SEHEMU YA THELATHINI NA SABA
Baada ya mzee Mgaya kupishana na mama Kulwa, aliamua kuepusha Shari, akatoka nje, wakaingia ndani ya gari na kutokomea safari hii ikiwa wanarudi kwa Tausi, wakiwa njiani Mzee Mgaya alikuwa akiongea mambo mengi ambayo Samson hakuyaelewa.
Hatimaye wakafika nyumbani kwao na kukuta wametembelewa na wageni ambao sura na nyadhifa zao alizitambua,
Karibuni sana ndugu zanguni, nilitoka kidogo weekend hii kwaajili ya kukagua miradi fulani,hivyo samahani kwa usumbufu ambao utakuwa umejitokeza, aliongea kwa tahadhari Mzee Mgaya huku akijichekesha kirafiki.
Usijali hatuna muda mrefu toka tuingie hapa, hivyo ondoa shaka, lakini bila kupoteza muda, tunakuhitaji kituoni kwa mahojiano.
Aliongea mmoja wa wale jamaa wawili huku wakimtaka ainuke.
Jamani ndugu zanguni Kuna jambo gani tena, nakuombeni kama Kuna lolote ambalo nimefanya mniambie, mimi nitaongea na nyinyi Kila kitu kitakaa sawa, siwezi kwenda kituoni bila kujua naitiwa na nini au Nina kosa gani. alihoji mzee Mgaya
Wale maaskari waliovaa kiraia waliangaliana kisha wakatabasamu, na kumwambia Mzee Mgaya awafuate waongelee ndani ya gari lake, lakini baada ya kama dakika tatu walitoka ndani ya gari na kuanza kumsukuma Mzee Mgaya huku wakitukana matusi makubwa sana, waliingia naye kwenye gari lao na kuondoka naye.
Tausi, Samson pamoja na Rahma walilisindikiza gari kwa macho huku Kila mmoja moyo ukimuenda mbio, hakuna aliyejua Mzee Mgaya anakosa gani, Tausi alingia ndani akachukua mkoba wake akaingia kwenye gari la mzee Mgaya huku macho yakiwa yamebadilika.
Jamani wanangu hii familia imeshaingiwa na mkosi fulani,haiwezekani matatizo yawe hayaishi tu, kila siku sisi tu, likitoka hili linaingia hili, Sasa mimi natoka ili nibahatishe kituo gani kapelekwa mr, na nyie kuweni makini sana.
aliongea Tausi huku akiliondoa gari kwa spidi.
Samson alirudi ndani akaingia chumbani kwake huku akiwa mnyonge sana, alijaribu kuhesabu baadhi ya mitihani anayokumbana nayo baba yake akajikuta anaogopa maana hakufahamu Nini kinasababisha yote yale.
Wakati akiwaza yale aliisikia sauti ya Mzee Mgaya ikizungumza sebuleni, akakurupuka pale kitandani na kutoka nje.
Pole sana baba, kwani ilikuwaje na wale wanataka nini, maana yanayoendelea hakika tumehuzunika sana, aliongea kwa hisia Samson.
Wala usijali mwanangu wale ni wahuni tu, njaa ndogo ndogo zinawasumbua , vipi mama yenu yuko wapi. Aliuliza Mzee Mgaya
Ulivyotoka naye alitoka akawa anakufuatilia, alijibu Kwa kifupi Rahma.
Huyu naye hata hajapona sawasawa namuona kabisa tukio la kuibiwa lilivyomtesa kisaikolojia, Sasa kuanza kuendesha gari kwenye barabara zenye harakati nyingi, anaweza kuleta maafa mengine. alilaumu mzee Mgaya.
Mida ya jioni sana Tausi alirudi huku akishangaa kumkuta Mzee Mgaya alimkimbilia na kumkumbatia huku akitoa machozi ambayo hayakujulikana ni ya furaha kumuona mumewe au ni ya huzuni,
My husband hii hapana, nasema si kweli Kuna shida kwenye upande wako, tunajua ndiyo matatizo ni sehemu ya maisha, lakini kwanini kwenye familia yako mambo yaongozane? Kwanini yafuatane baba? lazima tufanye kitu, lazima tufanye jambo mume wangu, najaribu kuvuta picha nakuta mambo yanaenda kuharibika.
Kwanza niambie imekuaje huko walikokupeleka, wamekwambia una kosa gani? maana kwa udhalilishaji waliokufanyia ama kweli Dunia haina utu mume wangu . aliuliza Tausi huku safari hii akiwa analia kabisa.
Wale wameniambia kuwa Kuna vitisho nimetoa, hivyo nahatarisha maisha ya watu, wakidai Kuna familia inaishi kwa hofu kwasababu yangu, lakini Kila nikiwauliza ni nani ambaye, nilimtishia hawaniambii, hivyo wakaniambia kuwa ili wasinipeleke kituoni niwape hela, nikawakatalia ndiyo maana mmeona wamenitoa mkukumkuku , hata hivyo hatukufika mbali, wakaniacha wakinambia wakinihitaji watanitafuta.
Aliongea mzee Mgaya huku akicheka kivivu.
Una uhakika ni maaskari kweli, kirahisi hivyo wakuachie my husband pengine ni matapeli tu,. alihoji Tausi
Mmoja namfahamu vyema sana wamesoma pamoja na mwanangu Jose ila yeye akafeli akaangukia huku, na nimeshangaa kunikosea adabu kiasi kile, lakini usijali mke wangu wale nitajua cha kufanya hawawezi kunidhalilisha kiasi hicho mimi.aliongea kwa masikitiko Mzee Mgaya.
Hapana mume wangu kabla hujafanya chochote lazima twende kwanza nyumbani Tanga, nadhani kile Kijiji unakikumbuka vizuri, kwanini tusiende kujiuliza? alishauri Tausi
Ahaaa yes, siyo mbaya nakumbuka, kwanini yule kijana bado yupo, maana kitu alichonifanyia hakika niliamini hii Dunia Ina watu wa kweli, mtoto anajua sana anachokifanya , wakati nafungua Karakana yangu nilikutana na upinzani mkubwa sana hadi nilifikia kutaka kuuza tu zile mashine lakini baada ya wewe kunipeleka, kila kitu kilifunguka mapema mno , wateja walijazana hadi ikawa kero.
alijibu mzee Mgaya akimsapoti Tausi.
Ndiyo hapo sasa, kama ni hatua tuchukue hakuna kujiuliza tena, vinginevyo tunaweza kukaribisha msiba mkubwa ndani ohooo, Sasa tupange ni lini twende. aliuliza Tausi
Hakuna cha lini, hapa naipeleka gari service wakacheki mifumo yote, na safari ni kesho, kwanza nikushukuru kwa kunizindua hili wala sikufikiria kabisa, wewe mke wangu jiandae tu, aliongea mzee Mgaya huku akiinuka na kuelekea kwenye gari lake.
Samson alibaki akiwaangalia na kusikiliza maoni na mashauriano yao akagundua kuwa wanaenda kwa mganga wa kienyeji, laiti angejua angeanza kumuomba MUNGU mapema.
Alfajiri wakati adhana yenye kuwakumbusha waislamu kwenda kuswali ikilia tayari Mzee Mgaya na Tausi walikuwa wanafunguliwa geti na Samson tayari kwa safari.
Kwakuwa siku hiyo ilikuwa ni jumapili Samson aliandaa vifaa vyake, pamoja na kunyoosha nguo zake kwa maandalizi ya kesho, huku akiwaza kutumia ile nafasi ambayo huwa anakosa kumshawishi Rahma afanye naye mapenzi.
Wakati akiwa kwenye hayo mawazo ya hovyo, aliitwa na Rahma,
Vipi mbona upo bize sana huko ndani, unafanya nini, au umemfungia mrembo nini mwenzangu, aliongea Rahma huku akicheka kiasi Cha kuonesha meno yake mazuri,
Nimekuita ili twende wote sokoni sawa, aliongea Rahma kwa sauti tamu ya kudeka.
Hapa Samson alijikuta anasisimka kushinda maelezo wakatoka huku, wakipiga stori za hapa na pale,
Wakiwa njiani Samson alishangaa kuona Rahma akipigiwa miluzi Kila saa na wengine kumfuata na kutaka awasikilize shida zao, watu wazima kwa vijana walimsumbua sana.
Kitendo kile kilimkera sana Samson,
Wivu ulimjaa huku hisia fulani za hasira zikija lakini hakuwa na uwezo wa kuwaambia chochote wahuni wa mtaani, walirudi nyumbani wakaanza kusaidiana kuandaa Chakula Cha mchana.
Hivi Rahma mbona watu wengi wanakusumbua vile, kwanini usiwe unawatukana uwakomeshe, yaani huoni kama wanakusumbua sana weee njia nzima, si wakati wa kwenda si kurudi usumbufu tu vipi?
aliuliza Samson huku wivu ukimsumbua.
Wewe acha tu, tena si afadhali leo walikuwa na heshima, Kuna siku nyingine Kuna watu wananisindikizaga hadi getini hapo ujue, tena kuna muuza nyama yule mbaba wa pale buchani, kila siku ananisumbua, nimemuhama kwaajili ya kero zake, ni zaidi ya Mara tatu ananipa nyama bure Tena yule huwa hatanii ananitaka kweli. aliongea Rahma asijue anazidi kumuumiza zaidi Samson.
Samson alikasirika sana kusikia Kuna watu huwa wanafika Hadi getini, alitamani amuone mtu akisogea Kisha amtukane maana alimpenda sana Rahma.
***************************************
Kama kawaida kwakuwa wazazi wao walisema hawatorudi, Rahma alitaka Samson alale kwake,
Samson akakubali huku akipanga kutofanya makosa tena kama mwanzo,
Samson alikaa sebuleni akiwa anatizama TV, lakini hakuwa anaona Wala kuelewa chochote mawazo yake yote yalikuwa kwa Rahma mwanamke anayemtesa sana moyo wake, baadaye Rahma alitoka bafuni akiwa kajifunga kijitaulo kifupi huku umbo lake zuri likionekana vyema zaidi, Samson alijikuta anamfuata Rahma kwa tamaa.
Vipi wewe Mimi nataka nibadilishe nguo zangu kwanza kisha nitakuita , aliongea Rahma kwa ukali. Samson hakujali azima yake ilikuwa pale pale alijipa matumaini kuwa lazima afanikishe hata kwa kutumia nguvu.
Baada ya dakika fulani aliitwa akaingia akakuta leo Kuna mashuka mengine mazuri na yenye kuvutia zaidi akajilaza kitandani akimwangalia Rahma kwa wizi ambapo alikuwa anafunga kitambaa kichwani.
Sasa vipi tena unafunga kitambaa kichwani, aliuliza Samson.
Mwenzangu mi nalinda nywele zangu lakini pia ni kawaida yangu kulala nikiwa hivi, alijibu Rahma huku akiwa kavaa suruali na kupanda kitandani akiwa analala kimchongoma yaani miguu ya samson ilipo yeye akaweka kichwa.
Sasa unalalaje hivyo, njoo uku basi, Samson alilaumu huku akishangaa mambo yenyewe yanavyozidi kuwa magumu
Wee unatakaje, si ndiyo tunalala au, sipendi ukorofi kama unanipangia basi kalale kwako bwana , aliongea kwa kudeka Rahma kiasi Cha Samson kushindwa kujua, huyu hataki au anataka?
Muda fulani Rahma alionekana kupitiwa na usingizi, wakati huo Samson akiwa macho na Kila kiungo chake cha mwili kilifanya kazi kwa kiwango kikubwa, aligeukia upande alipo Rahma akaanza kumpunguza nguo huku akifanya kwa umakini mkubwa ili asije kumshtua na zoezi likawa gumu.
Hatimaye Rahma akawa kama alivyozaliwa huku, alijigeuza geuza kama mtu anayeota ndoto mbaya,
Samson akiwa na joto la mwili ambalo lilivuka kiwango, huku moyo ukimdunda dunda na pia ugeni nao ulichangia akose kujiamini, akaanza taratibu kuchanua mapaja ya Rahma huku akiwa na tahadhari kama mwizi aliye juu ya fence ili asitue chini kwa nguvu.
Hatimaye akafanikiwa huku Rahma akiwa anaonesha ana usingizi mzito, na miguu ikiwa imechanuka kama nyuzi tisini hivi Samson akaona panatosha kabisa kufanya vitu vyake,
Alihangaika sana kuweza kutumbukiza mpira kunako wavuni, alikumbuka zile picha ambazo huwa anaangalia akaona mbona mambo huwa ni marahisi Sasa yeye anakwama wapi,? Aliwaza kuforce kwa nguvu, lakini akaogopa asimwamshe muhusika na zoezi likaishia hapo.
Zaidi ya saa nzima alikuwa hajafanikisha akaanza kupata hasira fulani, huku akigundua yale mambo si mepesi kama alivyotarajia, wakati akiendelea na mashambulizi ili mradi bastola iue mnyama licha ya shabaha zake mbovu, Rahma aliamka huku akijishangaa,
Wee Sam kwanini umenivua nguo zangu, aliuliza kwa sauti yenye usingizi, Sam akaona nikifanya masikhara nitakosa ikabidi amkandamize kwa kumlaza tena chali kwa nguvu, Rahma alijaribu kufurukuta lakini alizidiwa nguvu, akijaribu kubana miguu ilishindikana kwa Samson alikuwa yupo Kati ya miguu iliyochanuliwa, Rahma akaanza kulia akiwa kakata tamaa Samson akaanza kuforce kwa nguvu maana hakukuwa na sababu ya kuvizia tena kama muhusika kashaamka.
Utaniumiza Sam hebu tulia kwanza, akaishika maiki ya Samson huku akiielekeza sehemu husika Samson alifurahi kuona vile maana anavyoshikwa alidhani labda anataka kuumizwa, alishangaa kuona Rahma akizungusha kiuno , huku yeye akiwa kaganda tu, Rahma msichana mkubwa zaidi kiumri kwa Samson alianza kumnyanyua Sam na kumrudisha chini baada ya kugundua Sam ni mgeni wa kutumia pistol,
Sam naye akaanza kupumb huku akisikia raha zisizoelezeka lakini alishangaa zile raha zikizidi zaidi ya mwanzo tena huku akihisi mwili si wake baadaye akagundua ile hamu imepotea ghafla, na hata pistol yake kama inalegea. Hakujua Cha kufanya
Akasukumwa na Rahma huku akisonywa, loh fujo tu kumbe mtu mwenyewe mgeni wa Jiji nimekuona tangu mwanzo ukihangaika mwenye ulijua nimelala, hebu inuka usichafue mashuka bwana na pia nipeleke chooni Samson akiwa na aibu huku akishangaa kwani ule utamu uishie karibu akainuka wakaingia maliwato kwa zamu, kisha wakarudi kulala, Sam akashangaa pistol yake hiyo tena inataka kuua , safari hii hakupata tabu alivyomgeuza tu Rahma alipewa ushirikiano akaanza tena huku safari akiwa mchezaji underdog maana Rahma alikuwa mwalimu, lecture wa nguvu na safari Sam alidumu hata ule utamu na spidi kuongezeka alijua Nini kinatokea alijaribu kujizuia lakini ilishindikana risasi zikatika bila trigger kufyatuliwa na yeye.
Alienjoy akajikuta kujiamini kumeongezeka wakalala kawaida wakiwa wamekumbatiana, usingizi mzito ulimpitia Sam kiasi cha kujikuta anaamka jua limechomoza na Rahma hayupo, alitoka nje na kumkuta Rahma yupo anafanya usafi .
Mbona hujaniamsha hujui Leo ni jumatatu natakiwa kwenda shule, aliuliza Samson.
Weeeee acha ujinga, sikuzote nakuamshaga Mimi, alijibu Rahma huku akiwa hataki ukaribu Wala mazoea na Samson,
Dah muda huu nianze kuoga, nianze kutafuta Daladala na foleni ya jumatatu, shule siendi, alijisemea samson kwa sauti.
Rahma aligeuka akimwangalia Sam Kisha macho yaligongana wote wakatabasamu, siku hiyo walishinda wote huku Rahma akiwa anamkwepa kwepa Sam hakutaka mazoea naye, labda ni aibu fulani. Sam hakujali yeye alifurahi kuona katimiza lengo lake.
***************************************
Mida ya saa nane mchana mzee Mgaya na Tausi walingiia, huku wakipokelewa vizuri,
Wewe vipi mbona si kawaida muda huu kuwa hapa, hujaenda shule? aliuliza Mzee Mgaya
Samson akaitikia kwa kutikisa kichwa.
Mzee Mgaya alianza kumporomoshea matusi Samson, na hata Tausi ambaye huwa anakuwa mtetezi kwa Samson akawa mbogo na yeye,
Samson aliwatazama kwa zamu akagundua wa nyuso zinazoonesha wanamchukia sana, na walionesha hawamuhitaji
Yaani matatizo yoooote kumbe wewe ndo..............alishindwa kumalizia sentensi yake baada ya kuzuiliwa na mzee Mgaya huku wakiingia ndani. Hakika walimchukia Samson kwa kiwango kikubwa.
Sam Kila akikumbuka kafanya kosa gani hakupata jibu, akabaki akiwa Hana amani, Mzee Mgaya, Tausi na Rahma waliongea wakicheka ila Sam akijaribu kutia neno anashangaa anadharauliwa Mara aambiwe anyamaze, akaingia chumbani kwake akiwa na mawazo sana.
Mzee Mgaya mtetezi wake mkubwa anageuka na kumchukia ghafla Samson, je Samson ataishije?
Endelea kufuatilia simulizi hii ili kujua ni wakati gani Samson alifanikiwa
Itaendelea............ ......