea........................
Usijali Engineer piga kazi.Tusameheane wakuu kwa kutoileta mzigo kwa wakati
nipo busy sana, na wasaa naopata kuandika ni pale nikiwa ofisini kwangu, ndiyo napata muda.
Hata Kwa hiki tunashukur japo kuna wakati ka alosto kanatutesa kwelTusameheane wakuu kwa kutoileta mzigo kwa wakati
nipo busy sana, na wasaa naopata kuandika ni pale nikiwa ofisini kwangu, ndiyo napata muda.
Isije kuwa umughaka mwingineHii story naielewa sana, Mkuu Jack Daniel ukipata Muda tukumbuke.
Naitwa Jack Daniel Sina I'd nyingine zaidi ya hii, naomba nieleweke hivyoIsije kuwa umughaka mwingine
.
Mkuu Jack Daniel unatuacha na arosto mkuu tunataka kujua jinsi Samson anavyoendelea kuchakata mbususu ya Tausi na Rahma na nahisi anaweza akamla hata mke mkubwa wa mzee MgayaNaitwa Jack Daniel Sina I'd nyingine zaidi ya hii, naomba nieleweke hivyo